Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Kwa huyu nakataa ushauri na maombi nimevunga kifalaKijana kataa papuchi piga puchu magonjwa ni mengi
Sio Kwa hii pisi sihutaji ngonjera za wivu, acha masihara ujue huyu kushushwa siwezi kuucha upako huo unipite.Chuo unasoma au unachakarikia zinaa? Na ukifeli unasahau kuwa unafanya majukumu tofauti na unayopaswa kufanya
Nchi ya Morocco haijajengwa Kwa mawe imejengwa na watu wanao pakuana ndiomana wako Milioni 38 idadi yao. Bila mchakato wa "papua new frontier under the sun" ingekuwaje?Modern man..!!
Kila saa kila dakika mawazo yapo kwenye ngono.
Ndiyo maana Morocco walikataa kujihusisha na Waafrika.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
ExactlyKijana kataa papuchi piga puchu magonjwa ni mengiView attachment 2451897
Hahaaaa acha kumhusisha Mungu na mambo ya kuchakata! Hajashushwa na hatuwezi kuona wivu hatumjui na picha hujaweka ni umbea tuSio Kwa hii pisi sihutaji ngonjera za wivu, acha masihara ujue huyu kushushwa siwezi kuucha upako huo unipite.
Nawashangaa na ujao wa "papua new frontier under the sun" eti tuache kujibarikia huu utukufu, hio hapana.Maisha ndio haya haya
Usisikilize ya watu wana wivu
Nakataa huu ushauri wa kiwivu wivu.Exactly
Tulizo la dunia
Wanakuonea wivu hao hawana helaNawashangaa na ujao wa "papua new frontier under the sun" eti tuache kujibarikia huu utukufu, hio hapana.