Wanaume wa Dar wanaongoza kupigwa vita ila ndiyo sukari ya warembo

Wanaume wa Dar wanaongoza kupigwa vita ila ndiyo sukari ya warembo

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
"Wanaume wa Dar" ni jina ambalo limekuwa linatumika sana mitandaoni likiwa na maana ya kudogosha uanaume wa vijana awa waliozaliwa mjini.

Sifa kuu ya wanaume wa Dar ni usafi, ujanja, exposure na ndoto kubwa kubwa.

Wanaume wa Dar wanajipenda sana kuanzia chakula wanachokula, mavazi wanayovaa, usafiri wanaotumia, mahali wanapoishi, starehe wanazofanya nk

Hii imepelekea kuwa na mvuto na nyota ya kupendwa na wasichana warembo na kiukweli mwanamke yoyote wa kisasa, mrembo mwenye kujiamini anakubalika basi ndoto yake ni ku- date na mwanaume wa Dar.

Wanaume wa Dar wanapigwa vita sana ya maneno na walugaluga pamoja na wanawake 'reject'. Hii vita inasababishwa na wivu pamoja na chuki kwa sababu ya kuzidiwa maarifa na nyota.

Kuna washkaji wanaumia kuona wanatumia nguvu kubwa kupata wanawake wazuri ilihali wanaume wa Dar kwao ni kama kumsukuma mlevi. Watu wanagongewa sana mademu zao na wanaume wa Dar tena bila gharama watoto wanaelewa tu wanyamwezi swaga zao.

Kiukweli am so proud kuwa mwanaume wa Dar 🤣🤣🤣
 
Kwani wanaume wa Dar ni wale waliozaliwa Dar, Wale Wanaoishi Dar au wale wenye asili ya mkoa wa Dar (wazaramo et el)?

Hebu tuanzie hapo kwanza.

Maana kuna msukuma mmoja alikuwa anauita mkoa wake na akawa anawapiga mkwala wazaramo wasiingie mjini kama hawajaoga...
 
Kwa matuminzi ya vumbi la kongo na booster nyinginezo hutuwawezi
Hizi ni hasira tu najua unaelewa mambo yetu.

Kuvaa pamba kali

Kunukia perfume nzuri (brands)

Kuishi sehemu nzuri

Usafiri ndio kama roho bora ukose vingine

Tunafanya starehe za maana sio nyinyi mkija mnajazana lachaz

Tuna ndoto kubwa kazi tunachagua za maanaa, biashara tunafanya zenye kuleta pesa au ikibidi tunasafiri kucheki maisha sehemu nyingine nje ya nchi.

Mwanaume wa Dar ndio kabali yao
 
Hizi ni hasira tu najua unaelewa mambo yetu.

Kuvaa pamba kali

Kunukia perfume nzuri (brands)

Kuishi sehemu nzuri

Usafiri ndio kama roho bora ukose vingine

Tunafanya starehe za maana sio nyinyi mkija mnajazana lachaz

Tuna ndoto kubwa kazi tunachagua za maanaa, biashara tunafanya zenye kuleta pesa au ikibidi tunasafiri kucheki maisha sehemu nyingine nje ya nchi.

Mwanaume wa Dar ndio kabali yao
Mbona hujaweka kuvaa sawa na mademu zenu?
Mnafungishwa mtaa na watoto wa panya road bure kabisa nyie
 
Jibu swali basi acha kuweweseka.... Mi nazungumzia mzaramo we unaenda kwa Wachagga. We kabila gani?
Nimekwambia wewe mchaga uliyekuja mjini utu uzimani haujafuzu kuwa mtoto wa mjini. Relax mkuu ni utaratibu tu huu
 
Back
Top Bottom