Wanaume, ushawahi pewa sharti la "no sex hadi ndoa" na mdada? Uli-deal nalo vipi, na matokeo yalikuaje?

Wanaume, ushawahi pewa sharti la "no sex hadi ndoa" na mdada? Uli-deal nalo vipi, na matokeo yalikuaje?

Habarini,

Wanaume, katika harakati za kutongoza unakutana na mdada, unamtongoza, anaonesha kuwa kakubali, ila mkiwa kwenye story ukigusia swala la mzigo anakwambia sex ni hadi ndoa..au atakuuliza unaonaje swala la no sex till marriage (aki hint kwamba ukitaka u-sex nae ni hadi umuoe).. wadada wengi tu sahivi nikiwatongoza wananipa majibu haya sijui wananionaje..

No sex till marriage, ni idea nzuri kidini lakini wakuu is it worth waiting..

Kwa wadada, ni kila mwanaume anaewatongoza mkamkubali mnamwambiaga hakuna sex hadi ndoa, au kuna baadhi ya wanaume mnawaambiaga hivyo.

Melancholic Lamomy mzabzab Natafuta Ajira Xi Jinping Zemanda Chakorii To yeye Zuleykha Miss Natafuta Madame B Strong and Fearless The redemeer Mwachiluwi Poor Brain DeepPond cocastic Mzee wa kupambania ephen_ GENTAMYCINE
Bikra tu ndio ana haki ya kuniambia hivyo, ila hawa ma mitumba waendelee kutafunwa
 
Ni sawa kabisa, pia kwa mjini humu uko Sahihi si Kila mtu, ila wakikaza tataoa sana ila njaa ndio shida hawawezi kukaza
Na wewe uelewe mwanamke bikra ndie wa kuongea hayo maneno ila li bwawa ambalo halikujitunza liendelee kutumika
 
Ilikuwa jkt alikuwa mlokole na mm nikaenda na swaga za kilokole usiku tukiagana tusali kwanza af ndio ulale 😂

Nikimkumbusha anasema oh si unajua dhambi ilikeenda ikawa nami namuunga mkono nashangaa siku ya siku inakuja sms naisoma ansema hapa labda wewe tu ndio naweza kukupa ilikuwa usiku akasema twende mnazi nikajitutumua nikaenda mnazi nikamaliza baada ya hapo nikamfungia viooo
 
Mimi sipindushi msimamo wangu

Having sex is like lowering my standards
Sizini mm
Na hela zao ntakula
Uko Sahihi hiyo kitu inatolewa Kwa vigezo na masharti uko Sahihi, ila kwenye kula Hela umeanza kuharibu, unakula Hela kwa kigezo kipi? Ukila Hela yake ni sawa na huyo anaezini bila ndoa. Acha utapeli malle, na mpaka hapo na Hela unakula wanakupiga vizur tu nimekushtukia.
 
Uko Sahihi hiyo kitu inatolewa Kwa vigezo na masharti uko Sahihi, ila kwenye kula Hela umeanza kuharibu, unakula Hela kwa kigezo kipi? Ukila Hela yake ni sawa na huyo anaezini bila ndoa. Acha utapeli malle, na mpaka hapo na Hela unakula wanakupiga vizur tu nimekushtukia.
Me nakula nauli😹😹😹tu sizini bana
Waache kukaa mkao wa kuchunwa basi
 
Back
Top Bottom