Wanaume wa mtandaoni wengi wahuni

Wanaume wa mtandaoni wengi wahuni

Usijali,,ngoja nikae chini nitulie niandike..tangulia nakuja😃
Na mimi siku nikibahatika kukukula utakuwa unaniambia hivyo "tangulia nakuja" (in wema sepetu's voice) 🙈

🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️💨
 
Fala kweli wewe, humu utaruka na nani, au unadhani wote ni mandina kama wewe? Yaani mimi nihangaike na wewe? Wewe size yako ni huko walikokupeleka mtaroni na kukutapeli. Tena ushukuru hata nimechukua muda kukujibu.
Wewe ni wa kukuacha maana huo muunganiko wako wa maneno unaonekana umeshajikatia tamaa.
Wasalimie
Moderator mnamuona huyu?! 😊😊😊

Nikifanya yangu naomba msiniweke cello
 
Fala kweli wewe, humu utaruka na nani, au unadhani wote ni mandina kama wewe? Yaani mimi nihangaike na wewe? Wewe size yako ni huko walikokupeleka mtaroni na kukutapeli. Tena ushukuru hata nimechukua muda kukujibu.
Wewe ni wa kukuacha maana huo muunganiko wako wa maneno unaonekana umeshajikatia tamaa.
Wasalimie
Unayaweza?! 😃
 
Ndusukulukucho kasha kanyaga mtu na hajampa hata shiling kumi kaja uku kulialia
 
Kumbe mwenyewe unaogopa?? Basi tuwaache wapendanao wachachuane, wakichoka watuletee umbea [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
si kuogopa ni uchaguzi tuh..kwenye maisha lazima uwe na kipaumbele ivi kweli na akili timamu nitongoze id isiyo hata na picha moja ya ukweli,sauti hakuna wala ka video nako hola sasa nitashawishika na nini! ujue ni rahisi sana kutongoza mwanaume mwenzako humu au ganda lolote..nikupe mfano nilishawahi kutongoza id moja humu juju tuh ikakubali sasa kwenye kuja kukutana nayo ilibidi nimwache mataa mana nilipack mahali husika nikajibanza nimwone kwanza alo sikuvutiwa nae kabisa mana alikosa vitu flaniflani navyo hitaji
 
si kuogopa ni uchaguzi tuh..kwenye maisha lazima uwe na kipaumbele ivi kweli na akili timamu nitongoze id isiyo hata na picha moja ya ukweli,sauti hakuna wala ka video nako hola sasa nitashawishika na nini! ujue ni rahisi sana kutongoza mwanaume mwenzako humu au ganda lolote..nikupe mfano nilishawahi kutongoza id moja humu juju tuh ikakubali sasa kwenye kuja kukutana nayo ilibidi nimwache mataa mana nilipack mahali husika nikajibanza nimwone kwanza alo sikuvutiwa nae kabisa mana alikosa vitu flaniflani navyo hitaji

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe ulijua utakutana na malaika?? Si mpeane namba mpigiane video call na picha mtumiane ili kusiwe na usumbufu bro

Nipe basi id ya huyo manzi uliyemkimbia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe ulijua utakutana na malaika?? Si mpeane namba mpigiane video call na picha mtumiane ili kusiwe na usumbufu bro

Nipe basi id ya huyo manzi uliyemkimbia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂 huko ndio kumchafua sasa..na mimi hilo kundi balee nimeshalivuka

wewe si ulitaka nikutongoze sasa hiyo id unakazi gani nayo? au we topasi
 
[emoji23] huko ndio kumchafua sasa..na mimi hilo kundi balee nimeshalivuka

wewe si ulitaka nikutongoze sasa hiyo id unakazi gani nayo? au we topasi

Si niconnect dot nijue anafananaje?? Maana umenichekesha ulivyo sema umemkimbia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] isije kuwa shosti angu humu
 
Back
Top Bottom