Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunapigwa vita sana na walugaluga ila watoto wazuri hauwaambii kitu juu yetuWanaume wa Dar Unyakyusa mwingi sana.....tunakamata tu milupo ya wa mikoani... Unyama sana.....
Hata wewe kwenye primetime yako ulikula maisha na wanaume wa Dar, uongo kweli!?😂Oo maskini huyu kijana🤕
Hakika sasa nimekupata barabara mkuuLabda awe hajui tu, kaifuma tu mitumbani!
Ila ukivaa hizi rangi, watu wanaoelewa watajua ndio tabia yako.
Ni official nembo yao.
No,wa tukuyuHata wewe kwenye primetime yako ulikula maisha na wanaume wa Dar, uongo kweli!?😂
Mnazingua sana nyie mnawajaza mabeki tatu kutoka mkoani na kutapeli wanaume zao pindi wakiingia jijini[emoji16]"Wanaume wa Dar" ni jina ambalo limekuwa linatumika sana mitandaoni likiwa na maana ya kudogosha uanaume wa vijana awa waliozaliwa mjini.
Sifa kuu ya wanaume wa Dar ni usafi, ujanja, exposure na ndoto kubwa kubwa.
Wanaume wa Dar wanajipenda sana kuanzia chakula wanachokula, mavazi wanayovaa, usafiri wanaotumia, mahali wanapoishi, starehe wanazofanya nk
Hii imepelekea kuwa na mvuto na nyota ya kupendwa na wasichana warembo na kiukweli mwanamke yoyote wa kisasa, mrembo mwenye kujiamini anakubalika basi ndoto yake ni ku- date na mwanaume wa Dar.
Wanaume wa Dar wanapigwa vita sana ya maneno na walugaluga pamoja na wanawake 'reject'. Hii vita inasababishwa na wivu pamoja na chuki kwa sababu ya kuzidiwa maarifa na nyota.
Kuna washkaji wanaumia kuona wanatumia nguvu kubwa kupata wanawake wazuri ilihali wanaume wa Dar kwao ni kama kumsukuma mlevi. Watu wanagongewa sana mademu zao na wanaume wa Dar tena bila gharama watoto wanaelewa tu wanyamwezi swaga zao.
Kiukweli am so proud kuwa mwanaume wa Dar [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii kama inakaukweli ndani yake madem wa mkoani wanapenda sana kiswahili cha watoto wa dar usipoweza jizuia unawala sana alaf bila hata pesa mzabzab tembea mikoani uwapindue wadada[emoji16]Mkuu wewe unajua vizuri balaa la mwanaume wa Dar mkifukuzia demu mmoja... Unatuita upinde ila mademu zenu beki hazikabi tukija mikoani wanapenda mpaka kiswahili chetu [emoji28][emoji28]
Wewe Kuli una maneno sanaSikujua najadiliana na katoto kazuri ka Sinza.....
Ila mama yako alikuwa girlfriend wangu kabla hujazaliwa...
Mademu wa mikoani asilimia kubwa wanadream za kuishi Dar na kudate na wanaume wa DarHii kama inakaukweli ndani yake madem wa mkoani wanapenda sana kiswahili cha watoto wa dar usipoweza jizuia unawala sana alaf bila hata pesa mzabzab tembea mikoani uwapindue wadada[emoji16]
HahahaMkuu wewe unajua vizuri balaa la mwanaume wa Dar mkifukuzia demu mmoja... Unatuita upinde ila mademu zenu beki hazikabi tukija mikoani wanapenda mpaka kiswahili chetu [emoji28][emoji28]
Wewe ni geniusMademu wa mikoani asilimia kubwa wanadream za kuishi Dar na kudate na wanaume wa Dar
Vita nyepesi kwa kuwa kila kitu kipo wazi tu.Umeanzisha vita 😆
Ipo wazi na ndo maana wanaume wa mikoani wanajitahidi sana kuwanyenyekea wanawake wao hilo hiyo dream IFE KABISAMademu wa mikoani asilimia kubwa wanadream za kuishi Dar na kudate na wanaume wa Dar
Usipokuwa na maneno inakuwa si rahisi kuaminiwa kubeba mizigo ya watu...Wewe Kuli una maneno sana
mawardat kweli wanaume wa dar wanawapindua pindua? Maana nasikia wanaume wa dar hawajui kugegeda ndio maana wake zao wanaomba talaka kila leoHii kama inakaukweli ndani yake madem wa mkoani wanapenda sana kiswahili cha watoto wa dar usipoweza jizuia unawala sana alaf bila hata pesa mzabzab tembea mikoani uwapindue wadada[emoji16]
Nimekuja kurekebisha sio "reject" ni "Rejection."Wanaume wa Dar wanapigwa vita sana ya maneno na walugaluga pamoja na wanawake 'reject'. Hii vita inasababishwa na wivu pamoja na chuki kwa sababu ya kuzidiwa maarifa na nyota.