Wanaume tuoneeni huruma tu, inawezekana kweli tunawakosea

Wanaume tuoneeni huruma tu, inawezekana kweli tunawakosea

Hivi huyo dada anayetembeza simu ya mme wa mwenzie kuwaonesha watu picha za utupu wa mwanamke mwenzake hawazi kwamba mwanaume huyo kama kaweza kumpiga picha mkewe alomlipia mahali akala na kiapo ipo siku atakuja mpiga nayeye akamtangaze kwa demu mwingne atakae kuwa nae kipindi hicho?

Ila wanawake viumbe wa ajabu. Yeye hafkirii kua hata huyo mke anaedhalilishwa hivyo naye alipendwa tena huenda hata zaidi ya anavyopendwa yeye sasa. Hamfikirii kuwa kama mwenzie amechokwa yeye vipi hatima yake?

Kwa picha ya haraka haraka huyo jamaa sio wakumchekea leo kamfanyia mkewe kesho hatujui atamfanyia nan
 
Mme ni mbichi hajapikwa. Tatizo mnadharau miti shamba.

Mti wa mvuazi au Mkusanya vingi ni dawa tosha mchapie mgongoni au jifanye km mnacheza mchape nao kwa mkuyenge!
 
Mme ni mbichi hajapikwa. Tatizo mnadharau miti shamba.

Mti wa mvuazi au Mkusanya vingi ni dawa tosha mchapie mgongoni au jifanye km mnacheza mchape nao kwa mkuyenge!
Ndio upoje huo mti?
 
Mme ni mbichi hajapikwa. Tatizo mnadharau miti shamba.

Mti wa mvuazi au Mkusanya vingi ni dawa tosha mchapie mgongoni au jifanye km mnacheza mchape nao kwa mkuyenge!
😳😳😳😳
Ohoooooo
 
Hapa ndo mnakosea, sehemu za siri ndo akili ya mwanaume ilipo, kichwa cha chini kikisimama cha juu kinalala!

Jitahidini sehemu za siri zisiende kwa Mwanamke kabisa!

Aiseeeh..kazi ipo wallah
 
Back
Top Bottom