Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Amekulia shilingi ngapi? Maana una hasiraaa.
 
Wapuuzi hawa kujitia wanajua sana sijui kawaibia mume, kama wao wasafi uzi wa mchafu wamefuata nini?
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Anajitekenya na kucheka mwenyewe, dume zima hovyooo.
 
Grow up.
 
Upuuzi tu.
 
Hawa wapuuzi wachache ndio wanaishusha heshima ya jf, kwanini wanapojuana hawatushirikishi wakishatindiganyana hukooo ndio wajifanye kuja kudhalilishana humu[emoji134][emoji134][emoji134]
 
Siku ya kutaka kumjua mtu wa humu kazi anayo maana nitarekodi hadi mkojo wake siku akinizingua kazi anayo ni mwendo wa mavideo tu humu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawachi bwana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wajinga ndio waliwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…