Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Kwani ni uongo kama wao sio cowards ?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]wanaume wa mikoani wamepata point za kuwasema wanaume wa dar..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ni uongo kama wao sio cowards ?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]wanaume wa mikoani wamepata point za kuwasema wanaume wa dar..
😆 Hivi mwanamme utakaaje ndani bila hata silaha? Sawa unaweza kuwa huna bunduki, hata mkuki au upinde na mishale hakuna. Fimbo pia huna. Mtu utakuta ndani anafimbo ya selfie pekee.Mitaa mitatu yote kutekwa kwa wakati mmoja huko chanika,bila hata Panya mmoja kukamatwa au kujeruhiwa.
Hili jambo nashindwa kulielewa kabisa!
Nafikiria ingekuwa vipi kama hao Panya road wangejaribu huo ujinga huku mikoani.
Sijui kama wangekuwa hai mpaka saa hii!
Wanaume wa Dar es salaam jifunzeni ukakamavu maana ni jukumu la kila Baba kuilinda familia yake.
🤣🤣🤣🤣..shauri yako😊Kwani ni uongo kama wao sio cowards ?
Mimi mlango wangu sifungagi na hagusi mtu hadi narudiWaje Arusha hao.... Yaani ni kina mama tuu ndo watapambana nao wawatie adaby
Hawana maajabu wala usiogope[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..shauri yako[emoji4]
Sasa mbona teleza alikuwa anawabaka mpka mnalalamika kwenye vyombo vya habariMimi mlango wangu sifungagi na hagusi mtu hadi narudi
Vita ni timing, hata ukiwa na atomic bombs, mwenye kisu akiutangulia tu kukuchoma nacho sehemu hatari ya mwili (chembe ya moyo) basi ndiyo tayari ushaliwa hivyo [emoji1]
Sasa wee s uje huku uone balah la Hawa watoto wew usiwachukulie POA Hawa watoto
Acha ulofa wewe,sisi tunapambana na wanyama wakali huku mikoani sembuse hivyo vitoto vilemavuSasa wee s uje huku uone balah la Hawa watoto wew usiwachukulie POA Hawa watoto
Mmeshindwa kuvitilia sumu hivi vipanya vikafa?
Bila CCM, hawa wasinge kuwepo. Tabia zao ni copyright na za CCM tu.