Wanaume wa Dar wanaongoza kupigwa vita ila ndiyo sukari ya warembo

Wanaume wa Dar wanaongoza kupigwa vita ila ndiyo sukari ya warembo

Mkuu wewe unajua vizuri balaa la mwanaume wa Dar mkifukuzia demu mmoja... Unatuita upinde ila mademu zenu beki hazikabi tukija mikoani wanapenda mpaka kiswahili chetu 😅😅
Kuja siku moja trafiki kanipiga mkono mitaa ya KIA hapo nilikua naelekea Arusha...sawa nilizidisha spidi ila nilivyoanza kujielezea jamaa akadakia "weeewee ni wa daar" nikaitikia ndio wa Dar lakini huku nimekuja kutafuta..namwambia kula basi hii 5 niachie mzee anarudia rudia tuu "weewee ni wa dar" hadi nikamtania ndio wa Dar vipi mnataka tuwe tunakuja na passport huku mikoani ama...🤣🤣🤣🤣
 
Mkuu wewe unajua vizuri balaa la mwanaume wa Dar mkifukuzia demu mmoja... Unatuita upinde ila mademu zenu beki hazikabi tukija mikoani wanapenda mpaka kiswahili chetu [emoji28][emoji28]
Yani mademu wa mikoani wakijua mwanaume ametoka dar kuachia mzigo Fasta tu .
 
"Wanaume wa Dar" ni jina ambalo limekuwa linatumika sana mitandaoni likiwa na maana ya kudogosha uanaume wa vijana awa waliozaliwa mjini.

Sifa kuu ya wanaume wa Dar ni usafi, ujanja, exposure na ndoto kubwa kubwa.

Wanaume wa Dar wanajipenda sana kuanzia chakula wanachokula, mavazi wanayovaa, usafiri wanaotumia, mahali wanapoishi, starehe wanazofanya nk

Hii imepelekea kuwa na mvuto na nyota ya kupendwa na wasichana warembo na kiukweli mwanamke yoyote wa kisasa, mrembo mwenye kujiamini anakubalika basi ndoto yake ni ku- date na mwanaume wa Dar.

Wanaume wa Dar wanapigwa vita sana ya maneno na walugaluga pamoja na wanawake 'reject'. Hii vita inasababishwa na wivu pamoja na chuki kwa sababu ya kuzidiwa maarifa na nyota.

Kuna washkaji wanaumia kuona wanatumia nguvu kubwa kupata wanawake wazuri ilihali wanaume wa Dar kwao ni kama kumsukuma mlevi. Watu wanagongewa sana mademu zao na wanaume wa Dar tena bila gharama watoto wanaelewa tu wanyamwezi swaga zao.

Kiukweli am so proud kuwa mwanaume wa Dar [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kazi ipo!!
 
"Wanaume wa Dar" ni jina ambalo limekuwa linatumika sana mitandaoni likiwa na maana ya kudogosha uanaume wa vijana awa waliozaliwa mjini.

Sifa kuu ya wanaume wa Dar ni usafi, ujanja, exposure na ndoto kubwa kubwa.

Wanaume wa Dar wanajipenda sana kuanzia chakula wanachokula, mavazi wanayovaa, usafiri wanaotumia, mahali wanapoishi, starehe wanazofanya nk

Hii imepelekea kuwa na mvuto na nyota ya kupendwa na wasichana warembo na kiukweli mwanamke yoyote wa kisasa, mrembo mwenye kujiamini anakubalika basi ndoto yake ni ku- date na mwanaume wa Dar.

Wanaume wa Dar wanapigwa vita sana ya maneno na walugaluga pamoja na wanawake 'reject'. Hii vita inasababishwa na wivu pamoja na chuki kwa sababu ya kuzidiwa maarifa na nyota.

Kuna washkaji wanaumia kuona wanatumia nguvu kubwa kupata wanawake wazuri ilihali wanaume wa Dar kwao ni kama kumsukuma mlevi. Watu wanagongewa sana mademu zao na wanaume wa Dar tena bila gharama watoto wanaelewa tu wanyamwezi swaga zao.

Kiukweli am so proud kuwa mwanaume wa Dar 🤣🤣🤣
Definitions ya wanaume "Kula kwa jasho na kuchakalika ",hivyo vyengine ni nyongeza.

Sababu mwisho wa siku utaheshimika kwa ulivyo navyo na ulivyo vitafuta,huo uzuri sijui kujipamba kuna mwisho tena kwa mtoto wa kiume ukiendekeza watahisi UNAWALAKINI.
 
Definitions ya wanaume "Kula kwa jasho na kuchakalika ",hivyo vyengine ni nyongeza.

Sababu mwisho wa siku utaheshimika kwa ulivyo navyo na ulivyo vitafuta,huo uzuri sijui kujipamba kuna mwisho tena kwa mtoto wa kiume ukiendekeza watahisi UNAWALAKINI.
Wanaume wa Dar tunawapigia mademu sana pamoja na kutafuta kwenu kwa jasho
 
Kwahio wanaume mnabishana na mtoto mzuri wa sinza
 
Nimekwambia wewe mchaga uliyekuja mjini utu uzimani haujafuzu kuwa mtoto wa mjini. Relax mkuu ni utaratibu tu huu
We mjini umekuja wakati watu washahama ndio ujiite mwanaume wa Dar? Hizo upuuzi mnafanya saa hii watu wamefanya miaka ya 90 ukiwa unakojoa bandani huko kwenu.
Km hata ulikua umezaliwa.
Perfume, gari, nguo ni vitu vya lazima we kuku.
Sio vitu vya kujidai hayo ni matumizi ya kila siku km kula wali maharage.
Una miaka mingapi kwanza?
Umekula?
 
"Wanaume wa Dar" ni jina ambalo limekuwa linatumika sana mitandaoni likiwa na maana ya kudogosha uanaume wa vijana awa waliozaliwa mjini.

Sifa kuu ya wanaume wa Dar ni usafi, ujanja, exposure na ndoto kubwa kubwa.

Wanaume wa Dar wanajipenda sana kuanzia chakula wanachokula, mavazi wanayovaa, usafiri wanaotumia, mahali wanapoishi, starehe wanazofanya nk

Hii imepelekea kuwa na mvuto na nyota ya kupendwa na wasichana warembo na kiukweli mwanamke yoyote wa kisasa, mrembo mwenye kujiamini anakubalika basi ndoto yake ni ku- date na mwanaume wa Dar.

Wanaume wa Dar wanapigwa vita sana ya maneno na walugaluga pamoja na wanawake 'reject'. Hii vita inasababishwa na wivu pamoja na chuki kwa sababu ya kuzidiwa maarifa na nyota.

Kuna washkaji wanaumia kuona wanatumia nguvu kubwa kupata wanawake wazuri ilihali wanaume wa Dar kwao ni kama kumsukuma mlevi. Watu wanagongewa sana mademu zao na wanaume wa Dar tena bila gharama watoto wanaelewa tu wanyamwezi swaga zao.

Kiukweli am so proud kuwa mwanaume wa Dar 🤣🤣🤣
Eti "wanawake reject" 🤣🤣🤣🤣🤣 sasa hao wanawake reject ndo wamejaa humu, masingo mama na malesbian
 
Back
Top Bottom