Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi endelea kufanya maombi ya kusaidiana na mjenzi
Hahahaha,. Mbn unaweka vipengele ndio tatizo la watu wa humu, MTU akionesha nia ndio mnazidi kumpuuzaEndeleeni kujimix wakuu..
Chukulia rahisi tu mkuu maisha ni kuchagua.Hahahaha,. Mbn unaweka vipengele ndio tatizo la watu wa humu, MTU akionesha nia ndio mnazidi kumpuuza
Sasa nimekuelewa hapaChukulia rahisi tu mkuu maisha ni kuchagua.
Utaendekeza nia za watu wangapi humu[emoji28][emoji28]tutakutana huko mtaani huku ni kujifurahisha kwa miandiko tu[emoji28][emoji28]
Pole utafidishia kula asubuhi hii.😅😅😅nimepata ila kwa tabu sana🤣🤣🤣
Kwani kuna nilisema ninaumwa kifua??😅😅
Khaaaaa huyu mwanaume kashakula limbwata, mpaka simu kaacha kwa mchepuko????Typing error mkuu..
Mwanaume kamwachia simu mchepuko mkuu..kwahiyo hata wife akimtxt mumewe,,mchepuko anaona kwanza ndipo ampe bwana [emoji2296][emoji2296][emoji2296]Manina wallah[emoji26][emoji26]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Hata mimi ni hivyo hivyo naomba mkiwa mnamuombea huyo na mimi na kaka Mayala tuombewe
Ndio mwanaume au mwanamke aliekamilika hawezi eleza mapungufu ya mwenza wake hata iwe ni kwa mama AkeHivyo ee..haya