Wow, pole na sahau yaliyopita! Wengine sisi tunapenda baki kwenye Lani huko kwingine makorogesheni lanasababisha kwichikwichi nyingi ambayo matengenezo yake ni gharama kubwa Sana! Kubakia kwenye Lami ndio mpango mzima japo Nako kwenye Lami saa zingine wanaweka ma speed bump kwa kukomoana!
Huyo mwanaume hana akili kabisa yaani mke ndiyo kajifungua badala yakukaa na mkewe kwa furaha ya baraka waliopewa na mwenyezi Mungu, badala yake anakuwa kirukanjia, nazani kichwa chake kimejaa matope, yaani nampa pole huyo mkewe, anachokitafuta atakipata tu huko!Ni mke wa ndoa kabisa na mtoto ni wa kwao huyo mme na mke..sijui kakumbwa na nini jaman..
Mke anasafari ndefu mtoto ndo kwanz ana week kadhaa tu..
Mithali 6:26 Kwa maana kwa malaya mtu hutiwa katika hali ya kuhitaji kipande cha mkate; na kahaba humwinda mtu anase nafsi yake iliyo ya thamani.Haya ni matokeo ya wanaume wasio na akili kujiona nao wanastahili kuoa. Jamani ndoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu.
Mwanaume yeyote anayesaliti ndoa yake hana akili na hajiheshimu. Usitarajie lolote jema kwa mwanaume wa aina hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena ni matope kabisa yale yanayohifadhi kambaleππpumbavu zake.Huyo mwanaume hana akili kabisa yaani mke ndiyo kajifungua badala yakukaa na mkewe kwa furaha ya baraka waliopewa na mwenyezi Mungu, badala yake anakuwa kirukanjia, nazani kichwa chake kimejaa matope, yaani nampa pole huyo mkewe, anachokitafuta atakipata tu huko!
π―πHaya ni matokeo ya wanaume wasio na akili kujiona nao wanastahili kuoa. Jamani ndoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu.
Mwanaume yeyote anayesaliti ndoa yake hana akili na hajiheshimu. Usitarajie lolote jema kwa mwanaume wa aina hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
ππππkwa mistari mitakatifu.kweli.Mithali 6:26 Kwa maana kwa malaya mtu hutiwa katika hali ya kuhitaji kipande cha mkate; na kahaba humwinda mtu anase nafsi yake iliyo ya thamani.
32: Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa: afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
33: Atapata jeraha na kuvunjiwa heshima; Wala fedheha yake haitafutika.
Amen[emoji120]Mithali 6:26 Kwa maana kwa malaya mtu hutiwa katika hali ya kuhitaji kipande cha mkate; na kahaba humwinda mtu anase nafsi yake iliyo ya thamani.
32: Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa: afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
33: Atapata jeraha na kuvunjiwa heshima; Wala fedheha yake haitafutika.
Mimi mwenyew wa changanyikeni mkuu.nawewe dada uwe unaenda salon za kilokole,sasa we unaenda hizi za changanyikeni ulitegemea nini?? next time usifanye hivyo,na kama ukirudia basi uwe mpole tu. ila asante kwa taarifa,umeuza siraha kwa adui