Hawawezi kukuelewa, unakuta mtu amevaa vizuri ila vidole vya mikono vinatoa harufu ajabu. Mtu anayejitambua hawezi kukubali mikono iwe na hali hiyo.Mtu anayefanya kazi za mikono, inachafuka. Au mwalimu na Chaki. Anafanyaje kuweka mikono yake smart?
Mwasibu CPA uchwara SUNZU BOBAN OKW umehamia huku tena?Kwa wale wanaume tunaopenda kuwa smart, nashauri tutumie hizi package zitakuweka smart sana bila kujali unafanya kazi gani na eneo gani.
Dove Gel Body Wash
View attachment 3207110
Hakikisha ni Secret, ujue pia kutofautisha fake na OG. Chupa ndogo inauzwa Sh.12,000 mpaka 15,000. Kubwa inauzwa Sh.20,000.
Jergens Utra Healing.
Haya mafuta ndio ninatumia mimi, nimeona matokeo mazuri sana. Usichukue Jergens yeyote tu bali chuku Utra Healing yenye Vitamin C, E na B5.
Bei yake sio kivile ni Sh.45,000 mpaka Sh.50,000
View attachment 3207079
Nivea Men Breathable
Haya mafuta ni ya ukweli sana wakuu, jaribu kuyatumia utayakubali
View attachment 3207094
Kwa body lotion napendekeza hayo mafuta
Dove Hand Cream
View attachment 3207100
Pamoja na kutumia body oil bado hutakiwi kukosa Hand Lotion kwa ajili ya kuiweka mikono yako vizuri. Hasa kwa wale wa maofisini usikose hii kitu kwenye kibeg au kwenye gari. Labda umefanya kazi ngumu ya kutumia mikono,au vyovyote vile umeona mikono yako haiko sawa, tumia hiyo hand lotion.
Kwa mimi napendekeza Dove hand cream. Inauzwa Sh.10,000 mpaka Sh.12,000
Mafuta ya nasi wanapaka wamama wanaonyonyesha maalum kwa ajili ya ngozi ya mtoto,sasa jibaba jitu zima unajipakaje hayo mafuta?We mzee mafuta ya nazi umeyajulia wapi?
Hivi kwa joto hili watu mnapaka lotion kweliNikioga nikapaka duodorant yangu kwapani, futa la nazi juu ya ngozi, saa mkononi, nguo zimepigwa pasi, mkanda kiunoni, kiatu mguuni, nmechana kipilipili changu kichwani na uchebe plus kaunyunyu kidogo cha savage nimemaliza.
Hizo dove nikinunua zitaexpire nitasahau kutumia.
Kuna sabuni zinaitwa MEGA zina maandishi ya kiarabu, ni buku tu hazina harufu kali binafsi tangu nizijue nazipendelea sana.
Na sunscreenHivi kwa joto hili watu mnapaka lotion kweli
Yani kabisa Mkuu unatumia muda wako kunifafanulia kuhusu vipodozi mimi? Umenichekesha sana, mie ni jabali hakuna utakachoniambia kwenye hii sekta.Mikono inaoshwa mara kwa mara ndio maana ina moisturizer yake ambayo ndio hiyo hand cream...
Zipo hand cream kwa ajili ya wanaume, kwa ajili ya ngozi ngumu za kiume...
Hakuna uwiano unapotumia moisturizer usoni halafu mikono imekakamaa kama ngozi ya kenge...
Kama una moist mwili mzima basi fanya mwili mzima tu..
Mie nimemwambia wa kwangu tu jamani, nyie wengine tumieni hadi lip balm sio juu yangu.Nimetoa mifano hapo juu, mimi ni mwalimu muda mwingi nashika chaki na kunawa. Kuna shida kutumia hand oil?
Nipe packages ya pamba.Kwa wale wanaume tunaopenda kuwa smart, nashauri tutumie hizi package zitakuweka smart sana bila kujali unafanya kazi gani na eneo gani.
Dove Gel Body Wash
View attachment 3207110
Hakikisha ni Secret, ujue pia kutofautisha fake na OG. Chupa ndogo inauzwa Sh.12,000 mpaka 15,000. Kubwa inauzwa Sh.20,000.
Jergens Utra Healing.
Haya mafuta ndio ninatumia mimi, nimeona matokeo mazuri sana. Usichukue Jergens yeyote tu bali chuku Utra Healing yenye Vitamin C, E na B5.
Bei yake sio kivile ni Sh.45,000 mpaka Sh.50,000
View attachment 3207079
Nivea Men Breathable
Haya mafuta ni ya ukweli sana wakuu, jaribu kuyatumia utayakubali
View attachment 3207094
Kwa body lotion napendekeza hayo mafuta
Dove Hand Cream
View attachment 3207100
Pamoja na kutumia body oil bado hutakiwi kukosa Hand Lotion kwa ajili ya kuiweka mikono yako vizuri. Hasa kwa wale wa maofisini usikose hii kitu kwenye kibeg au kwenye gari. Labda umefanya kazi ngumu ya kutumia mikono,au vyovyote vile umeona mikono yako haiko sawa, tumia hiyo hand lotion.
Kwa mimi napendekeza Dove hand cream. Inauzwa Sh.10,000 mpaka Sh.12,000
Lione.Mie nimemwambia wa kwangu tu jamani, nyie wengine tumieni hadi lip balm sio juu yangu.
Hand cream ni hapana na nimemwambia mtu hapa loud & clear, huo mstari asiuvuke.Bora useme wewe! Mimi wameniita mshamba
Mwanaume na hand cream loooh🙌
Hadi sunscreen mbona unamuonea😂Hand cream ni hapana na nimemwambia mtu hapa loud & clear, huo mstari asiuvuke.
Kuna products naweza kumuelewa, face wash, showe gel, moisturizer za kiume zipo kibao, deodorant & perfumes zote awezavyo.
Ila serum, toner, hand cream, sunscreen, lip balm, face mask zimpite mbali.