Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
- Thread starter
- #121
Wow, pole na sahau yaliyopita! Wengine sisi tunapenda baki kwenye Lani huko kwingine makorogesheni lanasababisha kwichikwichi nyingi ambayo matengenezo yake ni gharama kubwa Sana! Kubakia kwenye Lami ndio mpango mzima japo Nako kwenye Lami saa zingine wanaweka ma speed bump kwa kukomoana!
Niliyasahau ila jana nilijikuta nakumbuka.
🤣🤣🤣 wacha wee