Wanaume, ushawahi pewa sharti la "no sex hadi ndoa" na mdada? Uli-deal nalo vipi, na matokeo yalikuaje?

Wanaume, ushawahi pewa sharti la "no sex hadi ndoa" na mdada? Uli-deal nalo vipi, na matokeo yalikuaje?

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Habarini,

Wanaume, katika harakati za kutongoza unakutana na mdada, unamtongoza, anaonesha kuwa kakubali, ila mkiwa kwenye story ukigusia swala la mzigo anakwambia sex ni hadi ndoa..au atakuuliza unaonaje swala la no sex till marriage (aki hint kwamba ukitaka u-sex nae ni hadi umuoe).. wadada wengi tu sahivi nikiwatongoza wananipa majibu haya sijui wananionaje..

No sex till marriage, ni idea nzuri kidini lakini wakuu is it worth waiting..

Kwa wadada, ni kila mwanaume anaewatongoza mkamkubali mnamwambiaga hakuna sex hadi ndoa, au kuna baadhi ya wanaume mnawaambiaga hivyo.

Melancholic Lamomy mzabzab Natafuta Ajira Xi Jinping Zemanda Chakorii To yeye Zuleykha Miss Natafuta Madame B Strong and Fearless The redemeer Mwachiluwi Poor Brain DeepPond cocastic Mzee wa kupambania ephen_ GENTAMYCINE
 
Habarini,

Wanaume, katika harakati za kutongoza unakutana na mdada, unamtongoza, anaonesha kuwa kakubali, ila mkiwa kwenye story ukigusia swala la mzigo anakwambia sex ni hadi ndoa..au atakuuliza unaonaje swala la no sex till marriage (aki hint kwamba ukitaka u-sex nae ni hadi umuoe).. wadada wengi tu sahivi nikiwatongoza wananipa majibu haya sijui wananionaje..

No sex till marriage, ni idea nzuri kidini lakini wakuu is it worth waiting..

Kwa wadada, ni kila mwanaume anaewatongoza mkamkubali mnamwambiaga hakuna sex hadi ndoa, au kuna baadhi ya wanaume mnawaambiaga hivyo.

Melancholic Lamomy mzabzab Natafuta Ajira Xi Jinping Zemanda Chakorii To yeye Zuleykha Miss Natafuta Madame B Strong and Fearless The redemeer Mwachiluwi Poor Brain DeepPond cocastic Mzee wa kupambania ephen_ GENTAMYCINE
Hilo ndio jibu Sahihi na wanawake wote kazeni mpaka wote mtaolewa, haijalishi ndoa itadumu au la, faida ni hii, ikitokea ukazaa mtoto anatambulika vyema pande zote kuwa ni wao sio wa kuunga unga, pili mahari umekula na hayo ndo kihalalishio Cha tendo la ndoa, tatu hapo hakuna kuchezeana Wala kudanganyana, nne wataoa waliotayar kuoa sio mambo yakikaa sawa nitakuoa, Tano una Mme mdada wa Halali kabisa, SITA akifa utarithi kama vile wewe ukifa atakutithi, wadada rudisheni thamani yenu kwa kuingia kwenye mahusiano kwa ndoa.
 
Hilo ndio jibu Sahihi na wanawake wote kazeni kama wote mtaolewa, haijalishi ndoa itasumu au la, faida ni hii, ikitokea ukazaa mtoto anatambulika vyema pande zote kuwa ni wao sio wa kuunga unga, pili mahari umekula na hayo ndo kihalalishio Cha tendo la ndoa, tatu hapo hakuna kuchezeana Wala kudanganyana, nne wataoa waliotayar kuoa sio mambo yakikaa sawa nitakuona, Tano una Mme mdada wa Halali kabisa, SITA akifa utarithi kama vile wewe ukifa atakutithi, wadada rudisheni thamani yenu kwa kuingia kwenye mahusiano kwa ndoa.
wakati unawashauri haya usisahau kuwaambia kuwa matunzo watapewa na familia zao mpaka pale watakapoolewa na hata ikitokea wametoka out na huyu anayesubirishwa ndoa ili ndiyo apewe mzigo itakuwa cost sharing 50/50 kwa maana wanaumiza sana wadogo zetu mfano ni huyu kajamaa kadogo.
 
