Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
- Thread starter
- #81
Sawa mkuu.hii Kwa watu wazimaFirst of all ni nyie wanawake ku provide safe space ambayo mwanaume ataweza kujieleza without being shamed, or taken for granted, or called names. Yaani mwanaume asijisikie negative pale anapotaka kukueleza ya moyoni. Pili wanaume wenyewe wawe na confidence ya kuwa wazi sasa, kwamba na wao ni binadamu wana hisia, wafunguke
Ila mateen wa siku hizi hawawezi