Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa Bali mahusiano ya ndoa ni safi kabisa sahihiMahusiano ni dhambi tupu🤧
Bikra tu ndio ana haki ya kuniambia hivyo, ila hawa ma mitumba waendelee kutafunwaHabarini,
Wanaume, katika harakati za kutongoza unakutana na mdada, unamtongoza, anaonesha kuwa kakubali, ila mkiwa kwenye story ukigusia swala la mzigo anakwambia sex ni hadi ndoa..au atakuuliza unaonaje swala la no sex till marriage (aki hint kwamba ukitaka u-sex nae ni hadi umuoe).. wadada wengi tu sahivi nikiwatongoza wananipa majibu haya sijui wananionaje..
No sex till marriage, ni idea nzuri kidini lakini wakuu is it worth waiting..
Kwa wadada, ni kila mwanaume anaewatongoza mkamkubali mnamwambiaga hakuna sex hadi ndoa, au kuna baadhi ya wanaume mnawaambiaga hivyo.
Melancholic Lamomy mzabzab Natafuta Ajira Xi Jinping Zemanda Chakorii To yeye Zuleykha Miss Natafuta Madame B Strong and Fearless The redemeer Mwachiluwi Poor Brain DeepPond cocastic Mzee wa kupambania ephen_ GENTAMYCINE
Kila mtu ana msimamo wakeBikra tu ndio ana haki ya kuniambia hivyo, ila hawa ma mitumba waendelee kutafunwa
Na mimi ndio nakuambia BIKRA TU NDIE MWENYEWE UBAVU WA KUONGEA HIVYOKila mtu ana msimamo wake
Ni sawa kabisa, pia kwa mjini humu uko Sahihi si Kila mtu, ila wakikaza tataoa sana ila njaa ndio shida hawawezi kukazaNa mimi ndio nakuambia BIKRA TU NDIE MWENYEWE UBAVU WA KUONGEA HIVYO
Na wewe uelewe mwanamke bikra ndie wa kuongea hayo maneno ila li bwawa ambalo halikujitunza liendelee kutumikaNi sawa kabisa, pia kwa mjini humu uko Sahihi si Kila mtu, ila wakikaza tataoa sana ila njaa ndio shida hawawezi kukaza
Wenye wanazini waendeleeKabisa Bali mahusiano ya ndoa ni safi kabisa sahihi
Tafuta hela usilie hivyoBikra tu ndio ana haki ya kuniambia hivyo, ila hawa ma mitumba waendelee kutafunwa
Hutoa bikra ngoooo🤪😆Kama ni bikra, ni sawa.
Tofauti na hapo aendelee kukitembeza kwa wahuni na hawaoi
Waambie waache ukiwaruhusu utakuwa umesaidia katika uovu malleWenye wanazini waendelee
😹
Na huo mtumba ndo utaoaBikra tu ndio ana haki ya kuniambia hivyo, ila hawa ma mitumba waendelee kutafunwa
Mimi sipindushi msimamo wanguWaambie waache ukiwaruhusu utakuwa umesaidia katika uovu malle
Mweleweshe soon ataelewaNa huo mtumba ndo utaoa
Bitter truth
Humu jf wakaka wanajifanya hawataki mtumba😹😹Mweleweshe soon ataelewa
Uko Sahihi hiyo kitu inatolewa Kwa vigezo na masharti uko Sahihi, ila kwenye kula Hela umeanza kuharibu, unakula Hela kwa kigezo kipi? Ukila Hela yake ni sawa na huyo anaezini bila ndoa. Acha utapeli malle, na mpaka hapo na Hela unakula wanakupiga vizur tu nimekushtukia.Mimi sipindushi msimamo wangu
Having sex is like lowering my standards
Sizini mm
Na hela zao ntakula
Waulize wao ni Bikra? Kinachowasumbua nyinyi ni njaa ndo maana hata wewe nilijua unamsimamo kumbe Hela zao unazitaka, utawapa tu hiyo kitu.Humu jf wakaka wanajifanya hawataki mtumba😹😹
Kila mtu anataka bikra
Ngoja tuone
Me nakula nauli😹😹😹tu sizini banaUko Sahihi hiyo kitu inatolewa Kwa vigezo na masharti uko Sahihi, ila kwenye kula Hela umeanza kuharibu, unakula Hela kwa kigezo kipi? Ukila Hela yake ni sawa na huyo anaezini bila ndoa. Acha utapeli malle, na mpaka hapo na Hela unakula wanakupiga vizur tu nimekushtukia.
Unajaribu kusema nauza😳Waulize wao ni Bikra? Kinachowasumbua nyinyi ni njaa ndo maana hata wewe nilijua unamsimamo kumbe Hela zao unazitaka, utawapa tu hiyo kitu.