Habarini,

Wanaume, katika harakati za kutongoza unakutana na mdada, unamtongoza, anaonesha kuwa kakubali, ila mkiwa kwenye story ukigusia swala la mzigo anakwambia sex ni hadi ndoa..au atakuuliza unaonaje swala la no sex till marriage (aki hint kwamba ukitaka u-sex nae ni hadi umuoe).. wadada wengi tu sahivi nikiwatongoza wananipa majibu haya sijui wananionaje..

No sex till marriage, ni idea nzuri kidini lakini wakuu is it worth waiting..

Kwa wadada, ni kila mwanaume anaewatongoza mkamkubali mnamwambiaga hakuna sex hadi ndoa, au kuna baadhi ya wanaume mnawaambiaga hivyo.

Melancholic Lamomy mzabzab Natafuta Ajira Xi Jinping Zemanda Chakorii To yeye Zuleykha Miss Natafuta Madame B Strong and Fearless The redemeer Mwachiluwi Poor Brain DeepPond cocastic Mzee wa kupambania ephen_ GENTAMYCINE
Upuuzi kama Huo jibu ni Moja

Sitakuhudumia mpaka ndoa Kwa sauti kavu alafu naondoka zangu hii ilishanitokea Kwa dada mmoja baada ananiambie Tuonane

Tulionanana bar flan hivi akaanza kuleta shida Nyingi nikamuuliza umekula akasema hajala tokea Jana nikaagiza chakula nikalipia nikamwambia kula ushibe nikajiondokea zangu .
 
wakati unawashauri haya usisahau kuwaambia kuwa matunzo watapewa na familia zao mpaka pale watakapoolewa na hata ikitokea wametoka out na huyu anayesubirishwa ndoa ili ndiyo apewe mzigo itakuwa cost sharing 50/50 kwa maana wanaumiza sana wadogo zetu mfano ni huyu kajamaa kadogo.
Hapa nakuambia wewe si wao, si jukumu lako kumhudumia kwa chochote mpaka awe mke wako Wala hakuna haja ya kutoana out ya nini? Maongezi ni popote eleza shida Yako usijitaftie hasara. Kama gar ni la mtu wewe inalihudumiaje? Labda umelikodisha kwa maelewano maalumu. Oa uwe na haki zote kwa mke, Olewa uwe na haki zote za Mume.
 
Habarini,

Wanaume, katika harakati za kutongoza unakutana na mdada, unamtongoza, anaonesha kuwa kakubali, ila mkiwa kwenye story ukigusia swala la mzigo anakwambia sex ni hadi ndoa..au atakuuliza unaonaje swala la no sex till marriage (aki hint kwamba ukitaka u-sex nae ni hadi umuoe).. wadada wengi tu sahivi nikiwatongoza wananipa majibu haya sijui wananionaje..

No sex till marriage, ni idea nzuri kidini lakini wakuu is it worth waiting..

Kwa wadada, ni kila mwanaume anaewatongoza mkamkubali mnamwambiaga hakuna sex hadi ndoa, au kuna baadhi ya wanaume mnawaambiaga hivyo.

Melancholic Lamomy mzabzab Natafuta Ajira Xi Jinping Zemanda Chakorii To yeye Zuleykha Miss Natafuta Madame B Strong and Fearless The redemeer Mwachiluwi Poor Brain DeepPond cocastic Mzee wa kupambania ephen_ GENTAMYCINE
Famous tactic inatumiwa na wadada ili uhudumie bila kupata chochote.

