Wanaume wa Dar tumechoka kudharaulika!

We kweli mwanaume Wa Dar!!! Unalalamika nini sasa.
 
Wanaume wa dar inabidi muoganize kunji muandamane kuipinga hyo kauli
 
hahahaaa yani ndo umeamua kuwaharibu kabisaaaaaa[emoji2]

wanaume wa dar..!!!! Endeleeni hvo hvo ndo maisha mliochagua.....kubeba begi kubwa siku nzima afu umeweka earphone tu[emoji13]

[HASHTAG]#Atubu[/HASHTAG]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]mchana na ucku chips naimagine vimaji maji atavyotoa baada ya show[emoji23][emoji23]eee baba wanusuru
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Achana nao hao wa mkoa. Wakishuka Ubungo mtihani wa kwanza ni kuvuka barabara. Kwanza majengo yanamchanganya, pili hajui anaanzaje kuvuka barabara. Wengi wanaishia kupiga simu tukawapokee, halafu wanaleta dharau eti wanaume wa Dar dhaifu. Shynzy taipu
 
Hahaha hiyo #3 nimeipenda.
Kwa hiyo hata kukimbia shida
 
Hahhhh.... Labda alikuwa ana wahi dili
Sa si apande tu fresh asimame, make fire na msimbazi kutembea hata dakika 10 haziishi, mwanaume anagombania utadhani ana safari ya masaa mawili
 
Cheers kwao
Ngoja nikafanye scrub na pedicure narudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…