Wanaume wa Dar! Mitaa mitatu Mnatekwa na Panya Road?

Wanaume wa Dar! Mitaa mitatu Mnatekwa na Panya Road?

Mitaa mitatu yote kutekwa kwa wakati mmoja huko chanika,bila hata Panya mmoja kukamatwa au kujeruhiwa.

Hili jambo nashindwa kulielewa kabisa!

Nafikiria ingekuwa vipi kama hao Panya road wangejaribu huo ujinga huku mikoani.

Sijui kama wangekuwa hai mpaka saa hii!

Wanaume wa Dar es salaam jifunzeni ukakamavu maana ni jukumu la kila Baba kuilinda familia yake.
😆 Hivi mwanamme utakaaje ndani bila hata silaha? Sawa unaweza kuwa huna bunduki, hata mkuki au upinde na mishale hakuna. Fimbo pia huna. Mtu utakuta ndani anafimbo ya selfie pekee.
 
Hivi inakuaje vijitu vimekondeana kama hivi vinawanyima usingizi?

Screenshot_20220507-210711_Facebook.jpg
 
Back
Top Bottom