Wanaume wakati mwingine mnataka tuwaroge

Uhuni na kupenda mashangazi meupe,uhongaji,kutwanga pombe vimenizidi.Wacha nilogwe tu ili nizeeke vizuri nisitapanye mafao.
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ tena wakijua umechukua mafao wanakuwa kama wanasumaku,wananusa kuliko mbwa fasta mafao yameisha na vile wanatoa kwa asilimia kuzimia nje nje.
 
Kubalini tu uke wenza muishi kwa amani........ Umeenda kuweka password huku mwingine nae kamuwekea acha jamaa awe ndondocha kwakweli........ Mama mzazi tu ndo mmoja mengine mbele kwa mbele
 
Hii mimi nakwambia serious kuwa sio wanaume wote huchepuka. Binafsi nimewahi kuishi na mwanamke wangu kwa miaka 18 bila kuchepuka, nilimpenda, nilimheshimu, nilimpa kile nilichopata lakini kwa sasa tumeachana tunatimiza miaka 2 mwezi ujao.
Usiseme hakuna mwanaume asiechepuka.
 
Walahi vile uchawi haufanyi kazi ni utapeli.....sitoelezea ila ngoja uone kaa atabadilika kwa hicho kimbola.

Akibadilika uje uniambie
Mkuu ukisema uchawi haufanyi kazi jua hujakutwa, mshukuru Mungu, tunza hili akilini.
 
Matatizo kama haya ndyo yaliyomfanya yule DJ wa Kenya aone Bora amrekodi mtu anayejitoa uhai ni pasua kichwa Hawa wanawake.Bora kuweka sumu standby kabisa wanywe .KATAA NDOA.

##NYWA
 
Faida ya limbwata ni mwanaume kupoteza uwezo wa kutimiza majukumu yake, jiandae kuwa mume.



Ni kweli na wengine huharibu kazi , anakuwa hataki kwenda kazini anataka kubaki nyumbani tu mwisho anakuwa jobless.

Na mama Kama ni wanyumbani au Mwalimu ndio ujipange kulea familia usimkimbie Mwanaume wa watu maana umeyataka mwenyewe [emoji108]
 
Khaaa Sasa mmeachanaje Tena jamani....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