Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
- Thread starter
-
- #141
Wanaume hujimwambafu kwamba wao ndio vinara wa kucheat, Ila sasa wanapogundua kuwa wao ni cha mtoto Ila wake zao ndio vinara wa kucheat hukimbilia kuchukua bunduki na sime ili wafanye mauaji πππππApa unataka kusemaje
Kwa taarifa yako wanaume hucheat na wanawake.Mwanamke hapaswi kucheat! Umeolewa unaanzaje kucheat??
kwani adam alisaliti wapiHivi umewahi kujiuliza kwa nini wanaume hukasirika zaidi pale wanapogundua kuwa wanawake zao wanacheat?
Iko hivi...
Watu wengi (hasa wanaume) huamini kuwa wanaume ndio wanaongoza kwa kucheat kuliko wanawake. Kiukweli imani hii ina dosari kitakwimu na haina mantiki. Uwiano wa wanaume na wanawake duniani ni 1:1. Hapo ndipo utagundua kuwa wanaume hawaongozi kwa kucheat kuliko wanawake.
Ukiwa kama mwanaume uliye cheat na mwanamke mwingine huko lodge - ni kipi kinakupa ujasiri wa kuamini kuwa mkeo hajawahi kucheat ama huwa hacheat?
Mzee baba utatulia siku ukielewa kuwa wanawake ni wajanja na wazuri sana katika kujificha kuliko wanaume.
I get shocked kwamba wanaume hutarajia kucheat na kusamehewa - lakini hawawezi kuunga mkono wazo la kwamba wake zao huwa wanacheat. You're living a lie. Hakuna jinsia iliyo na ukiritimba katika kucheat.
If you don't want your wife cheat on you - stop cheating.
Mabadiliko huanzia kwa mimi na wewe . Hatuwezi kutarajia ulimwengu kuwa pahali pazuri wakati sisi ni sehemu ya shida.
Shika hili mwanaume mwenzangu...... "Ikiwa umekuwa ukimcheat mkeo - anajua - hata kama hajakuambia anajua kuwa huwa unamcheat. Mkeo huwa anakuona kila uendako na hao wanawake zako. Kwa majuto mkeo 'hulipiza kisasi' kwa kuliwa bila masharti".
Ukiacha kucheat na mkeo ataacha kucheat.
Ukicheat, mkeo naye atacheat.
Ubarikiwe.
Mke wa farao aliforce mapenzi kwa YusufKwa taarifa yako wanaume hucheat na wanawake.
Hapo ni kuweka mizani sawa.
If you don't want your wife to cheat on you - stop cheating.
Sio mke wa Farao, ni mke wa Potifa ndiye alifukuzia penzi la Yusufu Ila hakulipata kwa sababu Yusufu hakuwa mzinzi.Mke wa farao aliforce mapenzi kwa Yusuf
Ndugu yangu, ndio unaanza kujifunza kuhusu binadamu anaeitwa mwanamke?Hivi umewahi kujiuliza kwa nini wanaume hukasirika zaidi pale wanapogundua kuwa wanawake zao wanacheat?
Iko hivi...
Watu wengi (hasa wanaume) huamini kuwa wanaume ndio wanaongoza kwa kucheat kuliko wanawake. Kiukweli imani hii ina dosari kitakwimu na haina mantiki. Uwiano wa wanaume na wanawake duniani ni 1:1. Hapo ndipo utagundua kuwa wanaume hawaongozi kwa kucheat kuliko wanawake.
Ukiwa kama mwanaume uliye cheat na mwanamke mwingine huko lodge - ni kipi kinakupa ujasiri wa kuamini kuwa mkeo hajawahi kucheat ama huwa hacheat?
Mzee baba utatulia siku ukielewa kuwa wanawake ni wajanja na wazuri sana katika kujificha kuliko wanaume.
I get shocked kwamba wanaume hutarajia kucheat na kusamehewa - lakini hawawezi kuunga mkono wazo la kwamba wake zao huwa wanacheat. You're living a lie. Hakuna jinsia iliyo na ukiritimba katika kucheat.
If you don't want your wife cheat on you - stop cheating.
Mabadiliko huanzia kwa mimi na wewe . Hatuwezi kutarajia ulimwengu kuwa pahali pazuri wakati sisi ni sehemu ya shida.
Shika hili mwanaume mwenzangu...... "Ikiwa umekuwa ukimcheat mkeo - anajua - hata kama hajakuambia anajua kuwa huwa unamcheat. Mkeo huwa anakuona kila uendako na hao wanawake zako. Kwa majuto mkeo 'hulipiza kisasi' kwa kuliwa bila masharti".
Ukiacha kucheat na mkeo ataacha kucheat.
Ukicheat, mkeo naye atacheat.
Ubarikiwe.
hapo aliyetaka ku cheat ni mwanamume au mkeSio mke wa Farao, ni mke wa Potifa ndiye alifukuzia penzi la Yusufu Ila hakulipata kwa sababu Yusufu hakuwa mzinzi.
Ni mwanamke ndiye aliyetaka kucheat.hapo aliyetaka ku cheat ni mwanamume au mke
Kama ilivyo kwa mwanaume ndivyo ilivyo kwa mwanamke, Ila kuna baadhi ya wanawake ni kama maji yafuatayo mkondo (mwanaume), vile anavyotenda mwanaume wake naye hutenda vivyo hivyo.Mwanamke kuacha kucheat hakusababishwi na mwanaume kuacha kucheat. Ni tabia yake
Mwanamke mwenye hekima huwa hashangai mumewe akimcheat ndivyo tulivyo haturidhiki na K mojaBaadhi ya wanawake ni waoga hivyo hupotezea wsnaposalitiwa.
