Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Badala ya kutumia platform za namna hii ku gain knowledge na kuburudika, watu wapo kupoteza mda kutukanana na kuwa bitter kwa wengine. Wengi tunasumbuliwa na sonona hatujui tu, wengine ni ma sadist sana, tunafurahi kuandika vile vinawaumiza wengine.

Wengi tunaumwa tu bila kujijua, na huenda tukabisha pia kuwa hatuumwi.
 
Hukohuko,walivyo washamba sasa
Huoni ameingia jf anaiona yake hadi anajaribu kukufukuza[emoji1787]
Muda huo kanabishana hapa bora kangejifunza kuoga kwanza[emoji1787]
Maana ni wachafu kweli yaani
Eti anataka kujifanya maxence melo, nimeamini kuwa mwanaume inabidi uwe na koromeo kweli
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Ama kweli dunia Ina watu tofauti tofauti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani nimejikuta nacheka sana
Eti anakwambia utoke[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Basi Kuna mtu kamdanganya huko juu kwamba anapiga spana
Anajiona mwamba kweli kumbe anaonekana mapepo yamempanda.
Hahaaa wenzake badala wamshauri kuhusu hyo depression wanamtia sifa za kijinga kwa kweli na kumbe anashindana mwanaume mzima Hana haya.
 
Hahaaa wenzake badala wamshauri kuhusu hyo depression wanamtia sifa za kijinga kwa kweli na kumbe anashindana mwanaume mzima Hana haya.
Kwanza waliomtia hiyo sifa watakuwa wanamshangaa[emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani nimejikuta nacheka sana
Eti anakwambia utoke[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] JF hii kiboko sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hyo ni expression of love au ni mtu mgonjwa wa akili ana matatizo na anahitaji tiba maana hyo behavior sio ya mtu mzima, hebu mshaurini mwanaume mwenzenu asije jiua kwangu anajisumbua tu na huo ujinga wake.
Na hyo kukutana ngumu na nikikutana naye na mdunda na nikiwa na bastola namtanguliza kuzimu tu huyo mpuuzi
Hii comment yako inathibitisha hoja yangu.

Kumbe ushaanza kuvuta hadi picha ya kukutana naye? Tena unawaza hadi 'bastola'?😅 .... vizuri sana.

Licha kwamba unatuzuga ni mgonjwa wa akili lkn huko uliko ukiona notification yake kuna nati zinalegea....ungekuwa na akili timamu usingejisumbua machana hadi usiku wa manane kumjibu mtu unayesema ana ugonjwa wa akili.

Haya ni mambo ya kawaida kabisa, hata marafiki wa jinsia moja walioshibana ni wale walioanzia kwenye ugomvi.

Yaani unakutana na mtu siku ya kwanza mnagombana halafu baadae mnakuja kuwa marafiki wakubwa. Imewahi kunitokea mara kadhaa.

Vita kama hii mnayofanya hapa usiku na mchana nakuwa nazo makini maana nazielewa zinakoishiaga.

Manaonekana mna mengi in common, nature ikiwa upande wenu mtakuja kujipatanisha kwa njia ya vikojoleo na ndio utakuwa mwisho wa vita.
 
Wao si wanafurahia ugomvi wameitana na pm wengine wata mu feed na uongo juu. [emoji23][emoji23]Yani huu Uzi unafatiliwa na wengi Sana loh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hee kumbe wameitana PM [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wacha waendelee kuhangaika.
 
Yani Mkuu hata Mimi Nimetoka kusema huko juu
Samcezar na cariha mnachokifanya hapa kinaitwa reversed expression of love.

Mnatumia negativities kuelezea hisia zenu....mnatukanana lakini hakuna anayekubali ku give up sababu mnapenda kuwa in touch.

Mkitoka hapa mtaelekea PM na mwisho wa siku ni 6*6 bila tambara lolote.

Imewahi kutokea hivi hivi hapa JF na sasa ni mume na mke.
Nawatakia kila la kheri[emoji28]
Piga ua Galagaza hawa cariha na Samcezar wakikutana Live Lazima Sana kuwe na MAUPENDO ya kufa Mtu Aiseee

Mfano Mimi wakat niko Darasa la Sita na Saba kuna Demu furan tulikua haipiti wiki hatujapigana yani hivyo yani Mara anisemee kwa Mwalimu Nipigwe, Mara anifichie vitu vyangu, Mara anicheke, Yani Alimradi Tafrani pale. BUT THERE WAS A LOVE THERE. At the end of school tukawa tukoclose tunanunua msosi tunakula Pamoja tunaondoka wote shule

Tulikuja Date Vizuri After Form Four [emoji2][emoji2][emoji2]

Watake/Wasitake huo Ndio Ukweli
Na Nyie Wengine Acheni Ukorofi si Mkaushe [emoji38][emoji1]
 
Yani Mkuu hata Mimi Nimetoka kusema huko juuPiga ua Galagaza hawa cariha na Samcezar wakikutana Live Lazima Sana kuwe na MAUPENDO ya kufa Mtu Aiseee

Mfano Mimi wakat niko Darasa la Sita na Saba kuna Demu furan tulikua haipiti wiki hatujapigana yani hivyo yani Mara anisemee kwa Mwalimu Nipigwe, Mara anifichie vitu vyangu, Mara anicheke, Yani Alimradi Tafrani pale. BUT THERE WAS A LOVE THERE. At the end of school tukawa tukoclose tunanunua msosi tunakula Pamoja tunaondoka wote shule

Tulikuja Date Vizuri After Form Four [emoji2][emoji2][emoji2]

Watake/Wasitake huo Ndio Ukweli
Na Nyie Wengine Acheni Ukorofi si Mkaushe [emoji38][emoji1]
We ulisikia wapi Cariha anataka kuwa na [emoji848]
Ngoja nikae kimya[emoji23][emoji850][emoji850][emoji850]
Maana nisije Liza watu humu[emoji1787]
 
Back
Top Bottom