Wanaume wa JF: Who is hot, who is not?

Wanaume wa JF: Who is hot, who is not?

Afu nyie mamods hasa we Fang kwani hakuna mamods wa kike? Tuoneeni huruma mtuachie hivi vibinti vya moto na sisi wakulima tufaudu.

Siamini kama hii kauli yaweza nisababishia ban. Na nikilimwa ban naandamana kutafuta saini milioni

Asprin si una wajukuu tisa wewe?
 
Last edited by a moderator:
Afu nyie mamods hasa we Fang kwani hakuna mamods wa kike? Tuoneeni huruma mtuachie hivi vibinti vya moto na sisi wakulima tufaudu.

Siamini kama hii kauli yaweza nisababishia ban. Na nikilimwa ban naandamana kutafuta saini milioni

Asprin si una vitukuu sasa wewe? Ila nashangaa bado upo HOT sijui nini siri yake...!
 
Last edited by a moderator:
:doh😡Kongosho umenikumbusha mbali sana kwenye red hapo....ukipata hiyo na ugali(chui) ule wa chini kwenye sufuria karibu na ukoko..down layer:whoo:.....back to topic....:A S-frusty::A S 109:
Umeamua kula top layer, haya!
 
ha ha ha, we acha tu, kupata top layer ilikuwa ishu.

Unaona aibu kuwa hot? Au huamini kama wewe ni hot?

:doh😡Kongosho umenikumbusha mbali sana kwenye red hapo....ukipata hiyo na ugali(chui) ule wa chini kwenye sufuria karibu na ukoko..down layer:whoo:.....back to topic....:A S-frusty::A S 109:
 



wakaka, vijana, waume
wote mu unique in your own ways

0024.gif


 
Dah Afrodenzi i missed these stuff asee.......Hope you are gud
M'Jr ..
Mi niko poa tu my dear ..

hOFU NA MASHAKA NI WE ULIE MBALI NA UPEO WA MACHO YANGU..:glasses-nerdy:
hahahah hahaha lol

Mzima lakini?
 
Last edited by a moderator:
M'Jr ..
Mi niko poa tu my dear ..

hOFU NA MASHAKA NI WE ULIE MBALI NA UPEO WA MACHO YANGU..:glasses-nerdy:
hahahah hahaha lol

Mzima lakini?
Hahahahaaa mi mzima bukheri wa afya na hivi mvua zimeanza basi kilimo mtindo mmoja,

Ama baada ya salam lengo na dhumuni ni kutaka kukujulia hali na pia kukwambia kwamba ulimisiwa sana nami......
 
Back
Top Bottom