joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Hilo line mwisho hiyo utafanywa vibaya hasa ukikutana na wahuni,kuna wapuuzi wanawawekea dawa wanawake baada ya hapo wanapita milango yote. Mpo kwenye dunia ambayo haina huruma maana wengine hela yao lazima jasho litakutoka.Mimi sipindushi msimamo wangu
Having sex is like lowering my standards
Sizini mm
Na hela zao ntakula
Thank you 😍mmeacha kulaHilo line mwisho hiyo utafanywa vibaya hasa ukikutana na wahuni,kuna wapuuzi wanawawekea dawa wanawake baada ya hapo wanapita milango yote. Mpo kwenye dunia ambayo haina huruma maana wengine hela yao lazima jasho litakutoka.
Huko church kikapu cha sadaka kimepona kweli? 😹😹Ile kitu inaingia na kutoka kwa mwenzio.
Afu leo J2 nimetoka kanisani, niache usinitie dhambini, shindwa ibilisi fire fire fire fire 🔥🔥🔥
Mm ndio role modal wa wengi pale kanisani kwetuHuko church kikapu cha sadaka kimepona kweli? 😹😹
Kama sio bikira hana uhalali wa kuweka ilo sharti. Naomba nieleweke hapa kwamba, haki ya kuweka ilo sharti anayo lakini uhalali hana.Habarini,
Wanaume, katika harakati za kutongoza unakutana na mdada, unamtongoza, anaonesha kuwa kakubali, ila mkiwa kwenye story ukigusia swala la mzigo anakwambia sex ni hadi ndoa..au atakuuliza unaonaje swala la no sex till marriage (aki hint kwamba ukitaka u-sex nae ni hadi umuoe).. wadada wengi tu sahivi nikiwatongoza wananipa majibu haya sijui wananionaje..
No sex till marriage, ni idea nzuri kidini lakini wakuu is it worth waiting..
Kwa wadada, ni kila mwanaume anaewatongoza mkamkubali mnamwambiaga hakuna sex hadi ndoa, au kuna baadhi ya wanaume mnawaambiaga hivyo.
Melancholic Lamomy mzabzab Natafuta Ajira Xi Jinping Zemanda Chakorii To yeye Zuleykha Miss Natafuta Madame B Strong and Fearless The redemeer Mwachiluwi Poor Brain DeepPond cocastic Mzee wa kupambania ephen_ GENTAMYCINE
Hakuna cha bikra wala nini ni ujinga ujinga tuNa haujaikuta bikra? Maana yake alitaka akakugee kwenye ndoa tobo watu washapiga sana tu.
[emoji3]
Sikulazimishi kuamini huo ni uamuzi wako bibieHuu uongoo!!
Mfano mimi hata mia yangu huliMimi sipindushi msimamo wangu
Having sex is like lowering my standards
Sizini mm
Na hela zao ntakula
Tuma M-PESA number nikuwekee hela ya nyamachoma, umemuumbua vzr malaya mkubwa huyoUko Sahihi hiyo kitu inatolewa Kwa vigezo na masharti uko Sahihi, ila kwenye kula Hela umeanza kuharibu, unakula Hela kwa kigezo kipi? Ukila Hela yake ni sawa na huyo anaezini bila ndoa. Acha utapeli malle, na mpaka hapo na Hela unakula wanakupiga vizur tu nimekushtukia.
Huyo utakuta hata leo katoka kutombwa, anajifanyisha kumbe hana loloteWaulize wao ni Bikra? Kinachowasumbua nyinyi ni njaa ndo maana hata wewe nilijua unamsimamo kumbe Hela zao unazitaka, utawapa tu hiyo kitu.
Una akili sana, jinsia gani? SorrySawa hata kama wamekaa mkao wa kuchunwa anayechuna ni mchunaji, msafi anakaa mbali na uchunaji, nakutofautishaje Sasa?
MuoajiUna akili sana, jinsia gani? Sorry
Kwa nini bila Mimi huweziSiwezi bila ww
😹
Yesu si mlaghai na hana tamaa na vinavyojileta, mfate vizur utafaikiwa😹Unanihukumu mapema
Mimi nimemkubali yesu maishani
I'm a Celibate
God is goodYesu si mlaghai na hana tamaa na vinavyojileta, mfate vizur utafaikiwa
Kweli empty vessel makes the loudest noiseHuyo utakuta hata leo katoka kutombwa, anajifanyisha kumbe hana lolote
Sili hela za masikiniMfano mimi hata mia yangu huli