Wanaume, ushawahi pewa sharti la "no sex hadi ndoa" na mdada? Uli-deal nalo vipi, na matokeo yalikuaje?

Hii ndo tunasema I belong to you,๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜‚

Jumapili tuende kanisani๐Ÿ’
Au
Nafikiria kwanza zile Hela za watu ulizokula nikitembea na wewe njiani mara huyu hapa rudisha Hela zangu hapo itakuwaje? Mmmhhhh
 
Ukipendwa hata kabla hujasema unapewa vizuri tena mchana kweupe.
 
Jenga mazoea na huyo demu ila chunga sana mazoea usiyaanzishe kwa msingi wa kumuita kwny sehemu ambayo utachojoka mtonyo nakuhakikishia bro huo mzigo utaula ata kwny pagale na for free of charges kbs

Nb. Zingatia neno mazoea na u joti fulani ivi kwa mbali Uki fair apo achana na hilo jini sio manzi
 
Mim nimekutn nayo, sikuhangaika nikajua hap hakuna jipya, hivyo nikapunguza ukaribu nae akaniuliza kulikon nikamwambia usijari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