Wanaume wa mikoani.. Waambieni wake zenu, dada zenu, mabinti zenu waache ushamba!!!

Mwambie kuku uyuu..naona bado anastress za yule kunguni wake anayetoa maji kwa chini ka ametoboka
 
Naona stress za kale kachenchede kako kalikotoboka chini(kale kanakotoa mimaji non stop) bdo znakusumbua.Pole sana
 
Unamaanisha nini ukisema watu wa mikoani..? Kwani wewe unaishi hewani nini? Ninachojua mimi kila mtu anatoka kwe mkoa fulani. Mfano mkoa wa Dar, Arusha, Mwanza, Mbeya, Dodoma. Ninaelewa unachotaka kusema, embu acha kujiiunua kihiiivyo. Hata wewe una mkoa. Mwishoni usije sema wewe unaendesha gari na sisi tunatembelea mikokoteni.
 

Ukiona hivyo ujue unachuja
 
Jamani ee tupeni hata siku moja wanawake dunia nzima msitunzungumzie siku hiyo tuone kama maisha hayatoendelea.
 
Wanaume wa Dar bhana..kazi kutunisha vidole kwenye keyboard hapo scorpion akitokea unaweza kunya na suruali yako
Mkuu punguza kuongea ukweli aisee[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23]
 
Dada wa kibanda cha M-pesa sijui wanafunzi najiuliza tu why wa sampuli hiyo ndo wakushobokee kama siyo vile vi yoyoyo wewe sijui.

Ukikua utaacha
 
Wewe utakuwa engineer wa k###ma.
 
Buzuruga, Pasiansi, Nyegezi,,,mkuu unatafuta au unakula maisha?
 
Wewe mrombo,nyie si ndio mnakodi marijali kutoka Kenya?
 
Wanaume wa Dar bhana..kazi kutunisha vidole kwenye keyboard hapo scorpion akitokea unaweza kunya na suruali yako
Afadhali ya Scorpion anatisha,hao jamaa wanaharisha wakikimbizwa na panya road.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…