Wanaume tunaopenda kuwa smart tusikose package hii

Wabongo tulio wengi tuna primitive mindset ndio maana mpaka leo tunaamini chakula ni wali na ugali kidogo labda ndizi na makande vingine vyote tunaona havifai...yaani ni hivi mbongo akishaamini katika kitu fulani kumtoa katika hyo imani ni kazi sana!
Ni umasikini na kukosa elimu..
Kama mtu anakuambia kula chips mwanaume haifai, we unafikiri huyo ana akili timamu?
 
Kiwiliwili
Imekaa kama cha mnyama asiye binadamu…😁
 
Usikose kuwa na dereva pia wa kukubebea Hand bag au Briefcase
 
kumbe hata wanaume hujipaka mafuta dah 🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…