Wanaume waheshimiwe milele



Kuna baadhi ya sifa ulizotaja sio za wanaume wa dar hasa hapo ulipogusia "hatari"
 
We sifia tu lakini pesa hupati....hahaha! Si unajua origin yangu lakini. Mwenzako kasifia kwa vile jana kapewa vitu adimu..

Haki ya nani! Si ndio maana nakuita mchawi! Hujawahi kunipa hata kumi ila walaaa hata hutumii nguvu, this isnt fare aisee, unanipunja sana bwana, ila bado nimo tuuuu na out nakutoa mimi kwa gharama zangu!! Hebu ngoja nifanye uchunguzi wa hiyo origin yako maana sio bure haki vile.
 
Mmoja kwa laki moja,ahsante xn aisee

Sijui cha kusema lkn pia una akili nyingi, yawezekana we ni kati yao wachache wanaojua umhimu wetu.Mungu akujalie maradufu
 
...haha. uchawi wangu huwezi kuujua. Lakini kila nikihitaji huduma zako hakika utatoa. Lakini hata mimi sijaweka kambi bure bure, you're stunning rafiki...
 
Tatizo wanawake walio wengi hawaelewi hivi na hawataki kueleweshwa na ndio maana wanaishi kuondoa nuksi ya ndoa badala ya kupata ndoa yenye utakatifu. I like what is in u cute b
 

Ubarikiwe
 
...haha. uchawi wangu huwezi kuujua. Lakini kila nikihitaji huduma zako hakika utatoa. Lakini hata mimi sijaweka kambi bure bure, you're stunning rafiki...

Si ndio hapo nashangaa! Ukinihitaji tu huyoo nishafika, hapana aisee inabidi nianze kutafuta namna.
 
Tatizo wanawake walio wengi hawaelewi hivi na hawataki kueleweshwa na ndio maana wanaishi kuondoa nuksi ya ndoa badala ya kupata ndoa yenye utakatifu. I like what is in u cute b

Nooo sio kwamba hatutaki kueleweshwa au hatuelewi, hata maandiko yanatuagiza kuwaheshimu na tunalijua hilo, ila kumbuka respect is earned, hauwezi kumwambia mtu akuheshimu, atakuheshimu tu.
 
cute b umeolewa???
 
Last edited by a moderator:
Hongera kwa kumpata mwanaume bora.

Wakati unatoa sifa zote hizo kwa mwanaume, kuna wengine wanatamani hata kujitoa uhai kwa ajili ya vituko wanavyofanyiwa na wanaume.

kama nao wanajiita bahati mbaya kwanini wasifanyiwe vituko???
 
Last edited by a moderator:
Uyu anaweza kua mwana betting mwenzake 😁😁😁😁
 
wanawake wote wangekuwa na akili kama za kwako neno WANAWAKE NI WAUAJI lisingekuwepo.
 
Naona kama you had a really good sex last night......
thanks to him umeamka unatuona wote 'supermen'

Huwa nakukubali ile mbaya, i wish one day nikuone live, nilinganishe post zako na appearance yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…