Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
- Thread starter
-
- #141
Mi Nina huruma sijui ndo umri mkomavu..siombagi Hela Wala kutanguliza shida zangu..japo ninazo sanaSiku hizi nadra sana kukataliwa,, siku hizi tunaogopa kuliliwa shida,, tena kuna sehemu ukikataliwa unashukuru, wadada siku hizi hawakatai ila utajitoa mwenyewe tu
Unaeliimisha kizazi Cha 2000_2008?Eeeh wajifunze tekiniks za kung'oa warembo[emoji38]
Ni waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao.
Tofauti na zamani, angalau wengi walikua brave pia tech haikuwa kubwa na Pana kama leo. Upo Dar unaelezea hisia zako kwa binti yupo Iringa au hata Marekani. Lakini zamani unam-face mpaka kieleweke.
Siku hizi kizazi hiki ujasiri Ule hawana tena.
Ishukuruni technology.
Apostle😃😃Labda unazungumzia wa hapo mtaani kwenu. Ila generation yangu ilishavurugwa, haina uoga na mbususu kabisa
naomba nikukule basi
Utajutia kwanini ulitongoza ila baada ya muda utaona kawaida tuPoleni aisee.
Lakini nlichojua mnaogopa kukataliwa.feeling yake ikoje baada ya Hilo jibu?
Kwani uongo sasa? 😃Nimecheka had bas, [emoji23][emoji23][emoji23]
We Jo Una nn lakini??
naomba nikukule basi
Mfano wewe ukinitongoza halafu nikakukataa, utafurahi? Miss ChampagneNdio hivo
Na wanaogopa hasa kukataliwa.
Tena wengine hata Kwa njia ya Whatsapp tu hata sms hawana ujasiri
Wewe ni wa zamani ??Ni waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao.
Tofauti na zamani, angalau wengi walikua brave pia tech haikuwa kubwa na Pana kama leo. Upo Dar unaelezea hisia zako kwa binti yupo Iringa au hata Marekani. Lakini zamani unam-face mpaka kieleweke.
Siku hizi kizazi hiki ujasiri Ule hawana tena.
Ishukuruni technology.
Hii tabia kwa wanawake hasa wa mjini inakera.Wao ukiwaambia hivi wanakwambia yaani hata elfu tano tu nayo nikiomba ni tatizo. Wasichojua hata bakhressa na pesa zake zote vile akiwa anatongoza demu anaangalia namna mwanamke anaheshimu pesa zake na haleti nazo mazoea ya kutumia utadhani alisaidia zitafuta.
Mwanamke anayetumia pesa kama kiingilio cha mahusiano hana tofauti na kahaba.
Siku hizi ni timing tu,, binti nae si anajua jamaa anataka kuchovya tu na kusepa ndo maana lazima amuingize hasara hata akichovya akasepa na yeye kafaidikaMi Nina huruma sijui ndo umri mkomavu..siombagi Hela Wala kutanguliza shida zangu..japo ninazo sana
Ila naangalia upendo kwanza.baadae hata ukiyajua ukiamua kunisaidia fresh tu.usipoamua pia fresh tu.ilhali unajua nahitaji msaada
Kama nliweza kuishi nazo kabla hatujakutana,ntaweza pia hata tukiwa wote.siwezi kuyafanya Maisha yangu kuwa jukumu lako Kila shida nkubebeshe kisa umenipenda or tunakulana hapana.
Maana nawe hapo una shida zako,kwanini zangu nzifanye halali yako?mzigo wako?
Kama kusaidiana kupo tu,why mapema mno unaanza?
Vibinti vya siku hizi vinafeli.
Mmmmmmhmn kwasasa itakuwa uongo aisee. Wanawake wa kuoa wapo ila sasa wameshaharibu unakuta wanashapata watoto, wameshatumika sana, hawana mvuto au akili zao unaona tu kabisa hapa mwezi mchanga.Sio wote wanatanguliza pesa..naamini wapo waelewa huko nje
HahaaaMfano wewe ukinitongoza halafu nikakukataa, utafurahi? Miss Champagne
Sawa.lakini ukiapply Kwa mtu mwenye malengo mema na sahihi unaharibuSiku hizi ni timing tu,, binti nae si anajua jamaa anataka kuchovya tu na kusepa ndo maana lazima amuingize hasara hata akichovya akasepa na yeye kafaidika
Yeah .Mimi ni mshangazi pro maxWewe ni wa zamani ??
Ndo hadi apatikane huyo sahihiSawa.lakini ukiapply Kwa mtu mwenye malengo mema na sahihi unaharibu
Ni ngumu kumjua sahihiNdo hadi apatikane huyo sahihi
Ukichunguza kwa makini mwanaume kumtongoza mwanamke ni kama unaenda kujidhalilisha, hasa hasa kama huyo mwanamke akikukataa.Hahaaa
Unataka kusemaje
Mko sahihi kuogopa kukataliwa