Acha kutisha watuKijana kataa papuchi piga puchu magonjwa ni mengiView attachment 2451902
Utakuwa uliona jini.mrefu 1.68 mita
Urefu wa kawaida sana huoUtakuwa uliona jini.
Maisha na Bata kujiinjoy ni muhimu hasa kutafuna hizi new frontier under the sun from papuaHuwa kuna rika la kutafuta pesa? Ila wengi wao sijawahi kuona wamezipata. Unapata pesa ikiwa kuna kitu unafanya, lakini kama lengo ni pisi kali. Kuna umuhimu wa kujihoji.
Tunatishana sana ndugu zanguKijana kataa papuchi piga puchu magonjwa ni mengiView attachment 2451902
TuheshimianeMpwayungu village.. akili inakuja lakini inakataa… ni yeyeeee
Mhh 🤔Maisha na Bata kujiinjoy ni muhimu hasa kutafuna hizi new frontier under the sun from papua
Hii kama kweli, Mimi Nina addiction kwenye suala la Kuhonga, najitahidi nijitoe kwenye addiction hiyo..sababu za vijana kufeli kimaisha point ni zile zile
1. umalaya
2.ulevi
3. kuhonga Sana
4. wake za watu
5. matumizi makubwa kushinda kipato
6. uvivu
nasisitiza POINT NI ZILE ZILE
sijui katumia kigezo gani kuhisi ni weweTuheshimiane