Lakini wapo pia majasiri wasiopenda unyonge yaani ukimsaliti tu anakupiga chini.
Ni hasira tu na kuponya machungu ndio huwafanya(baadhi yao) wafanye hivyo.
Kumwacha mwanamke ni uamuzi tu na kumsamehe ni uamuzi pia, maamuzi hutegemea na moyo wa mwanaume ulivyo, kwa mfano Masanja mkandamizaji moyo wake haukumkubalia kumpiga chini Monica baada katibu kuingilia ndoa yake,alimsamehe Monica.
Muwamba ngoma huvutia kwake, inaonekana we ni mzee wa kucheat maoni yako yanakutambulisha πMwanamke mwenye hekima huwa hashangai mumewe akimcheat ndivyo tulivyo haturidhiki na K moja
Mfano mzuri ni aliyekuwa raisi wa Marekani Bill Clinton kwa miaka 2 alikuwa akimcheat mkewe Hillary Clinton kwa kutoka na secretary wake.
Na mkewe Hillary alijua lakini hakwenda mahakamani kudai talaka kwa sababu alijua ndivyo tulivyo mpaka leo ndoa yao inatimiza miaka 49
Uzuri ni kwamba wanaume tunacheat with no emotions ni tamaa tu ndio maana tukishamwaga tamaa zinaisha ila upendo wetu kwa wake zetu unabaki palepale
Men are polygamous by nature
Maamuzi ya kiume mwanamke msaliti huwa hasamehewi
Hata Mandela aliwasamehe waliomfunga jela miaka 27 lakini hakumsamehe mama Winnie Mandela alipomsaliti mara moja tu
Once a cheater always a cheater
Uanaujua mkusanyiko wa tabia unaoitwa imani au utamaduni au desturi.Kama ilivyo kwa mwanaume ndivyo ilivyo kwa mwanamke, Ila kuna baadhi ya wanawake ni kama maji yafuatayo mkondo (mwanaume), vile anavyotenda mwanaume wake naye hutenda vivyo hivyo.
Na ndio maana nikasema ukitaka mkeo asikucheat na wewe acha kumcheat.
Nakukubali sana mkuu,I salute youHivi umewahi kujiuliza kwa nini wanaume hukasirika zaidi pale wanapogundua kuwa wanawake zao wanacheat?
Iko hivi...
Watu wengi (hasa wanaume) huamini kuwa wanaume ndio wanaongoza kwa kucheat kuliko wanawake. Kiukweli imani hii ina dosari kitakwimu na haina mantiki. Uwiano wa wanaume na wanawake duniani ni 1:1. Hapo ndipo utagundua kuwa wanaume hawaongozi kwa kucheat kuliko wanawake.
Ukiwa kama mwanaume uliye cheat na mwanamke mwingine huko lodge - ni kipi kinakupa ujasiri wa kuamini kuwa mkeo hajawahi kucheat ama huwa hacheat?
Mzee baba utatulia siku ukielewa kuwa wanawake ni wajanja na wazuri sana katika kujificha kuliko wanaume.
I get shocked kwamba wanaume hutarajia kucheat na kusamehewa - lakini hawawezi kuunga mkono wazo la kwamba wake zao huwa wanacheat. You're living a lie. Hakuna jinsia iliyo na ukiritimba katika kucheat.
If you don't want your wife cheat on you - stop cheating.
Mabadiliko huanzia kwa mimi na wewe . Hatuwezi kutarajia ulimwengu kuwa pahali pazuri wakati sisi ni sehemu ya shida.
Shika hili mwanaume mwenzangu...... "Ikiwa umekuwa ukimcheat mkeo - anajua - hata kama hajakuambia anajua kuwa huwa unamcheat. Mkeo huwa anakuona kila uendako na hao wanawake zako. Kwa majuto mkeo 'hulipiza kisasi' kwa kuliwa bila masharti".
Ukiacha kucheat na mkeo ataacha kucheat.
Ukicheat, mkeo naye atacheat.
Ubarikiwe.
Ngoja nifatilie huo mkusanyiko pengine naweza baini jamboUanaujua mkusanyiko wa tabia unaoitwa imani au utamaduni au desturi.
Kama unaujua basi jibu unalo.
Asante mkuuNakukubali sana mkuu,I salute you
Apa sasa nichague kundi la kubaki Uwabat ama nikachukue stress za nizibebe tuπ€π€π¦Wanaume hujimwambafu kwamba wao ndio vinara wa kucheat, Ila sasa wanapogundua kuwa wao ni cha mtoto Ila wake zao ndio vinara wa kucheat hukimbilia kuchukua bunduki na sime ili wafanye mauaji ππ
Kasheshe πHii formula yako haiko sahihi
Kuchepuka ni kuchepuka tu hata kama mwanaume huchepuki mkeo atachepuka tu bisha unadhani ni uongo
unawajua,...Wayao,...Wandengereko,.Wangoni,.,..Wazaramo,....na Wanyakyusa?π€π€Ni kweli lakini mwanamke wa kipare hawezi kuacha umalaya