Illuminata Rodgers
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,845
- 2,024
- Thread starter
-
- #261
Usilaumu wote kwa kosa la mtu mmojaSingle mother alichonifanyia siri yangu,hadi leo sina mapenzi ya kweli kwa wengine.
Nimekuwa wa kubadilisha wanawake kila siku hadi sasa na kwa bahati mbaya nimejikuta nazalisha wanawake wawili.
Nimeongeza single mother wawili tena wakati sitaki kuwaoa,nitaoa ambaye hajazalishwa.
Kaa mbali na single mother ni sumu kali.
Sio mmoja hawa wawili niliowazalisha sio wachoyo ninapohitaji wanipe penzi japo tumeachana.Usilaumu wote kwa kosa la mtu mmoja
Sawa but sio wote wapo hivyo wengine wana misimamo yao.Sio mmoja hawa wawili niliowazalisha sio wachoyo ninapohitaji wanipe penzi japo tumeachana.
Pamoja na nilichowafanyia lakini nikisema njoo nyumbani tupeane pale kati wanakuja haraka.
Mimi peke yangu nimepata jibu kwa single mother watatu.Sawa but sio wote wapo hivyo wengine wana misimamo yao.
Ni kweli kwa sbb hawana option nyingine zaidi ya wao kukomaa/kuwa strong.But still wako weak kutokana na upweke ndio maana walio zaa nao wanaweza kulala nao anytime.UKWELI WANAWAONEA UWIVU SINGLE MOTHERS. .KWA SABABU WANAWAKE HAWA HUWA NI VERY TOUGH. ..YOU CAN'T BREAK THEM. .NA HUWA WANAJIAMINI SANA KATIKA MAMBO YOTE YA MAISHA. ...ANAPANGA MIPANGO INAYO PANGIKA. .KWA KWELI NAWA SALUTE ALL SINGLE MOMS WA TANZANIA. ..KEEP IT UP LADIES. ..View attachment 399250 View attachment 399250
I love u Illuminata[emoji8] [emoji8]Hata msipowapenda jus fine but muache kudis coz nobody knows tommorow pengine you daughters,sisters or ndugu wa karibu wakaja kua single mom so punguzeni mukhari
Si kweliNi kweli kwa sbb hawana option nyingine zaidi ya wao kukomaa/kuwa strong.But still wako weak kutokana na upweke ndio maana walio zaa nao wanaweza kulala nao anytime.
Hellow JF,
Naomba kuwauliza wanaume mliopo humu JF, hivi single mothers waliwafanyia nini mlio wengi, mbona mnawaandama sana kila kukicha?
Naombeni mnijibu sababu thread zenu zinaumiza sana pia zinachosha as long as sio wote walipenda kuwa single mothers wengine iliwabidi tu, au mlitaka wafanye abortion kuepuka kuwa single mothers?
Kwa hiyo ikawaajeNinawafahanu single mothers wa humu, kuna wengine niliwadhania ni vigori kabisa kumbe nao tayari....
Hahahaaa
Mwenye akili ya matope anaweza waza hivyo, JF ni ya rika tofauti kwa wanaojitambua, hivyo usitegemee kwamba wote ni vigoriNinawafahanu single mothers wa humu, kuna wengine niliwadhania ni vigori kabisa kumbe nao tayari....
Hahahaaa
Akaishia kuvunja vidoleKwa hiyo ikawaaje
Utapelekea hata wajukuu mbele ni kuoaa manamake ambayo yashazaa ...mkosi kivipi?
Na wewe bila DNA utaishia kulea watoto wa wenzako na uzeeni kuongezewa mijukuu isiyokuwa na Baba, historia huwa inajirudia nakuombea maisha marefu uyashuhudie hayoSingle mother alichonifanyia siri yangu,hadi leo sina mapenzi ya kweli kwa wengine.
Nimekuwa wa kubadilisha wanawake kila siku hadi sasa na kwa bahati mbaya nimejikuta nazalisha wanawake wawili.
Nimeongeza single mother wawili tena wakati sitaki kuwaoa,nitaoa ambaye hajazalishwa.
Kaa mbali na single mother ni sumu kali.
Sio mmoja hawa wawili niliowazalisha sio wachoyo ninapohitaji wanipe penzi japo tumeachana.
Pamoja na nilichowafanyia lakini nikisema njoo nyumbani tupeane pale kati wanakuja haraka.
Kwa taarifa yako ni wachache wako hivyo, pili kuwa mpweke ni uamuzi wa mtu.Ni kweli kwa sbb hawana option nyingine zaidi ya wao kukomaa/kuwa strong.But still wako weak kutokana na upweke ndio maana walio zaa nao wanaweza kulala nao anytime.
Nimefanana nao watoto wangu ukiona ni photocopy.Na wewe bila DNA utaishia kulea watoto wa wenzako na uzeeni kuongezewa mijukuu isiyokuwa na Baba, historia huwa inajirudia nakuombea maisha marefu uyashuhudie hayo
Hakuna kitu ka hicho hayo ni mawazo yako potofu tuUtapelekea hata wajukuu mbele ni kuoaa manamake ambayo yashazaa ...