Wanaume wa Dar wanaongoza kupigwa vita ila ndiyo sukari ya warembo

Mnazingua sana nyie mnawajaza mabeki tatu kutoka mkoani na kutapeli wanaume zao pindi wakiingia jijini[emoji16]

Btw upo sinza sehem gani wewe maana ndo kipande changu cha uko japo kwasasa nipo mkoa kutafuta life.
 
Mkuu wewe unajua vizuri balaa la mwanaume wa Dar mkifukuzia demu mmoja... Unatuita upinde ila mademu zenu beki hazikabi tukija mikoani wanapenda mpaka kiswahili chetu [emoji28][emoji28]
Hii kama inakaukweli ndani yake madem wa mkoani wanapenda sana kiswahili cha watoto wa dar usipoweza jizuia unawala sana alaf bila hata pesa mzabzab tembea mikoani uwapindue wadada[emoji16]
 
Leo naona umewapiga kwa point nying sana vijana wa mikoani
Ulichokiongea ni ukweli mtupu maisha ya dar na mikoani tofaut yake ni kubwa sana kwa angle zote
Mavazi
Vyakula
Starehe
Makazi
Etc

Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
 
Mademu wa mikoani asilimia kubwa wanadream za kuishi Dar na kudate na wanaume wa Dar
Ipo wazi na ndo maana wanaume wa mikoani wanajitahidi sana kuwanyenyekea wanawake wao hilo hiyo dream IFE KABISA
 
Hii kama inakaukweli ndani yake madem wa mkoani wanapenda sana kiswahili cha watoto wa dar usipoweza jizuia unawala sana alaf bila hata pesa mzabzab tembea mikoani uwapindue wadada[emoji16]
mawardat kweli wanaume wa dar wanawapindua pindua? Maana nasikia wanaume wa dar hawajui kugegeda ndio maana wake zao wanaomba talaka kila leo
 
Wanaume wa Dar wanapigwa vita sana ya maneno na walugaluga pamoja na wanawake 'reject'. Hii vita inasababishwa na wivu pamoja na chuki kwa sababu ya kuzidiwa maarifa na nyota.
Nimekuja kurekebisha sio "reject" ni "Rejection."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…