Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
- Thread starter
- #21
nimewaambia ukweli na wao wanakiri pis Kali zipo na consumers ndio sisi, wameletwa kwa ajili ya matumizi ya kiwango bora tutafute pesa.Wanakuonea wivu hao hawana hela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimewaambia ukweli na wao wanakiri pis Kali zipo na consumers ndio sisi, wameletwa kwa ajili ya matumizi ya kiwango bora tutafute pesa.Wanakuonea wivu hao hawana hela
Acha kututisha [emoji3][emoji3]Kijana kataa papuchi piga puchu magonjwa ni mengiView attachment 2451902
Niambie malaika wangu 🤗🤗🤗 ni kupeana raha tuMaisha ndio haya haya
Usisikilize ya watu wana wivu
Mtaandika vitabu ila ukweli malaika pisi kali wapo Kwa ajili ya matumizi endelevu, let's consume responsibly and sustainably.sababu za vijana kufeli kimaisha point ni zile zile
1. umalaya
2.ulevi
3. kuhonga Sana
4. wake za watu
5. matumizi makubwa kushinda kipato
6. uvivu
nasisitiza POINT NI ZILE ZILE
Ndioo ya nini kujibana banaNiambie malaika wangu 🤗🤗🤗 ni kupeana raha tu
😅😅😅😅😅 ni mwendo wa nipe nikupeeNdioo ya nini kujibana bana
Kama kawa kama dawa😅😅😅😅😅 ni mwendo wa nipe nikupee
kitu mnatooo 😋😋😋Kama kawa kama dawa
Acha wivu umeona tusi mahali au kaombeeni mapepo kanisani mnataka watu wafe kwa stress, tafuta pesa tuache hasira butu na wivu.hizi ndio mada wabongo wanapenda kuzichangia nahapigwi bani mtu hapa. hiki ndio kitu ambacho jf imefanikiwatu hakuna kingine. waiitetu jamiimapenzi naujinga mwingi. ukileta usilias unakula bani.
😅😅 na huu ndio ukweli, hela ni direct proportion na kula pisi kali mzee.. tuongezee bidii.. kuna raha bana kukaza pisi kali mtoto unakuta ananukia we mwenye unapaga mwili sooft sauti inaamsha na kuhuishaaa. acha hela muhimu.. tuzisake zaidiMimi nasema ukweli tule hizi new papua frontier under the sun, na nakazia let's consume them regularly and responsibly. Tuache misifa ya kuzuga kujifanya ufala. Hawa wanawake vwazuri hawakuja kueneza injili wala kushinda kwenye maibada ibada zao tunazo sisi, Waefeso ndio sisi mkiendekeza ujinga mtawaita sana mashangazi oooh mara dada, mnapoteana kisa pesa hamna tutafute pesa. Tuache kulialia
join usMimi nasema ukweli tule hizi new papua frontier under the sun, na nakazia let's consume them regularly and responsibly. Tuache misifa ya kuzuga kujifanya ufala. Hawa wanawake vwazuri hawakuja kueneza injili wala kushinda kwenye maibada ibada zao tunazo sisi, Waefeso ndio sisi mkiendekeza ujinga mtawaita sana mashangazi oooh mara dada, mnapoteana kisa pesa hamna tutafute pesa. Tuache kulialia
Acha tule raha tu tuwaze Tozo, na tushindwe kubalance vibes za adrenaline sasa tupo ili iweje😅😅 na huu ndio ukweli, hela ni direct proportion na kula pisi kali mzee.. tuongezee bidii.. kuna raha bana kukaza pisi kali mtoto unakuta ananukia we mwenye unapaga mwili sooft sauti inaamsha na kuhuishaaa. acha hela muhimu.. tuzisake zaidi
nyie ndio wajinga mnao pendwa kwenye huu mtandao. siunaona hujaelewa nilicho kiandika hapo umeona neno wivutu. mengine hujayaona. kukibwa zaidi huo ujumbe haukuhusu ungesoma nakupitatu.Acha wivu umeona tusi mahali au kaombeeni mapepo kanisani mnataka watu wafe Kwa stress, tafuta pesa tuache hasira but na wivu.
Mambo ya Papua new frontier under the sun tuachieni sisi Waefeso.
😁😁😁 na pale ndio tunapata pumziko sasa , raha na matoto mazuri mazuri inakuwa burdan sana mtoto hata ukiwa unaongea nae tu unafurahi mwenyewe, pesa hela ni sabuni ya rohoAcha tule raha tu tuwaze Tozo, na tushindwe kubalance vibes za adrenaline sasa tupo ili iweje
Tupo hapa kuwatoa mapepo ya wivu na hasira za Tozo, tafuta pesa acha ujima wa fikra, life has never had a true multidisciplinary facets on manifestations tumia akili ya kawaida tu acha hasira furahia maisha, let's be happier people and funny. Wake up men.nyie ndio wajinga mnao pendwa kwenye huu mtandao. siunaona hujaelewa nilicho kiandika hapo umeona neno wivutu. mengine hujayaona. kukibwa zaidi huo ujumbe haukuhusu ungesoma nakupitatu.
Kweli kabisa ghasia za pori Kwa pori za kutafuta pesa tunabalance hapo kwa kituo chetu sisi Waefeso.😁😁😁 na pale ndio tunapata pumziko sasa , raha na matoto mazuri mazuri inakuwa burdan sana mtoto hata ukiwa unaongea nae tu unafurahi mwenyewe, pesa hela ni sabuni ya roho
hahahahahahahaKijana kataa papuchi piga puchu magonjwa ni mengiView attachment 2451902