cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Nimecheka had bas, [emoji23][emoji23][emoji23]
We Jo Una nn lakini??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka had bas, [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni kweli! Vijana wengi wa siku hizi ni waoga. Siku hizi wametuiga wanawake kuonyesha kwa vitendo kuwa nakupenda lakini jiongeze mwenyewe mimi sikuambii.
Wanajipitishapitisha, kucheka hovyo, kutuma msg kila mara.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ili wachapee buree!! WoiiiiihAeleze hisia ili uombe hela? Vijana washashtuka hisia utaeleza wewe!
Sawa vijana wetu wamekusikia hapa JF.Ni kweli! Vijana wengi wa siku hizi ni waoga. Siku hizi wametuiga wanawake kuonyesha kwa vitendo kuwa nakupenda lakini jiongeze mwenyewe mimi sikuambii.
Wanajipitishapitisha, kucheka hovyo, kutuma msg kila mara.
katitka mkutadha huu, "mtoto" inamaanisha mwanamke mzuri.Mimi sio mtoto, nishapita 18 mkuu
Kuna kadada nimejilipua kwake kakaniambia nitakupa jibu. Kesho yake asubuhi naambiwa pasi imeungua nikasaidie hela kanunue. 25K.Unaeleza hisia zako baada ya masaa machache,mtu anakuwa anadaiwa kodi,kioo cha simu kimevunjika anataka simu mpya,Anaumwa,anasikia njaa,viatu vyake vimeharibika, kila siku hana bundle.Hapo bado hajakuambia pesha zake za vikoba na mchezo ambao ana majina matatu, ndio maana sometimes tunakulaga buyu ili kuepusha stress husizo plan.
Hapo nimekupatakatitka mkutadha huu, "mtoto" inamaanisha mwanamke mzuri.
Ni kama ulivyotumia neno "Mkuu"
VIzuri,Hapo nimekupata
Kumbe wewe Ni wazamani. Endelea na mapenzi ya kizamani. Siku hizi pesa inamaliza kila kitu. Mabinti wa kileo hawataki longolongo.Ni waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao.
Tofauti na zamani, angalau wengi walikua brave pia tech haikuwa kubwa na Pana kama leo. Upo Dar unaelezea hisia zako kwa binti yupo Iringa au hata Marekani. Lakini zamani unam-face mpaka kieleweke.
Siku hizi kizazi hiki ujasiri Ule hawana tena.
Ishukuruni technology.
Ukipata mdada analiwa kwa maneno tu kwa sasa lazima ushtukeSio wote
Na kama ndo mko hivo kizazi Cha Sasa poleni
PoleniShida ni nyinyi wenyewe. Ukishatongozwa na kikaeleweka unaanza kupata matatizo muda huo huo.
Kodi inaisha
Unaibiwa iphone
Unapata mgonjwa ambaye inabidi usafiri ukamuone
Mjomba anameza shoka nk nk.
Sasa hawa vijana jobless ukishamtwisha furushi la madai kama hilo nguvu ya kuwa na wewe anaitoa wapi? Hata kutongoza wanaogopa
Ni wapi nimeandika nimeomba nifatweNi wewe tu ndo hatukufati sasa mtu una uzoefu wa kuelezwa hisia na wanaume wa enzi hizo bado tu unataka hadi wanaume wa sasa tukufate kukueleza hisia zetu je kama hazipo
HahaaaKuna kadada nimejilipua kwake kakaniambia nitakupa jibu. Kesho yake asubuhi naambiwa pasi imeungua nikasaidie hela kanunue. 25K.
Nikasema tayari yamenikuta ya wanajf
Huo ni ukahaba.bora nionekane mshambaKumbe wewe Ni wazamani. Endelea na mapenzi ya kizamani. Siku hizi pesa inamaliza kila kitu. Mabinti wa kileo hawataki longolongo.
[emoji2772][emoji2772][emoji2772][emoji2772][emoji2772]Ukipata mdada analiwa kwa maneno tu kwa sasa lazima ushtuke
NakaziaSio wote mdogo wangu Miss Champagne