Wanaume wa siku hizi ni waoga kueleza hisia zao

Wanaume wa siku hizi ni waoga kueleza hisia zao

Watumie nguvu nyingi wakati papa imekuwa rahisi kuliko kibua? Naungana na vijana, nguvu iende kwenye mambo ya msingi as papa ni cheap sana siku hizi.

Mwaka 2001 ilikuwa mara yangu ya kwanza kutongoza ile yenyewe, sitasahau siku ile, viganja vilijaa jasho utadhani nilikuwa nafanya necta advanced mathematics.
 
Siyo waoga mrembo, muda ndiyo mchache afu mambo mengi..

Nikikuomba namba (maana ake nimekuelewa), ukinipa namba maanaake umekubali.

Kifuatacho tunapanga tu appointment ya wapi na lini tukutane tumalizane, ni hivyo tu
Siungii hoja kuombewa namba na jinsia tofauti kwamba kakuelewa..wengine Wana mambo ya kibiashara na kiofisi..

Ukipewa mda wa kutosha na mdada unaemwelewa mkaka mahali wenyewe kama masaa mawili unaweza kufunguka?
 
Ni waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao.

Tofauti na zamani, angalau wengi walikua brave pia tech haikua kubwa na Pana kama leo. Upo Dar unaelezea hisia zako kwa binti yupo Iringa au hata Marekani. Lakini zamani unam-face mpaka kieleweke.

Siku hizi kizazi hiki ujasiri Ule hawana tena.

Ishukuruni technology.
Before then walikuwa wanafanya , ila then norm ikajengeka mwanaume kuelezea hisia zako unaonekana weak, soft, simp. So ili kuepusha hizo wanaficha
 
Sema kuna mwanaume unamtaka hafu unahisi kama anashindwa kufunguka…..
Nadhan hizo labda si shida zake inawezekana ye anakuchukulia we n dada ake!
Binafsi kama kiongozi wa wanaume hamna mwanaume muoga wa kutongoza wala kuongea!! Wanaume ni wajasiri kuliko kiumbe chochote kilichowai kuishi duniani
Wala hakuna mkuu
 
Ngoja kwanza, yaani unamaanisha wanaume wamekuwa waoga kumtongoza mwanamke face to face au kuelezea hisia kwa maana ya kuelezea changamoto zake za kimaisha kwa mwanamke face to face ili amsaidie?

Sijaelewa naomba ufafanuzi.
 
Wengi macho makavu sababu hakuna kipya ambacho hawakijui. Wameshapigwa chuma kadhaa hapo anakua na macho makavu kuona kama saizi ulonayo sio kama walizonazo akina john, juma, joseph alizopita nazo..!
shida mimi naona malez na makuz ya enzi zile na sasa tofaut!....wasichana walikua waoga haswa kwa wanaume na wanaume walikua na ujasiri na ubabe fulani wa kimamlaka tofauti na hawa akina"junia"wanaolishwa ma~lishe na kufungiwa getini 24/7/365,hana hata reference na experience za kombolela na michezo ki~baba na mama!
 
Ni waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao.

Tofauti na zamani, angalau wengi walikua brave pia tech haikua kubwa na Pana kama leo. Upo Dar unaelezea hisia zako kwa binti yupo Iringa au hata Marekani. Lakini zamani unam-face mpaka kieleweke.

Siku hizi kizazi hiki ujasiri Ule hawana tena.

Ishukuruni technology.
tuonane wapi ili nielezee hisia zangu kwako live
njoo pm tupande
 
Hata na hivyo kutongoza si mchezo hasa ukute mwanamke macho makavu!enzi zile wanawake walikua na aibu hakuangalii anajikunjakunja,mara kung'ata kucha,kuchuma majani na kuvunja vijiti na kumpa mwanaume ujasiri wa kutema madini tofaut na hawa kizaz juaji mixer K~VANT
Hawa wa siku hizi changamoto kwanza ukitongoza anakuona kama mshamba au fala fulani kwamba wewe unaendaje kuongea maneno matupu ukijua wazi kwamba mkono mtupu haulambwi.

Unachotakiwa kujua ni kuwa pesa ndio inahitajika, hawasemi ni kiasi gani ila wao wanachotaka ni kuona mwanaume anatoa kafara au kuweka rehani pesa zake ili kuwa na mwanamke. Sasa wanaume wa kisasa elimu wanayo kuhusu akili za wanawake so wamestukia mchezo.

Ukitaka mahusiano serious wewe kama mwanamke useme maana siwezi mimi mwanaume kukaza mishipa ya fahamu kutema maneno ya hisia kukuelezea ninavyojiskia moyoni halafu tukianza mahusiano wewe ndie una benefit kwa kutumia mali zangu huo upuuzi wanaume wamekataa.

Mwanamke akitaka mapenzi yeye ndie atongoze mwanaume otherwise atulie azeeke.
 
Ngoja kwanza, yaani unamaanisha wanaume wamekuwa waoga kumtongoza mwanamke face to face au kuelezea hisia kwa maana ya kuelezea changamoto zake za kimaisha kwa mwanamke face to face ili amsaidie?

Sijaelewa naomba ufafanuzi.
Heee...
 
Unaeleza hisia zako baada ya masaa machache,mtu anakuwa anadaiwa kodi,kioo cha simu kimevunjika anataka simu mpya,Anaumwa,anasikia njaa,viatu vyake vimeharibika, kila siku hana bundle.Hapo bado hajakuambia pesha zake za vikoba na mchezo ambao ana majina matatu, ndio maana sometimes tunakulaga buyu ili kuepusha stress husizo plan.
Huu ndio ukweli wenyewe.
 
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Sema ulichoniitia!!??!!
Unanipotezea mda wangu



Ukikutana na hivi unanyweaa[emoji23][emoji23][emoji23]
acha tu,anaanza kukuimbisha yeye,hujakaa sawa unapgwa mzinga wa vocha,mara chips n.k unanywea vibaya mno!!......back in days mtu unamvizia binti wa watu hadi unachoka so ukijichanganya unamtemea madini aina zote na hakupi jibu hapohapo hata mwaka unaisha!
 
Hawa wa siku hizi changamoto kwanza ukitongoza anakuona kama mshamba au fala fulani kwamba wewe unaendaje kuongea maneno matupu ukijua wazi kwamba mkono mtupu haulambwi.

Unachotakiwa kujua ni kuwa pesa ndio inahitajika, hawasemi ni kiasi gani ila wao wanachotaka ni kuona mwanaume anatoa kafara au kuweka rehani pesa zake ili kuwa na mwanamke. Sasa wanaume wa kisasa elimu wanayo kuhusu akili za wanawake so wamestukia mchezo.

Ukitaka mahusiano serious wewe kama mwanamke useme maana siwezi mimi mwanaume kukaza mishipa ya fahamu kutema maneno ya hisia kukuelezea ninavyojiskia moyoni halafu tukianza mahusiano wewe ndie una benefit kwa kutumia mali zangu huo upuuzi wanaume wamekataa.

Mwanamke akitaka mapenzi yeye ndie atongoze mwanaume otherwise atulie azeeke.
Wanaume mmejikimbia halafu lawama mnawapa wanawake
 
acha tu,anaanza kukuimbisha yeye,hujakaa sawa unapgwa mzinga wa vocha,mara chips n.k unanywea vibaya mno!!......back in days mtu unamvizia binti wa watu hadi unachoka so ukijichanganya unamtemea madini aina zote na hakupi jibu hapohapo hata mwaka unaisha!
Nakubali kizazi pande zote kimebadilika
 
Back
Top Bottom