SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
- Thread starter
- #81
Unamadharau so yanini tuendele kutanianaIsipokuwepo nawe unatoa nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamadharau so yanini tuendele kutanianaIsipokuwepo nawe unatoa nini
Umeamua kusema hivyoo because ulishakanyaga mto wenye mamba wakakukulq huna loloteKwa jinsi ulivyoandika hii comment pamoja na comments zako hapa jamvini wewe ni aina ya wanawake wa kisasa ambao umejielezea hapo kwenye bolded items.
Hahahaha,haya bibieMimi sio mwanaume yeye ndio anisupport vinginevyoo ataenda kutunza kwingine
OoohEndeleeni majukumu yenu ila hamtaki kujituma ndio maana wengi wanafumuliwa marinda
Mambo hebu tupia kipicha kidogo weekend inaanzaHahahaha,haya bibie
Hahahaha,nichokoze Kwa kuanza wewe mie nimalizieMambo hebu tupia kipicha kidogo weekend inaanza
Labda kama ww unatania, mimi sitaniiUnamadharau so yanini tuendele kutaniana
Umenena vyemaPenzi sio biashara ya matunzo Bali ni asili!
Toeni penzi Kwa mahitaji ya asili mlivyoumbwa na sio kigezo Cha kuhudumiwa!Ni aibunkuzaa mtoto anaewaza amekuja duniani Ili atoe penzi apate huduma yaani kufanya ukahaba baridi!!kama huwezi kujihudumia mwenyewe kama mwanamke Kwa kufanya kazi wewe ni mlemavu na ulipaswa kunyimwa viungo Ili uhudumiwe vizuri!
Badilikeni coz bibi zetu walilima mashamba,wakabeba mikungu ya ndizi Hadi sokoni wakanunua vya muhimu familia ikafurahi!!
Noma sana!50_50
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiona nyuzi kama hii, jua Mtu kashaumizwa huko[emoji1][emoji1][emoji1]