mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akizingua arudi kwao maana anakuwa kaja kwangu kufanya nini ndoa inakuwa imemshinda huyosasa kama umeo ina maana hujawahi kunyimwa unyumba? Na kama hujawahi kunyimwa subiri yuaja wakati utakaponyimwa utamu huo ndio utajua wanawake wakoje kunako utamu huo
sikiliza we baba, kama kuna kitu mkeo alikuomba umletee ukawa hujaleta utanuniwa mpaka usiku wa raha hutapewa utamu, leta kitu, utapewa yote utafune mpaka maji uyaite ma. Ni kawaida kunyimwa mzee wangu ila ikizidi sana kunyimwa ndio inakuwa mzozo wa kindoaAkizingua arudi kwao maana anakuwa kaja kwangu kufanya nini ndoa inakuwa imemshinda huyo
Je kitu kama kiko nje ya uwezo wangusikiliza we baba, kama kuna kitu mkeo alikuomba umletee ukawa hujaleta utanuniwa mpaka usiku wa raha hutapewa utamu, leta kitu, utapewa yote utafune mpaka maji uyaite ma. Ni kawaida kunyimwa mzee wangu ila ikizidi sana kunyimwa ndio inakuwa mzozo wa kindoa
Kama mwanamke ni muelewa atakuelewa n hicho kitu utamletea siku nyingine,asitumie tendo la ndoa kama fimbosikiliza we baba, kama kuna kitu mkeo alikuomba umletee ukawa hujaleta utanuniwa mpaka usiku wa raha hutapewa utamu, leta kitu, utapewa yote utafune mpaka maji uyaite ma. Ni kawaida kunyimwa mzee wangu ila ikizidi sana kunyimwa ndio inakuwa mzozo wa kindoa
mwanamke hajui kama huna uwezo, anachotaka mtimizie upate unyumba kwa raha zote hutanyimwaJe kitu kama kiko nje ya uwezo wangu
ndio hutumia unyumba kama fimbo kunyuka wenza wao, wanaume ndio hufaidika zaidi na utamu huoKama mwanamke ni muelewa atakuelewa n hicho kitu utamletea siku nyingine,asitumie tendo la ndoa kama fimbo
Ma mkwe mie sijawahi kunyimwa, kanuni ya kwanza kwa mke wangu, TUPU ZETU HAZINA UGOMVI.Ba mk
Ba mkWe mkinyimwa huwa mnajiskiaje?
Baltasar anahitajika hapo.Wakuu
Mwenyekiti wa kijiji cha Mloda kata ya Mlowa barabarani, wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, Adam Philemon amesema miongoni mwa malalamiko yaliyokithiri katika kijiji hicho ni wanaume kunyimwa unyumba, huku akiwataka wanaume kutoa taarifa za vitendo hivyo kwenye sehemu husika ili kutokomeza janga hilo.
Philemon pia alibainisha kuwa wanaume wanaendelea kunyanyaswa na wake zao hasa wenye vipato vikubwa, hasa kipindi cha mwisho wa mwaka wanapovunja vikoba vyao. Aidha, wanawake wa kijiji hicho, wakiongozwa na Mariam Mahajile, wameeleza kuwa changamoto hizi mara nyingi husababishwa na wanaume kushindwa kuwajibika kifamilia au kuwa na uhusiano nje ya ndoa.
"Na kuna kesi moja ya mwanamke alikuwa hampi mume wake unyumba na haki hiyo anampatia mtu mwingine ambaye sio mume wake yaani ni kama anaishi na mume lakini unyumba anapewa mtu mwingine."
"Mwezi huu wa Desemba wakati akina mama wanavunja vikoba vyao tumekuwa tukipokea malalamiko mengi ya wanaume kunyanyaswa na wake zao sisi kama serikali tunayapata sana malalamiko haya kutoka kwa wanaume wengi," amesema Philemon.
Nuru Mpanda kutoka Jukwaa la Wakulima Wanawake amewashauri wanawake kuwaheshimu waume zao hata wanapokuwa na vipato vikubwa, huku Mratibu wa Mradi wa TIF, Happy Itros, akielezea juhudi za mradi huo katika kusaidia wakulima wadogo hasa wanawake katika kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi kupitia kilimo endelevu.
Hawajitambui kwakweli, hiko kijiji kifutweWakuu
Mwenyekiti wa kijiji cha Mloda kata ya Mlowa barabarani, wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, Adam Philemon amesema miongoni mwa malalamiko yaliyokithiri katika kijiji hicho ni wanaume kunyimwa unyumba, huku akiwataka wanaume kutoa taarifa za vitendo hivyo kwenye sehemu husika ili kutokomeza janga hilo.
Philemon pia alibainisha kuwa wanaume wanaendelea kunyanyaswa na wake zao hasa wenye vipato vikubwa, hasa kipindi cha mwisho wa mwaka wanapovunja vikoba vyao. Aidha, wanawake wa kijiji hicho, wakiongozwa na Mariam Mahajile, wameeleza kuwa changamoto hizi mara nyingi husababishwa na wanaume kushindwa kuwajibika kifamilia au kuwa na uhusiano nje ya ndoa.
"Na kuna kesi moja ya mwanamke alikuwa hampi mume wake unyumba na haki hiyo anampatia mtu mwingine ambaye sio mume wake yaani ni kama anaishi na mume lakini unyumba anapewa mtu mwingine."
"Mwezi huu wa Desemba wakati akina mama wanavunja vikoba vyao tumekuwa tukipokea malalamiko mengi ya wanaume kunyanyaswa na wake zao sisi kama serikali tunayapata sana malalamiko haya kutoka kwa wanaume wengi," amesema Philemon.
Nuru Mpanda kutoka Jukwaa la Wakulima Wanawake amewashauri wanawake kuwaheshimu waume zao hata wanapokuwa na vipato vikubwa, huku Mratibu wa Mradi wa TIF, Happy Itros, akielezea juhudi za mradi huo katika kusaidia wakulima wadogo hasa wanawake katika kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi kupitia kilimo endelevu.
Mi naona ni kukinai labda ..ama kuchokana tu.Nafikiri wanawake kuwanyima unyumba waume zao Inasababishwa na vitu viwili:
1) Wanaume kuwa pasua kichwa, mwanaume unakuta hahudumii pesa ya chakula nyumbani, mume ana michepuko, mume mnyanyasaji ana gubu etc
2) Wanawake kuolewa sababu ya mali za mwanaume, maisha yanakua magumu mdada anaona bora aolewe ili apate unafuu wa kiuchumi (kwa mgongo wa kuhudumiwa), au unakuta mdada anaolewa sababu muda wa kuolewa umefika 30 years plus ila tangu mwanzo anakuwa hampendi mumewe Sister Abigail
Inategemea moyo wa mtu.na pia tabia zenu ndio zinawabadili wanawakeNao waliapa hivyohivyo cute
Mi mwanamke cuteInategemea moyo wa mtu.na pia tabia zenu ndio zinawabadili wanawake