Unavyoongea hapa, unaweza hisi labda umetoka ulimwengu mwingine π
Cheza na uzee weyeπ€£...maamuz ni yako..kununua set nzima ya wix au ununue ndoo ya rangi upake nyumba yakoUmeanza lini? π€£
Uduguuu sikuhizi nina furaha mieee sitaki shareeeee nawatruuuuu!!πΊUdugu nimecheka tu waja wanavyopenda kukuchachua ukichangia mada yoyote
Wagner tupo twende tukaripue tumchukue mume wetu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uduguuu sikuhizi nina furaha mieee sitaki shareeeee nawatruuuuu!![emoji1739]
Lol umesema gesi umenikumbusha gesi imeisha!ππππCheza na uzee weyeπ€£...maamuz ni yako..kununua set nzima ya wix au ununue ndoo ya rangi upake nyumba yako
Au ununue turmeric og au ununue gesi ya kupikiaπ...kua uyaone
Vipi hapa, sema ukweli hushawishiki?
View attachment 2720647
Hapo pa Majonjwa sugu hapo uduguuu ππππ!! Bora nipambane naharee yangu tyuu kwakweli!!Kweli udugu magonjwa sugu mengi, linda afya yako na ya familia yako [emoji3][emoji3][emoji3]
Cheza na uzee weye[emoji1787]...maamuz ni yako..kununua set nzima ya wix au ununue ndoo ya rangi upake nyumba yako
Au ununue turmeric og au ununue gesi ya kupikia[emoji126]...kua uyaone
Anaonekana anapenda hio staili esp hapo kati na back view inavoonekana!Shemeji hii pic unaipenda sijui kwann?? [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe mwenyewe hapo, baada ya kuiona umejikuta huko chini hapa eleweki πShemeji hii pic unaipenda sijui kwann?? [emoji23][emoji23][emoji23]
wacha nibakie kua singo kwanza kwa sasa.Yakumnunulia perfume
Na kumtumia na ya kutolea πββοΈπββοΈπ
Ebu kaa hivyo nikuone ππ; kuna mkopo nausubiria hapa niupate ili niupangie matumizi πAnaonekana anapenda hio staili esp hapo kati na back view inavoonekana!
Anaonekana anapenda hio staili esp hapo kati na back view inavoonekana!
Mgonjwa yupiii??π€£Hivi sisy mgonjwa alipona? [emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli wewe ni waifu matirio; ulitakiwa upate mwanaume kama mimi πCheza na uzee weyeπ€£...maamuz ni yako..kununua set nzima ya wix au ununue ndoo ya rangi upake nyumba yako
Au ununue turmeric og au ununue gesi ya kupikiaπ...kua uyaone
Ebu kaa hivyo nikuone πHuyu atakua anaifanyia mchezo mbaya [emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Gesi ikiisha mie nakosaga pozi..nusu lakiπ€£..afu iishe wknd...ulikua unawaza uupe moyo pole kwa heka heka za wiki zima then gesi shwaaaLol umesema gesi umenikumbusha gesi imeisha uwiiii!ππππ
Wewe mwenyewe hapo, baada ya kuiona umejikuta huko chini hapa eleweki π