Wanaume tuoneeni huruma tu, inawezekana kweli tunawakosea

Wanaume tuoneeni huruma tu, inawezekana kweli tunawakosea

Moja ya sifa ya mwanaume kama kichwa cha familia ni kukabiliana na kutatua changamoto zinazoikabili ndoa yako na familia yako kwa ujumla!

Tukio la kutoka nje ya ndoa na kuweka wazi mambo yake nyeti ya ndoa ni alama kuwa huyo mwanaume hajakomaa kiakili na hakupaswa kuoa achilia mbali kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi!

Nb;
ni wavulana pekee ndio wanawaza kuwa muunganiko wa ndoa ni kwa ajili ya ngono pekee!
Hakika mkuu umenena vyema🥂🥂
 
Tunaachaje sasa wakati tunawindwa mithili ya swala...

Kama Samson tu na miguvu yakw yote ya kuua mpaka Simba lakini kwa delila hakufua dafu,akaishia kutobolewa macho! Mimi ni nani hata niweze kushinda ushawishi wa mwanamke mzuri...

Yaani kitu pekee wake zetu mnapaswa kufanya ni kutusamehe na kutuombea

Kujiendekeza tu..😏😏
Mnamchokonoa shetani kwa nguvu kabisa
 
Kanywesha chai iliyochujiwa na chupi,au kala nyama iliyokaa ukeni huyo msela.Huwez mfanyia hivo kiumbe kilichokubali kasoro zako zote uishi nae kufa na kupona.

Mimi tuu main chick ninavompa heshima sijui nitapooa.Mwambie huyo mdada zamu yake yaja labda akae bila kuolewa paka awe kikongwe.
 
Kanywesha chai iliyochujiwa na chupi,au kala nyama iliyokaa ukeni huyo msela.Huwez mfanyia hivo kiumbe kilichokubali kasoro zako zote uishi nae kufa na kupona.

Mimi tuu main chick ninavompa heshima sijui nitapooa.Mwambie huyo mdada zamu yake yaja labda akae bila kuolewa paka awe kikongwe.

Kaolewa kwa ndoa huyo mchepuko na anamtoto na mumewe..lakini mumewe yuko mkoa mwingine kikazi..

Huyu mburasi Mungu atakuja kumnasa makofi matakatifu..
 
Hawa wake zetu wakiwa na sisi waume zao huwa wanasahau sana majukumu yao
 
Haya ni matokeo ya wanaume wasio na akili kujiona nao wanastahili kuoa. Jamani ndoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu.
Mwanaume yeyote anayesaliti ndoa yake hana akili na hajiheshimu. Usitarajie lolote jema kwa mwanaume wa aina hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kujiendekeza tu..[emoji57][emoji57]
Mnamchokonoa shetani kwa nguvu kabisa
Ooohoooo!
Sio kujiendekeza,ndivyo tulivyo...
Kama unasoma maandiko utanielewa,lakini Kama unataka iwe unavyotaka wewe basi utaendelea kusubiri Sana...

Hivi hauoni katika maandiko tangu enzi za babu yetu adamu?

Babu Adamu aliangushwa na mwanamke,tangu hapo wengine weeeengi waliishia kuangushwa na wanawake...kwa hiyo mkianza nyinyi kubadilika na kuacha kabisa kututega tega basi hayo yoote yataisha automatically
 
Sio tu kwa mke lakini kwa upande wangu huwa naona ni ushamba kuanika mambo wazi hata tu ya yule mwanamke ulieachana nae(×) kwa mtu wa aina yoyote yule awe mpenzi mpya,mchepuko au mama yako.
Acheni huu ujinga[emoji34][emoji34][emoji34] ukimshindwa mtu achana nae kimya kimya hicho kichwa hukupewa kama pambo jaribu kukitumia vizuri.
 
Ajiandae,kwani hata yeye akishachokwa au kuachana na huyo mchepuko ataanikwa madhaifu yake kuliko hayo ya mkewe.Iko hivi,If you give a good thing to the world, then over time your karma will be good and vise versa...
 
Kuchepuka ni sunna ila naiambiaga michepuko live

usijaribu kufyetua kidomo domo chako ukamsema mke/mpenzi wangu

au mwanangu vibaya maana siku ninayosikia au hisi umefanya hivyo

sio tu ntakuacha ila ntakuzabua na makofi ili breakup inoge zaidi.
 
Miaka kama sita iliyopita nilipitia kwenye mahusiano ambayo Ex-mwamba alikuwa akitoa baadhi ya mambo yetu kwa huyo local chic wake😫😫😫it pains to say walah😭😭😭😢😢😢

Hiyo hali ikapelekea moyo wangu kuwa mgumu kuwa kwenye mahusiano ya kudumu.najionea tabu tupu.

So nilichokiona na kukisikia kikaamsha ghadhabu moyoni mwangu.
Wow, pole na sahau yaliyopita! Wengine sisi tunapenda baki kwenye Lami huko kwingine makorogesheni lanasababisha kwichikwichi nyingi ambayo matengenezo yake ni gharama kubwa Sana! Kubakia kwenye Lami ndio mpango mzima japo Nako kwenye Lami saa zingine wanaweka ma speed bump kwa kukomoana!
 
Ooohoooo!
Sio kujiendekeza,ndivyo tulivyo...
Kama unasoma maandiko utanielewa,lakini Kama unataka iwe unavyotaka wewe basi utaendelea kusubiri Sana...

Hivi hauoni katika maandiko tangu enzi za babu yetu adamu?

Babu Adamu aliangushwa na mwanamke,tangu hapo wengine weeeengi waliishia kuangushwa na wanawake...kwa hiyo mkianza nyinyi kubadilika na kuacha kabisa kututega tega basi hayo yoote yataisha automatically
Sawa mkuu umeeleweka.
 
Sio tu kwa mke lakini kwa upande wangu huwa naona ni ushamba kuanika mambo wazi hata tu ya yule mwanamke ulieachana nae(×) kwa mtu wa aina yoyote yule awe mpenzi mpya,mchepuko au mama yako.
Acheni huu ujinga[emoji34][emoji34][emoji34] ukimshindwa mtu achana nae kimya kimya hicho kichwa hukupewa kama pambo jaribu kukitumia vizuri.

Ohoo asante mkuu.ni bora zaidi aiseh kuliko kumchafua mtu bila sababu ya msingi ..anapita mtaani kumbe yuko uchi na hajijui
 
Ajiandae,kwani hata yeye akishachokwa au kuachana na huyo mchepuko ataanikwa madhaifu yake kuliko hayo ya mkewe.Iko hivi,If you give a good thing to the world, then over time your karma will be good and vise versa...

Naliona anguko la mchepuko mda si mrefu.

Adui yako muombee njaa..wallah mimi namuombea huyu mwanamke mchepuko afumaniwe na mumewe apigwe chini,akirud kwa mchepuko nae ampige chini,,pumbavu zake na dunia imlemee..
 
Kuchepuka ni sunna ila naiambiaga michepuko live

usijaribu kufyetua kidomo domo chako ukamsema mke/mpenzi wangu

au mwanangu vibaya maana siku ninayosikia au hisi umefanya hivyo

sio tu ntakuacha ila ntakuzabua na makofi ili breakup inoge zaidi.

Mwanaume ukishakuwa na msimamo na familia yako,mchepuko hawezi kuiletea upumbavu hata1/4..

“Nimekutaman nataka kuwa na wewe,ninafamilia,sitaki mazoea na familia yangu..unamchana wazi na ”

Sijui huyu mwamba alipagawa na nini jmni😥😥
 
Back
Top Bottom