Wanaume tuwe makini na sehemu tunazotaka kuoa

Wanaume tuwe makini na sehemu tunazotaka kuoa

Watu mna chuki na watu wa kaskazini. Sikiliza. Kwenye makabila kama wakurya, wasukuma, wachaga, wamasai kuna mfumo dume mbaya sana tangu miaka ya zamani. Hili limefanya wanawake wao kuwa watii kwa waume zao. Mikoa yenye wanawake jeuri ni mikoa ya Pwani kwani wanaume wa huko siyo wakali. Na ndiyo wenye wanawake midomo michafu kweli kweli
Interesting how unakataa Generalization na hapohapo unageneralize. Victim mindset at best.

Jibu ni wanawake wote wako sawa, kinachowatofautisha ni malezi yao tu. Wenye tabia mbovu na njema wapo kila sehemu. Sababu binadamu ni viumbe individual wneye maamuzi na tabia binafsi. There, simple, nothing to cry about.
 
Interesting how unakataa Generalization na hapohapo unageneralize. Victim mindset at best.

Jibu ni wanawake wote wako sawa, kinachowatofautisha ni malezi yao tu. Wenye tabia mbovu na njema wapo kila sehemu. Sababu binadamu ni viumbe individual wneye maamuzi na tabia binafsi. There, simple, nothing to cry about.
I agree but ......bado kuna utamaduni/mila na tabia za sehemu fulani ambazo watu wa eneo husika huwa nazo. Inawezekana tabia zikatofautiana kati ya familia kulingana na makuzi lakini bado kuna zile ambazo wengi huwa nazo kutokana na mazingira waliyokulia.
 
Koo za kina Mushi vipi mkuu, huko kibosho
Kibosho koo za kina mushi ndiyo koo kubwa kuliko zote na ndiyo kuna idadi kubwa kuliko wote hapo unaangalia nyumba zao sio koo tena......
Japo mushi wana matabaka kama
Mushi Kimboka, mushi kinanga, mushi lesindamu, mushi sina, mushi lekundayo, n.k ni wengi

Ingekuwa kwa koo ndogo tu hapo ungealia koo mfano ukoo wa Kiria sio mkubwa unaweza ukawatazama wao walivo.
 
Mimi naweza kufafanya kitu kibaya kabisa kwa majibu ya chooni kama haya.

Sina maneno mengi ila inasikitisha sana kwa hali ilivyo siku hizi hawa wanawake watatuuwa tukiwa bado vijana wadogo kabisa.

Pia tuwe makini na sehemu tunazotaka kuoa wanaume.

View attachment 2985405
Siku iyo iyo nishapiga chini uvumilivu kabulini ukoo aisee siwezi kaa na mama wa namna hii atakuja akuue
 
Mimi naweza kufafanya kitu kibaya kabisa kwa majibu ya chooni kama haya.

Sina maneno mengi ila inasikitisha sana kwa hali ilivyo siku hizi hawa wanawake watatuuwa tukiwa bado vijana wadogo kabisa.

Pia tuwe makini na sehemu tunazotaka kuoa wanaume.

View attachment 2985405
Hatari kweli kweli
 
Mimi naweza kufafanya kitu kibaya kabisa kwa majibu ya chooni kama haya.

Sina maneno mengi ila inasikitisha sana kwa hali ilivyo siku hizi hawa wanawake watatuuwa tukiwa bado vijana wadogo kabisa.

Pia tuwe makini na sehemu tunazotaka kuoa wanaume.

View attachment 2985405
Hiyo lafidhi na hizo swaga zipo kwa wanawake wa kichaga na kimeru.
Yaani ukute ndio ana kazi kaajiriwa, kasoma kiasi na tayari umemuoa na kuzaa naye, basi ngoma inakuwa hivyo.
 
Kwahiyo ndani ya ndoa mwanamke yupo sababu kuna pesa? Mkuu mapenzi yanahitaji hisia mtu mkaelewana hasa.
Nimemaanisha ili mwanamke asikuzalau kuwa na kipato.tembea na chunguza wanaume wasio na kipato wanavyonyanyaswa kwenye ndoa zao
 
Back
Top Bottom