Wanaume tutafute pesa pisi kali zimejaa, tuache lawama

Wanaume tutafute pesa pisi kali zimejaa, tuache lawama

Wanakuonea wivu hao hawana hela
nimewaambia ukweli na wao wanakiri pis Kali zipo na consumers ndio sisi, wameletwa kwa ajili ya matumizi ya kiwango bora tutafute pesa.
 
sababu za vijana kufeli kimaisha point ni zile zile
1. umalaya
2.ulevi
3. kuhonga Sana
4. wake za watu
5. matumizi makubwa kushinda kipato
6. uvivu

nasisitiza POINT NI ZILE ZILE
Mtaandika vitabu ila ukweli malaika pisi kali wapo Kwa ajili ya matumizi endelevu, let's consume responsibly and sustainably.
 
Mimi nasema ukweli tule hizi new papua frontier under the sun, na nakazia let's consume them regularly and responsibly. Tuache misifa ya kuzuga kujifanya ufala. Hawa wanawake vwazuri hawakuja kueneza injili wala kushinda kwenye maibada ibada zao tunazo sisi, Waefeso ndio sisi mkiendekeza ujinga mtawaita sana mashangazi oooh mara dada, mnapoteana kisa pesa hamna tutafute pesa. Tuache kulialia
 
hizi ndio mada wabongo wanapenda kuzichangia nahapigwi bani mtu hapa. hiki ndio kitu ambacho jf imefanikiwatu hakuna kingine. waiitetu jamiimapenzi naujinga mwingi. ukileta usilias unakula bani.
Acha wivu umeona tusi mahali au kaombeeni mapepo kanisani mnataka watu wafe kwa stress, tafuta pesa tuache hasira butu na wivu.
Mambo ya Papua new frontier under the sun tuachieni sisi Waefeso.
Live happy and make people happy leta content za kuleta happiness sio liturugia na mahuzuniko.
 
Mimi nasema ukweli tule hizi new papua frontier under the sun, na nakazia let's consume them regularly and responsibly. Tuache misifa ya kuzuga kujifanya ufala. Hawa wanawake vwazuri hawakuja kueneza injili wala kushinda kwenye maibada ibada zao tunazo sisi, Waefeso ndio sisi mkiendekeza ujinga mtawaita sana mashangazi oooh mara dada, mnapoteana kisa pesa hamna tutafute pesa. Tuache kulialia
😅😅 na huu ndio ukweli, hela ni direct proportion na kula pisi kali mzee.. tuongezee bidii.. kuna raha bana kukaza pisi kali mtoto unakuta ananukia we mwenye unapaga mwili sooft sauti inaamsha na kuhuishaaa. acha hela muhimu.. tuzisake zaidi
 
Mimi nasema ukweli tule hizi new papua frontier under the sun, na nakazia let's consume them regularly and responsibly. Tuache misifa ya kuzuga kujifanya ufala. Hawa wanawake vwazuri hawakuja kueneza injili wala kushinda kwenye maibada ibada zao tunazo sisi, Waefeso ndio sisi mkiendekeza ujinga mtawaita sana mashangazi oooh mara dada, mnapoteana kisa pesa hamna tutafute pesa. Tuache kulialia
join us
join No fap
join semen retention
 
😅😅 na huu ndio ukweli, hela ni direct proportion na kula pisi kali mzee.. tuongezee bidii.. kuna raha bana kukaza pisi kali mtoto unakuta ananukia we mwenye unapaga mwili sooft sauti inaamsha na kuhuishaaa. acha hela muhimu.. tuzisake zaidi
Acha tule raha tu tuwaze Tozo, na tushindwe kubalance vibes za adrenaline sasa tupo ili iweje
 
Acha wivu umeona tusi mahali au kaombeeni mapepo kanisani mnataka watu wafe Kwa stress, tafuta pesa tuache hasira but na wivu.
Mambo ya Papua new frontier under the sun tuachieni sisi Waefeso.
nyie ndio wajinga mnao pendwa kwenye huu mtandao. siunaona hujaelewa nilicho kiandika hapo umeona neno wivutu. mengine hujayaona. kukibwa zaidi huo ujumbe haukuhusu ungesoma nakupitatu.
 
Acha tule raha tu tuwaze Tozo, na tushindwe kubalance vibes za adrenaline sasa tupo ili iweje
😁😁😁 na pale ndio tunapata pumziko sasa , raha na matoto mazuri mazuri inakuwa burdan sana mtoto hata ukiwa unaongea nae tu unafurahi mwenyewe, pesa hela ni sabuni ya roho
 
nyie ndio wajinga mnao pendwa kwenye huu mtandao. siunaona hujaelewa nilicho kiandika hapo umeona neno wivutu. mengine hujayaona. kukibwa zaidi huo ujumbe haukuhusu ungesoma nakupitatu.
Tupo hapa kuwatoa mapepo ya wivu na hasira za Tozo, tafuta pesa acha ujima wa fikra, life has never had a true multidisciplinary facets on manifestations tumia akili ya kawaida tu acha hasira furahia maisha, let's be happier people and funny. Wake up men.
 
😁😁😁 na pale ndio tunapata pumziko sasa , raha na matoto mazuri mazuri inakuwa burdan sana mtoto hata ukiwa unaongea nae tu unafurahi mwenyewe, pesa hela ni sabuni ya roho
Kweli kabisa ghasia za pori Kwa pori za kutafuta pesa tunabalance hapo kwa kituo chetu sisi Waefeso.
 
Back
Top Bottom