Wanaume tusio na pesa tukiungana tutaheshimiwa

Ebu kaa hivyo nikuone 😀😀; kuna mkopo nausubiria hapa niupate ili niupangie matumizi 😀
Mie hizo sio mambo Zangu kabesaa mkuu afu nipo furuuuuu hakuna ninachokosa !
Mwamba anatimiza majukumu yake ipasavyooo!!
 
Nina wowowo km la dada wa taifa mama Kenzo sasa hilo pozi na me wapi na wapi?? [emoji23][emoji23][emoji23]
Na sura kama iko vizuri, nakupa nafasi utume salamu kwa watu watano nikiwepo na mimi
 
Wenzio hawataweza we tafuta tu Pesa broooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…