Wanaume waililia Serikali ya Kijiji kisa kunyimwa Unyumba na Wake zao

Wanaume waililia Serikali ya Kijiji kisa kunyimwa Unyumba na Wake zao

wanaume wa mkoani bwani, mtu akikunyima unyumba mtafutie mwenzie tutawafundisha mpaka lini?
 
🖐️ Mwenyezi Mungu nijalie mume mwema..naapa akiniheshimu nitamuheshimu,akinipenda nami nitampenda zaidi na kumtunza.
Katika shida na raha ntashikamana nae.akimess up things naachana nae

Hawa wanaume wanaolalamika ni wale waungwana,wale wengine tayari wasahatengeza nyumba ndogo na kukimbilia makahaba sababu ya kunyimwa unyumba.
Ukishaolewa hivi viapo unavisahau bwana!! Mambo yakianza kutindiganya hata hukumbuki kama uliapa🤣🤣🤣
 
Kama wewe hayajakukuta basi una bahati sana, hiki ni kilio cha wanaume wengi sana
Hao wanaume wananyimwa unyumba si wawarudishe hao wanawake makwao. KUNA SHIDA GANI? LABDA KUNA HILO NASIKIA KWa kabila hilo ukimtaka mke wa mtu awe rafiki yako na mumewe asikughasi unamlipa huyo mume ng'ombe sijui wangapi. Wanaume wa huko hawatafuti kitowea au mboga ni kazi ya wanawake. HAPA UTAACHAJE KUNYIMWA?
 
Wakuu

Mwenyekiti wa kijiji cha Mloda kata ya Mlowa barabarani, wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, Adam Philemon amesema miongoni mwa malalamiko yaliyokithiri katika kijiji hicho ni wanaume kunyimwa unyumba, huku akiwataka wanaume kutoa taarifa za vitendo hivyo kwenye sehemu husika ili kutokomeza janga hilo.
Philemon pia alibainisha kuwa wanaume wanaendelea kunyanyaswa na wake zao hasa wenye vipato vikubwa, hasa kipindi cha mwisho wa mwaka wanapovunja vikoba vyao. Aidha, wanawake wa kijiji hicho, wakiongozwa na Mariam Mahajile, wameeleza kuwa changamoto hizi mara nyingi husababishwa na wanaume kushindwa kuwajibika kifamilia au kuwa na uhusiano nje ya ndoa.
"Na kuna kesi moja ya mwanamke alikuwa hampi mume wake unyumba na haki hiyo anampatia mtu mwingine ambaye sio mume wake yaani ni kama anaishi na mume lakini unyumba anapewa mtu mwingine."
"Mwezi huu wa Desemba wakati akina mama wanavunja vikoba vyao tumekuwa tukipokea malalamiko mengi ya wanaume kunyanyaswa na wake zao sisi kama serikali tunayapata sana malalamiko haya kutoka kwa wanaume wengi," amesema Philemon.

Nuru Mpanda kutoka Jukwaa la Wakulima Wanawake amewashauri wanawake kuwaheshimu waume zao hata wanapokuwa na vipato vikubwa, huku Mratibu wa Mradi wa TIF, Happy Itros, akielezea juhudi za mradi huo katika kusaidia wakulima wadogo hasa wanawake katika kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi kupitia kilimo endelevu.
Wangemuomba Queen mother awasaidie maana kila jambo nchi hii unasikia ,"tunaomba maza atusaidie tupate haki yetu".
 
Sijajua kwa wengine, lkn kuna wanaume jamani hata kila siku wanataka bila kujua kuwa sku znatofautiana na kuna kuchoka jamani. Wengne husema mwanaume akifanya kazi ngumu huwa hana ny***g lakini si kweli kuna wanaume hata awe anakoroga zege, akioga ni anapata nguvu mpya kama hajafanya kazi. Kila kitu kiwe na kiasi jamani, hata hao wanaolalamika ukiwauliza isikute wanataka kila siku wakinyimwa wanalia nchi nzima. Kila siku inachosha jamani........kila kitu kiwe na kiasi.
 
Wengne husema mwanaume akifanya kazi ngumu huwa hana ny***g lakini si kweli kuna wanaume hata awe anakoroga zege, akioga ni anapata nguvu mpya kama hajafanya kazi. Kila kitu kiwe na kiasi jamani,
Oii cheki comment ya huyu mdada 🤣🤣 halafu bunge na profesa janabi wanasema vijana hawana nguvu za kiume🤣🤣 Mzee wa kupambania
 
Daah 😂😂😂 nmekumbuka mbali miaka hiyo naanza maisha nilipanga kageto nikapata kadada tukawa tunaishi wote

Siku kwenda akaanza hizo mambo za bila sababu kuninyima unyumba au sometimes hata ile mmelala bahat mbaya ukamkumbata inakuwa shida.

Nikaona uyu anaanza kunipanda kichwani chumba changu kila kitu cha ndan changu alafu ananipanda kichwani.

Sikusemezana nae chochote nikafanya kama sijali siku zikasongo nikajipanga kimya kimya nkatafuta chumba kwengine nikalipia bila hata kumwambia nikahamisha nguo zangu mdogo mdogo na vitu vya muhim.

Nikasubiria kama bado wiki kodi kuisha pale napokaa na uyo bidada nikasepa nikaenda kw mwenye nyumba kimya kimya nkamwmbia mm nasafiri ila mzigo wote tarehe itakapofika amuone bibie atampa.


Kwel niliposepa yule bibie nikamuaga nasafiri kumbe ndio nmehama, tarehe kufika akafatwa alipe kodi akaanza kupga simu nikamuulza kwan nilipo kodi mm je nilikuwa naishi na mwanamke au mwanaume mwenzangu lipa mm hapo nishahama na kila kitu nmekuachia nikakata cm aisee aliitosha kikao mpka kw dada zake wa hiari et anaomba msamaha waliponipigia wakanambia mwenzio anaomba msamaham amejitambua sas nikawaambia kwan kosa langu au lake wakadai yeye ndio kakosea, nikawauliza basi kama mlalamikaj ni mm subirin nikileta malalamiko yangu ndiyo mfatilie mm kwa sas hana kosa yeye yupo sahih matokeo yake alijikuta hana mbele wala nyuma na vitu vile akufika navyo popote aliuza nikaanza upya.
 
Back
Top Bottom