Wanaume wakati mwingine mnataka tuwaroge


Endelea kufurahia ila make sure chupa haipasuki!!! Ikipasukq urudi tena hapa kwa mrejesho zaidi
 
[emoji28][emoji28][emoji28]usinitishe sitishiki
Ndoa nyingi tu wanawake wanawatuliza wanaume
Wanaume punguzeni umalaya tufanye mambo ya maendeleo
Ndoa siikosi hii hadi kifo kitutenganishe

Usijifunze kupitia ndoq za wengine au wanawake wengine!!! Maisha ya ushirikina ni mafupi mno, lakini zaidi namsikitikia kijana kwakupata mama au mke kama wewe....!!!! Nyie ndo mnafanya vijana wakatae ndoa, ipo siku moja utapeleka watoto kwa waganga wewe..... wewe kama mama amini icho ulicho anzisha utashidwa kukimaliza wakati ukifika
 
HAKUNA UCHAWI UNADANGANYWA.
 
Yanahitajika maarifa ya saikolojia ya mahusiano.

Kuna ombwe kubwa sana kwenye jamii zetu.
 
We roga tu...ila ujue wewe ni mshirikina.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