SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
- Thread starter
- #21
SawaHahahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaHahahaha
Endeleeni majukumu yenu ila hamtaki kujituma ndio maana wengi wanafumuliwa marindasawa tuwekewee n ya wanawake wa zamani na wa leo, ikoje tuchakate kwa pam
😀😀😀😀 anafamyiwa wema tu halafu bado anataka apewe na helaKumtongoza mwanamke mwenye zaidi ya miaka 30 ni moja ya harakati za uokoaji kama Majaliwa tu.
Lazima😀😀😀😀 anafamyiwa wema tu halafu bado anataka apewe na hela
Woteewanaume wapi wa dar ama?
Tangazo limekaa kimkakati sana. Unataka wa umri gani?WAnaume wakileo.
Mnaanza mahusiano anaanza kusema unafanya nini ??
Mko kwenye maongezi kidogo eti una teni hapo sasa kama mie mwanamke unataka hela yangu yanini kwasababu gani??
Dunia ilipoanza adam aliambiwa atatafuta kwa uchungu. Na hawa atazaa kwa uchungu na vitu vyote hadi kulea mwanaume ndio anahusika .
Sasa yamekuwa hayooo leo wanaume wanapigania kutunzwa imebaki wazae tu . Ndio imebaki.
Sasa wanaume wazamani wanaheshima wanakujali wanakupenda nakukupa muda wake.
Ila waleo ahaaa khali wamezidi wanataka haki sawa ipi???
Hatuongi mashangazi. Vigezo vya kuhudumiwa ni virginity and young age. Ukikosa izo sifa basi uwe na mchango wa kifedha kwa mwanaume. Nionge lishangazi lililochoka wakati kuna vitoto vibichi sokoni, si nitakua chiziLazima
Eh waumri wakoTangazo limekaa kimkakati sana. Unataka wa umri gani?
Lililochoka unamadharau .Hatuongi mashangazi. Vigezo vya kuhudumiwa ni virginity and young age. Ukikosa izo sifa basi uwe na mchango wa kifedha kwa mwanaume. Nionge lishangazi lililochoka wakati kuna vitoto vibichi sokoni, si nitakua chizi
Nafanya huruma kuwasaidia tuLililochoka unamadharau .
Wewe hujachoka maisha hadi unawafuata wao
Kula Kwa. Jasho na kuzaa kwa uchungu ni laana baada ya makosa na sio jukumu!!ni baada ya dhambi pale eden!Tangu mwanzo baada ya uumbaji mwanamke hakuzaa kwa uchungu wala mwanamme kula Kwa jasho Hadi pale walipokosea ndio Mungu akawalaani!kwahiyo Laana haijawahi kuwa majukum ya MTU Bali ni adhabu na laana !!!WAnaume wakileo.
Mnaanza mahusiano anaanza kusema unafanya nini ??
Mko kwenye maongezi kidogo eti una teni hapo sasa kama mie mwanamke unataka hela yangu yanini kwasababu gani??
Dunia ilipoanza adam aliambiwa atatafuta kwa uchungu. Na hawa atazaa kwa uchungu na vitu vyote hadi kulea mwanaume ndio anahusika .
Sasa yamekuwa hayooo leo wanaume wanapigania kutunzwa imebaki wazae tu . Ndio imebaki.
Sasa wanaume wazamani wanaheshima wanakujali wanakupenda nakukupa muda wake.
Ila waleo ahaaa khali wamezidi wanataka haki sawa ipi???
si mlisema haki sawa au?WAnaume wakileo.
Mnaanza mahusiano anaanza kusema unafanya nini ??
Mko kwenye maongezi kidogo eti una teni hapo sasa kama mie mwanamke unataka hela yangu yanini kwasababu gani??
Dunia ilipoanza adam aliambiwa atatafuta kwa uchungu. Na hawa atazaa kwa uchungu na vitu vyote hadi kulea mwanaume ndio anahusika .
Sasa yamekuwa hayooo leo wanaume wanapigania kutunzwa imebaki wazae tu . Ndio imebaki.
Sasa wanaume wazamani wanaheshima wanakujali wanakupenda nakukupa muda wake.
Ila waleo ahaaa khali wamezidi wanataka haki sawa ipi???
Ukisema wanaume wazamani tazama na wanawake wao walikuwa na vigezo gani ambavyo ninyi wa kisasa hamna.WAnaume wakileo.
Mnaanza mahusiano anaanza kusema unafanya nini ??
Mko kwenye maongezi kidogo eti una teni hapo sasa kama mie mwanamke unataka hela yangu yanini kwasababu gani??
Dunia ilipoanza adam aliambiwa atatafuta kwa uchungu. Na hawa atazaa kwa uchungu na vitu vyote hadi kulea mwanaume ndio anahusika .
Sasa yamekuwa hayooo leo wanaume wanapigania kutunzwa imebaki wazae tu . Ndio imebaki.
Sasa wanaume wazamani wanaheshima wanakujali wanakupenda nakukupa muda wake.
Ila waleo ahaaa khali wamezidi wanataka haki sawa ipi???
Akusapoti kwani wewe kiwete,zako hutaki kutumia na mwenzako za mwenzako unalazimisha na wewe upewe kama sio kichaa nini hicho sasa?Mimi sio mwanaume yeye ndio anisupport vinginevyoo ataenda kutunza kwingine
Haki sawa kwenye kila kitu ila ukigusa hapo kwenye hela wanaamisha golisi mlisema haki sawa au?
Kichaa huoni huna tabia njema wewe ni mwanaume unatakiwa ujitambue so kama wewe upo hivi jiulize mke uliyemuoa lazima nimcharuko kana,wewe .Akusapoti kwani wewe kiwete,zako hutaki kutumia na mwenzako za mwenzako unalazimisha na wewe upewe kama sio kichaa nini hicho sasa?