Wanaume wakiacha usaliti kwenye mahusiano, wanawake pia wataacha

Wanaume wakiacha usaliti kwenye mahusiano, wanawake pia wataacha

😂😂😂Apa unataka kusemaje
Wanaume hujimwambafu kwamba wao ndio vinara wa kucheat, Ila sasa wanapogundua kuwa wao ni cha mtoto Ila wake zao ndio vinara wa kucheat hukimbilia kuchukua bunduki na sime ili wafanye mauaji 😂😂
 
Hivi umewahi kujiuliza kwa nini wanaume hukasirika zaidi pale wanapogundua kuwa wanawake zao wanacheat?

Iko hivi...
Watu wengi (hasa wanaume) huamini kuwa wanaume ndio wanaongoza kwa kucheat kuliko wanawake. Kiukweli imani hii ina dosari kitakwimu na haina mantiki. Uwiano wa wanaume na wanawake duniani ni 1:1. Hapo ndipo utagundua kuwa wanaume hawaongozi kwa kucheat kuliko wanawake.

Ukiwa kama mwanaume uliye cheat na mwanamke mwingine huko lodge - ni kipi kinakupa ujasiri wa kuamini kuwa mkeo hajawahi kucheat ama huwa hacheat?
Mzee baba utatulia siku ukielewa kuwa wanawake ni wajanja na wazuri sana katika kujificha kuliko wanaume.

I get shocked kwamba wanaume hutarajia kucheat na kusamehewa - lakini hawawezi kuunga mkono wazo la kwamba wake zao huwa wanacheat. You're living a lie. Hakuna jinsia iliyo na ukiritimba katika kucheat.

If you don't want your wife cheat on you - stop cheating.

Mabadiliko huanzia kwa mimi na wewe . Hatuwezi kutarajia ulimwengu kuwa pahali pazuri wakati sisi ni sehemu ya shida.

Shika hili mwanaume mwenzangu...... "Ikiwa umekuwa ukimcheat mkeo - anajua - hata kama hajakuambia anajua kuwa huwa unamcheat. Mkeo huwa anakuona kila uendako na hao wanawake zako. Kwa majuto mkeo 'hulipiza kisasi' kwa kuliwa bila masharti".

Ukiacha kucheat na mkeo ataacha kucheat.

Ukicheat, mkeo naye atacheat.

Ubarikiwe.
kwani adam alisaliti wapi
 
Hivi umewahi kujiuliza kwa nini wanaume hukasirika zaidi pale wanapogundua kuwa wanawake zao wanacheat?

Iko hivi...
Watu wengi (hasa wanaume) huamini kuwa wanaume ndio wanaongoza kwa kucheat kuliko wanawake. Kiukweli imani hii ina dosari kitakwimu na haina mantiki. Uwiano wa wanaume na wanawake duniani ni 1:1. Hapo ndipo utagundua kuwa wanaume hawaongozi kwa kucheat kuliko wanawake.

Ukiwa kama mwanaume uliye cheat na mwanamke mwingine huko lodge - ni kipi kinakupa ujasiri wa kuamini kuwa mkeo hajawahi kucheat ama huwa hacheat?
Mzee baba utatulia siku ukielewa kuwa wanawake ni wajanja na wazuri sana katika kujificha kuliko wanaume.

I get shocked kwamba wanaume hutarajia kucheat na kusamehewa - lakini hawawezi kuunga mkono wazo la kwamba wake zao huwa wanacheat. You're living a lie. Hakuna jinsia iliyo na ukiritimba katika kucheat.

If you don't want your wife cheat on you - stop cheating.

Mabadiliko huanzia kwa mimi na wewe . Hatuwezi kutarajia ulimwengu kuwa pahali pazuri wakati sisi ni sehemu ya shida.

Shika hili mwanaume mwenzangu...... "Ikiwa umekuwa ukimcheat mkeo - anajua - hata kama hajakuambia anajua kuwa huwa unamcheat. Mkeo huwa anakuona kila uendako na hao wanawake zako. Kwa majuto mkeo 'hulipiza kisasi' kwa kuliwa bila masharti".

Ukiacha kucheat na mkeo ataacha kucheat.

Ukicheat, mkeo naye atacheat.

Ubarikiwe.
Ndugu yangu, ndio unaanza kujifunza kuhusu binadamu anaeitwa mwanamke?

Kwa mfano.

Tafuta demu, halafu uache kumdanganya uone na yy kama hatakudanganya.

Mwanamke kuacha kucheat hakusababishwi na mwanaume kuacha kucheat. Ni tabia yake
 
Mwanamke kuacha kucheat hakusababishwi na mwanaume kuacha kucheat. Ni tabia yake
Kama ilivyo kwa mwanaume ndivyo ilivyo kwa mwanamke, Ila kuna baadhi ya wanawake ni kama maji yafuatayo mkondo (mwanaume), vile anavyotenda mwanaume wake naye hutenda vivyo hivyo.

Na ndio maana nikasema ukitaka mkeo asikucheat na wewe acha kumcheat.
 
Baadhi ya wanawake ni waoga hivyo hupotezea wsnaposalitiwa.

Lakini wapo pia majasiri wasiopenda unyonge yaani ukimsaliti tu anakupiga chini.

Ni hasira tu na kuponya machungu ndio huwafanya(baadhi yao) wafanye hivyo.

