Wanaume tusio na pesa tukiungana tutaheshimiwa

Tatzo mnawaza mapenz tu muda wte
 
Kuomba omba sana ni tatizo; unatakiwa kutoa ushauri wa namna ya kuwekeza na kupata ela kwa mitaji midogo
Au nawe kama mwanaume kama una uwezo umuongezee au umuwezeshe na kumshauri aweze kugenerate kipato chake asikuombe ombe au kama unahisi hatumii vizuri pesa yake mpe elimu mshauri 🀠😁🀠
 

Tayari kokorikoooo[emoji239]
Antonnia udugu kumbe kulikua mpk na mapinduzi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…