Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo msanii mkubwa anampa kichwaKwa kweli mzee wa watu anatia huruma hana wa kumsemea ameamua kunyamaza, ila nadhani akifungua mdomo Tina atatafuta pa kujificha.
Tina kila siku ni kumchamba mzee wa watu, yaani ukae kwenye ndoa miaka 20 ndio ugundue ni mbaya, kuna msanii mkubwa mmoja nasikia ndio anampa kiburi
Wanaume wapole ndio maana tunakufa mapema, Tina angeolewa na mswahili kama Mwijaku au Manara asingethubutu kumdhalulisha mzee wa watu, angeanikwa hadi siri zake za chumbani.
Wanaume bwana wanachekesha🤣🤣🤣🤣Mkipigwa chini yanawatoka sana, tulieni bana papuchi zipo nyingi....kamata nyingine endelea na maisha yako.
Malaya kisa kachoka kubeba mzigo? Kwahiyo aendelee kuteseka ili mumuone malaika??? Acha aishi apendavyo.....
Sawa brother,neno linatuambie tuonyane sisi Kwa sisi,hapa Leo Tina anaonywa😁😁Sisi walokole huwa tunaanguka kiroho jamani kama ambavyo nanyie watu wa kawaida hutenda dhambi, ndio Maana Mungu wetu mwenye huruma anatupa nafasi ya kutubu. 😹
Wakijibu niite Diha[emoji2]Kwani kuna nini? Hamtuambii, mnataka tujadili nini.
HahahahahaUkiachana na kuvunja ndoa Ili atimize ndoto zake sijui maneno mapya kazungumza🤔
Anampa kichwa cha chiniHuyo msanii mkubwa anampa kichwa
Nikajua tu ni mimi sijui kinachoendelea!! Yanawatoooka ila hakuna anayesema ni udhalilishaji gani kafanya zaidi ya kuongea hisia zao na kutoa stress zao🙆🙆Kasemaje kwani? maana hayo machambo hatuyaoni yawekeni hapa.
Kwani huyo Tina na mzee Shusho wana watoto wangapi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]huko nje ni kubaya....Nikajua tu ni mimi sijui kinachoendelea!! Yanawatoooka ila hakuna anayesema ni udhalilishaji gani kafanya zaidi ya kuongea hisia zao na kutoa stress zao[emoji134][emoji134]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mambo ya Ndoa wanajuana Wanandoa wenyewe...
Unawezaje kupaza sauti kusemelea watu wamejifunika shuka moja jameni?
Eti dada kwani udhalilishaji gani umefanyika? Maana sio kwa haya maandamano🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]huko nje ni kubaya....
Wanaogopa..
MkuuKwa kweli mzee wa watu anatia huruma hana wa kumsemea ameamua kunyamaza, ila nadhani akifungua mdomo Tina atatafuta pa kujificha.
Tina kila siku ni kumchamba mzee wa watu, yaani ukae kwenye ndoa miaka 20 ndio ugundue ni mbaya, kuna msanii mkubwa mmoja nasikia ndio anampa kiburi
Wanaume wapole ndio maana tunakufa mapema, Tina angeolewa na mswahili kama Mwijaku au Manara asingethubutu kumdhalulisha mzee wa watu, angeanikwa hadi siri zake za chumbani.
Na alipigaga kwelikweli.... Nchi ikatikisika.... Ilikuwa sentensi Moja TU nzito...Marehemu G Habash alisemwa na Ladyjaydee sana. Alipoachia kombora moja Hiroshima akaonekana mbaya ila vita vikaisha
Hahahahaha...Mambo ya Ndoa wanajuana Wanandoa wenyewe...
Unawezaje kupaza sauti kusemelea watu wamejifunika shuka moja jameni?
Mwanaume aliyepita jando hapigizani kelele na mwanamke hadharani hivyo mzee ameshavuliwa nguo ndio amechutama hivyo unataka afanye nini atengeneze habari!Kwa kweli mzee wa watu anatia huruma hana wa kumsemea ameamua kunyamaza, ila nadhani akifungua mdomo Tina atatafuta pa kujificha.
Tina kila siku ni kumchamba mzee wa watu, yaani ukae kwenye ndoa miaka 20 ndio ugundue ni mbaya, kuna msanii mkubwa mmoja nasikia ndio anampa kiburi
Wanaume wapole ndio maana tunakufa mapema, Tina angeolewa na mswahili kama Mwijaku au Manara asingethubutu kumdhalulisha mzee wa watu, angeanikwa hadi siri zake za chumbani.