Wanaume wa JF ni wanaume hewa?

Hiyo Alteza ilipatikana kwa mtindo huo? Kwahiyo unauza? Hamia kule matangazo madogo..... 065.....mafuta Lita ngapi?
 
Hoja ya thread hii imejengwa kwa IQ ya chini sana, inaelekea mleta hoja hakujua kwamba anajidhalilisha.
 
Hahaha Jane anataka mafutaaa, yaani umewakilisha vyema tabia ya wadada wa kibongo, ukisalimia tu dada mambo, unasikia poa naomba vocha.
 
Wanawake wa digital ni pasua kichwa kwa kweli
 
Jamani Jane Lowasa!! Sio longo longo ...Mkuu wa nchi keshasema tupunguze matumizi yasiyokua ya lazima kwa nini usipande gari za mwendo kasi kuokoa gharama???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…