tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Naunga mkono hojatuongelee kwanza msambwanda wako
au mnasemaje wadau ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojatuongelee kwanza msambwanda wako
au mnasemaje wadau ?
Kapewa kijambio no kulogwaNi kweli kabisa The Boss mpaka sasa najiuliza ni akili za yule mwanaume au kalogwa[emoji3064][emoji3064][emoji3064] ninakiri wazi mpaka sasa ninasikia uchungu wa ajabu nafsini mwangu.chozi lilinitoka nilishindwa jizuia kabisa
Hapa Sasa umezungumzaSio kweli mkuu..
Kama kibamia ni kitamu ni kiko vizuri panapo husika kwanini kikatangazwe..
Cha msingi utamu tu maana unaweza kuwa na lijihogo kumbe halina maajabu(si litamu)
Nitamfuatilia huyu na wallah nauona mwisho wake ulivyom’baya..Hapa Sasa umezungumza
Huyo bidada atulie tu endelea kumfatilia atakuja pata pigo takatifu ye na bwana ake mpaka wafurahie
Yani mimi nimeumia maradufu aise..mpka sasa..Nmeumia Sana basi tu, ila wanaume hawa
Inatia uchungu Sana ila waisubiri Ile kitu ya kuitwa karmaNitamfuatilia huyu na wallah nauona mwisho wake ulivyom’baya..
Hakuna kitu kibaya kama kujeruhi moyo wa mtu kwa makusudi kabisa bila huruma.
Kulikuwa kunamaana gani ya kumwachia mchepuko simu ukijua fika kuna mzazi nyumbni lazima atahitaji kuwasiliana na wewe.
Mchepuko ndo wenye kuamua sms ipi ya wife mume asome kweli!!!hapa aise😔😔😔
Mkuu kumbe umewaza kama mimi, aliposema kalio moyo ukaruka.For some strange reason niliposoma 'ukakalisha mswambwanda chini'..nimesahau yote uliyo yaandika wala theme ya uzi .
Natazama pm yako Tu nikupe hi..
Tatizo ni kwamba mnaturoga sanaaa,akili zetu mnazifanya skrepa, matokeo yake ndiyo Kama hayo!
Ungekuwa umefanya jambo la maana sana kama ungemkanya na kumshauri huyo mchepuko uache kuindoa akili za mwanaume wa watu
Mpatie tu mamaa kizuri kula na nduguyoUnatengeneza mazingira ya cont...
Ohooo jamani....si ajabu hajui kuwa kama mumewe anafanya huyo ufirauni aiseh.Ukomo wa hili ni pale wanawake watapoweza kuweka fedha pembeni na kutambua tofauti kati ya mwanaume na mvulana!
Ni pale watakapojua kuwa uanamume kamili hauishii tu kwenye kuvaa suruali na kuwa na ndevu tu!!
Kilichomkuta kibeku na ungo kitamkuta!
Typing error mkuu..
Mwanaume kamwachia simu mchepuko mkuu..kwahiyo hata wife akimtxt mumewe,,mchepuko anaona kwanza ndipo ampe bwana [emoji2296][emoji2296][emoji2296]Manina wallah[emoji26][emoji26]
Ohooo jamani....si ajabu hajui kuwa kama mumewe anafanya huyo ufirauni aiseh.Ukomo wa hili ni pale wanawake watapoweza kuweka fedha pembeni na kutambua tofauti kati ya mwanaume na mvulana!
Ni pale watakapojua kuwa uanamume kamili hauishii tu kwenye kuvaa suruali na kuwa na ndevu tu!!
Kilichomkuta kibeku na ungo kitamkuta!
kmmmk afe kipa afe bek there is no way nikamwachia mtu simu yangu, no way kabisa. Alafu there is no way nkamsimulia side piece issues za my main squeez...OVA..
Hapo umenena!Ukomo wa hili ni pale wanawake watapoweza kuweka fedha pembeni na kutambua tofauti kati ya mwanaume na mvulana!
Ni pale watakapojua kuwa uanamume kamili hauishii tu kwenye kuvaa suruali na kuwa na ndevu tu!!
Kilichomkuta kibeku na ungo kitamkuta!
Hayo yote ni kwa mwanaume aliye na akili zake kawaida,ila MKISHATUROGA tunasubmit kuanzia akili mpaka pesa zetu...Mkuu kama umeusoma uzi kuna sehemu nilisema kuwa uzalendo ulinishinda ikabidi nizungumze nae..lakin betina yule alinipa majibu nikakalisha flat screen chini.sasa umeelewa.
Hivi kwani...ukimfuata mwanamke kwa matamanio yako akagundua unafamilia na ukampiga marufuku kuingilia familia yako,tena ukawa mkali na kuweka mipaka kati ya mchepuko na familia nini kitatokea??jibu na hapana tena mchepuko lazima akuogope.hawezi ichezea familia yako makida makida.mambo mengine mnayatengeza ninyi wanaume wenyewe[emoji3064][emoji3064][emoji3064]
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]sijui huyu mwenzenu ni nini kimemkuta aiseh..huu ni utupolo wa hali ya juu kabisa