Msukuma wa dar
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 1,160
- 1,195
Mwambie kuku uyuu..naona bado anastress za yule kunguni wake anayetoa maji kwa chini ka ametobokaloooo...hatuna shobo na magari kaka eee...tunashobo na wanaume wanaojitambua ,marijali na wenye hofu ya Mungu,,na upendo ...gari litaharibika lakini upendo uko palepale...nashoboka na hao,,,kwangu gari si kitu hata kidogo ...ila SHIKAMOONI MAINJIA WOTE NDIO TABIA ZENU MKIWA NA NDINGA HAMTULII KILA DAKIKA MNATAKA MUWE NJIANI MZURURE WEEEE....
Niaje wazeiyaaah...
EBANA SAWA :
Mnajua nini mazee????
Nilikua najua kuwa ni wanawake wa jijini pekee ndio hushoboka wakiona mwanaume yupo ndan ya ndinga...
Kumbe aisee mikoani ndio balaa sasa..
Yaan baada ya kuzungukia hutu tumitaa twa hapa wanapaita jiji la Mwanza, karibu kila sehem napoenda...
Mabinti wanaonekana kupagawa na ndinga hii nayotembelea...
Asubuhi kidogo niondoke na mdada wa kibanda cha M-PESA pale buzuruga... Badala ya kunihudumia anashangaa jinsi nilivo smart na usafiri wa kueleweka huku nikitoa cm kali ya ki Engineer wakat natuma pesa kwa maza...
Haya mchana nikazama pande za pasiansi kule, nikazama hotel moja kupata lunch...
Wakat natoka cjui ni twanafunz tule, tunani kodolea macho hadi nasepa...
Maskin wangelijua kuwa gari yenyewe sio mali yangu, ni mali ya kampuni jaman...
Mkitaka kushangaa mkoko wangu ombeni ruhusa kwa baba zenu, kaka zenu na waume zenu mje dar nitawaonesha...
Wanaume wa mikoani waambieni wanawake wenu waache ushamba bana.... Masuala ya kuwashobokea wanaume wanaotoka jijini kuja mikoani sio issue wala nini...
Ngoja niteleze pande za nyegezi.
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Mkuu punguza kuongea ukweli aisee[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23]Wanaume wa Dar bhana..kazi kutunisha vidole kwenye keyboard hapo scorpion akitokea unaweza kunya na suruali yako
Hakika mkuu yaan wanaume wa Dar zaid ya 100 walishuhudia Saidi akitobolowa macho' hawa wanatuaibisha sana.Wanaume wa Dar bhana..kazi kutunisha vidole kwenye keyboard hapo scorpion akitokea unaweza kunya na suruali yako
Wewe utakuwa engineer wa k###ma.Niaje wazeiyaaah...
EBANA SAWA :
Mnajua nini mazee????
Nilikua najua kuwa ni wanawake wa jijini pekee ndio hushoboka wakiona mwanaume yupo ndan ya ndinga...
Kumbe aisee mikoani ndio balaa sasa..
Yaan baada ya kuzungukia hutu tumitaa twa hapa wanapaita jiji la Mwanza, karibu kila sehem napoenda...
Mabinti wanaonekana kupagawa na ndinga hii nayotembelea...
Asubuhi kidogo niondoke na mdada wa kibanda cha M-PESA pale buzuruga... Badala ya kunihudumia anashangaa jinsi nilivo smart na usafiri wa kueleweka huku nikitoa cm kali ya ki Engineer wakat natuma pesa kwa maza...
Haya mchana nikazama pande za pasiansi kule, nikazama hotel moja kupata lunch...
Wakat natoka cjui ni twanafunz tulea
Maskin wangelijua kuwa gari yenyewe sio mali yangu, ni mali ya kampuni jaman...
Mkitaka kushangaa mkoko wangu ombeni ruhusa kwa baba zenu, kaka zenu na waume zenu mje dar nitawaonesha...
Wanaume wa mikoani waambieni wanawake wenu waache ushamba bana.... Masuala ya kuwashobokea wanaume wanaotoka jijini kuja mikoani sio issue wala nini...
Ngoja niteleze pande za nyegezi.
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Anatia hasira aseehMkuu punguza kuongea ukweli aisee[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23]
Mweeeeeeeeeeh
Wewe mrombo,nyie si ndio mnakodi marijali kutoka Kenya?loooo...hatuna shobo na magari kaka eee...tunashobo na wanaume wanaojitambua ,marijali na wenye hofu ya Mungu,,na upendo ...gari litaharibika lakini upendo uko palepale...nashoboka na hao,,,kwangu gari si kitu hata kidogo ...ila SHIKAMOONI MAINJIA WOTE NDIO TABIA ZENU MKIWA NA NDINGA HAMTULII KILA DAKIKA MNATAKA MUWE NJIANI MZURURE WEEEE....
Naloli... Abhandu bhikuswighisya!!!!!Mma bagwitu..mbombo jilipo.
Afadhali ya Scorpion anatisha,hao jamaa wanaharisha wakikimbizwa na panya road.Wanaume wa Dar bhana..kazi kutunisha vidole kwenye keyboard hapo scorpion akitokea unaweza kunya na suruali yako