Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Hicho kikao walicho kaa wanaume wa Jf ku expose mademu wa humu jf hakinihusu..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Basi waambieni wenzenu hata kama anajua tako la mtu akae kimya.
Ashukuru tu kati ya wengi humu na yeye kawa mmoja kumjua mtu.
Mtu akiamua umjue amekuheshimu sasa kwanini umfanye mtu ajutie maamuzi yake ya kukupa heshima?
 
Siku ya kutaka kumjua mtu wa humu kazi anayo maana nitarekodi hadi mkojo wake siku akinizingua kazi anayo ni mwendo wa mavideo tu humu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Siku ya kutaka kumjua mtu wa humu kazi anayo maana nitarekodi hadi mkojo wake siku akinizingua kazi anayo ni mwendo wa mavideo tu humu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila kuna kitu itakua Demiss anawafanyia hawa watu. Yani mtu kujishaua tu ndio wawe na hasira nae hivi mpaka kumtishia kumuexpose? Au anawalia hela zao mchezo hatoi itakua sasa wakiwaza hela zao na mchezo wanyimwe halafu kama wanavyosema wanakutana na mwanamke sie waliemuweka kwenye akili zao lazima hasira ikuye.
Unajiona yani mwanamke alivyokuchezea akili na hela ukampa
 
Hapo kwenye kuwalia pesa zao nakubaliana nawe maana si kwa hasira walizo nazo kwa Demiss.
 
demiss jamani pole.mama nipe.namba yako nikutumie buku mbil ya vocha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…