Kumwacha mwanamke ni uamuzi tu na kumsamehe ni uamuzi pia, maamuzi hutegemea na moyo wa mwanaume ulivyo, kwa mfano Masanja mkandamizaji moyo wake haukumkubalia kumpiga chini Monica baada katibu kuingilia ndoa yake,alimsamehe Monica.
Mwanamke mwenye hekima huwa hashangai mumewe akimcheat ndivyo tulivyo haturidhiki na K moja

Mfano mzuri ni aliyekuwa raisi wa Marekani Bill Clinton kwa miaka 2 alikuwa akimcheat mkewe Hillary Clinton kwa kutoka na secretary wake.

Na mkewe Hillary alijua lakini hakwenda mahakamani kudai talaka kwa sababu alijua ndivyo tulivyo mpaka leo ndoa yao inatimiza miaka 49

Uzuri ni kwamba wanaume tunacheat with no emotions ni tamaa tu ndio maana tukishamwaga tamaa zinaisha ila upendo wetu kwa wake zetu unabaki palepale

Men are polygamous by nature

Maamuzi ya kiume mwanamke msaliti huwa hasamehewi

Hata Mandela aliwasamehe waliomfunga jela miaka 27 lakini hakumsamehe mama Winnie Mandela alipomsaliti mara moja tu

Once a cheater always a cheater
 
Mwanamke mwenye hekima huwa hashangai mumewe akimcheat ndivyo tulivyo haturidhiki na K moja

Mfano mzuri ni aliyekuwa raisi wa Marekani Bill Clinton kwa miaka 2 alikuwa akimcheat mkewe Hillary Clinton kwa kutoka na secretary wake.

Na mkewe Hillary alijua lakini hakwenda mahakamani kudai talaka kwa sababu alijua ndivyo tulivyo mpaka leo ndoa yao inatimiza miaka 49

Uzuri ni kwamba wanaume tunacheat with no emotions ni tamaa tu ndio maana tukishamwaga tamaa zinaisha ila upendo wetu kwa wake zetu unabaki palepale

Men are polygamous by nature

Maamuzi ya kiume mwanamke msaliti huwa hasamehewi

Hata Mandela aliwasamehe waliomfunga jela miaka 27 lakini hakumsamehe mama Winnie Mandela alipomsaliti mara moja tu

Once a cheater always a cheater
Muwamba ngoma huvutia kwake, inaonekana we ni mzee wa kucheat maoni yako yanakutambulisha 😂
 
Kama ilivyo kwa mwanaume ndivyo ilivyo kwa mwanamke, Ila kuna baadhi ya wanawake ni kama maji yafuatayo mkondo (mwanaume), vile anavyotenda mwanaume wake naye hutenda vivyo hivyo.

Na ndio maana nikasema ukitaka mkeo asikucheat na wewe acha kumcheat.
Uanaujua mkusanyiko wa tabia unaoitwa imani au utamaduni au desturi.

Kama unaujua basi jibu unalo.
 
Hivi umewahi kujiuliza kwa nini wanaume hukasirika zaidi pale wanapogundua kuwa wanawake zao wanacheat?

Iko hivi...
Watu wengi (hasa wanaume) huamini kuwa wanaume ndio wanaongoza kwa kucheat kuliko wanawake. Kiukweli imani hii ina dosari kitakwimu na haina mantiki. Uwiano wa wanaume na wanawake duniani ni 1:1. Hapo ndipo utagundua kuwa wanaume hawaongozi kwa kucheat kuliko wanawake.

Ukiwa kama mwanaume uliye cheat na mwanamke mwingine huko lodge - ni kipi kinakupa ujasiri wa kuamini kuwa mkeo hajawahi kucheat ama huwa hacheat?
Mzee baba utatulia siku ukielewa kuwa wanawake ni wajanja na wazuri sana katika kujificha kuliko wanaume.

I get shocked kwamba wanaume hutarajia kucheat na kusamehewa - lakini hawawezi kuunga mkono wazo la kwamba wake zao huwa wanacheat. You're living a lie. Hakuna jinsia iliyo na ukiritimba katika kucheat.

If you don't want your wife cheat on you - stop cheating.

Mabadiliko huanzia kwa mimi na wewe . Hatuwezi kutarajia ulimwengu kuwa pahali pazuri wakati sisi ni sehemu ya shida.

Shika hili mwanaume mwenzangu...... "Ikiwa umekuwa ukimcheat mkeo - anajua - hata kama hajakuambia anajua kuwa huwa unamcheat. Mkeo huwa anakuona kila uendako na hao wanawake zako. Kwa majuto mkeo 'hulipiza kisasi' kwa kuliwa bila masharti".

Ukiacha kucheat na mkeo ataacha kucheat.

Ukicheat, mkeo naye atacheat.

Ubarikiwe.
Nakukubali sana mkuu,I salute you
 
Wanaume hujimwambafu kwamba wao ndio vinara wa kucheat, Ila sasa wanapogundua kuwa wao ni cha mtoto Ila wake zao ndio vinara wa kucheat hukimbilia kuchukua bunduki na sime ili wafanye mauaji 😂😂
Apa sasa nichague kundi la kubaki Uwabat ama nikachukue stress za nizibebe tu🤔🤔📦
 
Hii formula yako haiko sahihi

Kuchepuka ni kuchepuka tu hata kama mwanaume huchepuki mkeo atachepuka tu bisha unadhani ni uongo
 
Kila mmoja achepuke kwa maamuzi yake acheni huu ujinga wa kutumia kosa kama sababu ya kuhalalisha kosa. Mumeo akinywa sumu na wewe utakunywa?
 
Back
Top Bottom