Mwanamke akikupenda hakuwekei masharti, baada ya kauli kama hiyo you disappear
 
Habarini,

Wanaume, katika harakati za kutongoza unakutana na mdada, unamtongoza, anaonesha kuwa kakubali, ila mkiwa kwenye story ukigusia swala la mzigo anakwambia sex ni hadi ndoa..au atakuuliza unaonaje swala la no sex till marriage (aki hint kwamba ukitaka u-sex nae ni hadi umuoe).. wadada wengi tu sahivi nikiwatongoza wananipa majibu haya sijui wananionaje..

No sex till marriage, ni idea nzuri kidini lakini wakuu is it worth waiting..

Kwa wadada, ni kila mwanaume anaewatongoza mkamkubali mnamwambiaga hakuna sex hadi ndoa, au kuna baadhi ya wanaume mnawaambiaga hivyo.

Melancholic Lamomy mzabzab Natafuta Ajira Xi Jinping Zemanda Chakorii To yeye Zuleykha Miss Natafuta Madame B Strong and Fearless The redemeer Mwachiluwi Poor Brain DeepPond cocastic Mzee wa kupambania ephen_ GENTAMYCINE
Ukitaka sex mpe hela, ukitaka ndoa muoe. Sasa wewe unaingia na gia ya ndoa halafu unataka sex! Vitu viwili tofauti.
Wewe nenda kwa wadada wanaojiuza pale wamepanga foleni mchague mmoja mwambie unataka ndoa uone Kama atakupa sex.
 
Habarini,

Wanaume, katika harakati za kutongoza unakutana na mdada, unamtongoza, anaonesha kuwa kakubali, ila mkiwa kwenye story ukigusia swala la mzigo anakwambia sex ni hadi ndoa..au atakuuliza unaonaje swala la no sex till marriage (aki hint kwamba ukitaka u-sex nae ni hadi umuoe).. wadada wengi tu sahivi nikiwatongoza wananipa majibu haya sijui wananionaje..

No sex till marriage, ni idea nzuri kidini lakini wakuu is it worth waiting..

Kwa wadada, ni kila mwanaume anaewatongoza mkamkubali mnamwambiaga hakuna sex hadi ndoa, au kuna baadhi ya wanaume mnawaambiaga hivyo.

Melancholic Lamomy mzabzab Natafuta Ajira Xi Jinping Zemanda Chakorii To yeye Zuleykha Miss Natafuta Madame B Strong and Fearless The redemeer Mwachiluwi Poor Brain DeepPond cocastic Mzee wa kupambania ephen_ GENTAMYCINE
Kuna Dem alinambia no sex mpka ndoa namm nikamwambia no kuomba pesa mpka ndoa, alinuna karibu mwez mzima alivyorudi geto alifikia rum tena kitandani moja Kwa moja
 
Habarini,

Wanaume, katika harakati za kutongoza unakutana na mdada, unamtongoza, anaonesha kuwa kakubali, ila mkiwa kwenye story ukigusia swala la mzigo anakwambia sex ni hadi ndoa..au atakuuliza unaonaje swala la no sex till marriage (aki hint kwamba ukitaka u-sex nae ni hadi umuoe).. wadada wengi tu sahivi nikiwatongoza wananipa majibu haya sijui wananionaje..

No sex till marriage, ni idea nzuri kidini lakini wakuu is it worth waiting..

Kwa wadada, ni kila mwanaume anaewatongoza mkamkubali mnamwambiaga hakuna sex hadi ndoa, au kuna baadhi ya wanaume mnawaambiaga hivyo.

Melancholic Lamomy mzabzab Natafuta Ajira Xi Jinping Zemanda Chakorii To yeye Zuleykha Miss Natafuta Madame B Strong and Fearless The redemeer Mwachiluwi Poor Brain DeepPond cocastic Mzee wa kupambania ephen_ GENTAMYCINE
Naweza kufikiria kulikubali kama ni virgin otherwise aende zake huko.
 
Back
Top Bottom