Wanaume waleo vs wanaume wa zamani

Wanaume waleo vs wanaume wa zamani

kama ni marinda hebu tulinganishe wanawake wa zamani na wa sasa, kwenye eneo hilo la marinda tuone nani anakuwa hana marinda katika umri upi
Njoo test ukikuta imeshika utoe ml 5
 
Da mau bhana 😹😹
Ila hii mitopic inanoga kwenye id ya unique ua..!!
 
Mmevuruga wenyewe dunia na huu upuuzi wa 50/ 50 na usawa wa kijinsia, mfumo dume hamuutaki na mwanzoni mwa miaka ya 2000,wanaharakati wakaingiza 50/50 na usawa kijinsia kwenye mitaala ya elimu mashuleni, watoto wakiume wanafunzwa ktk misingi ya kuamini wanahaki sawa na nyie.

So hilo bomu mmelitengeneza wenyewe,ile mbegu mliyo ipanda ndio imemea, ndio maana vijana wa siku hizi wanaona haki yao.Itafika kipindi mabinti wa miaka hiyo ya mbele mkiwasimulia miaka ya nyuma mabibi zao walikuwa wanahongwa majumba na magari wanaweza kuwashangaa.

Ndio maana hata Nabii Isaya alitabiri " Wanawake sita watagombaniwa mwanaume mmoja ,huku wakiwa tayari kujigharamia kila kitu bila kuhitaji senti ya mume ".Wahongaji wanazidi kupungua na hata wale wanao honga basi hela yao utaitumikia kweli kweli.

Wanaponda mfumo na kuleta ukaidi kwa mfumo dume ila wanataka faida zake zinazopatikana ndani ya mfumo dume. Upuuzi tu.
 
WAnaume wakileo.
Mnaanza mahusiano anaanza kusema unafanya nini ??
Mko kwenye maongezi kidogo eti una teni hapo sasa kama mie mwanamke unataka hela yangu yanini kwasababu gani??
Dunia ilipoanza adam aliambiwa atatafuta kwa uchungu. Na hawa atazaa kwa uchungu na vitu vyote hadi kulea mwanaume ndio anahusika .

Sasa yamekuwa hayooo leo wanaume wanapigania kutunzwa imebaki wazae tu . Ndio imebaki.

Sasa wanaume wazamani wanaheshima wanakujali wanakupenda nakukupa muda wake.

Ila waleo ahaaa khali wamezidi wanataka haki sawa ipi???
Huu mfananisho hauko sawa,kichwa kinahusu wanaume ,ujumbe kuhusu jinsia mbili tofauti.Pia huwezi kuwepo hivi sasa na zamani kwa pamoja.Kama zamani ingekuwa zamani na sasa ingekuwa sasa.
 
Ukisema wanaume wazamani tazama na wanawake wao walikuwa na vigezo gani ambavyo ninyi wa kisasa hamna.

1. Wanawake wa zamani walikutoka kwao wanakwenda straight kwenye ndoa hawakuwa na maisha ya kujitegemea. Ninyi wa sasa mnajitegemea kwanza mnatumika mkishaharibika tabia ndio mnataka kuolewa na kutunzwa kama wanawake wa zamani,nani atafanya huo upuuzi?

2. Kwa mwanamke wa zamani ndoa ni zaidi ya ajira aliitumikia kwa jitihada,uwezo na akili yake yote. Ninyi wa sasa ndoa ni option na hata mkiipata mnaona ni kama status ya kuonekana tu ila sio taasisi ya kutumikia kwa adabu. Nani atakupa mahitaji yako kama hauwajibiki katika nafasi yako ya kike.

3. Wanawake wa zamani walimtambua mwanaume kama kiongozi na mwenye final say. Ninyi wa sasa hamna tu mwanaume m'moja mna wanaume zaidi ya watatu. Ni ngumu mwanaume kukujali kwa hii haiba ya umalaya.

4. Wanawake wa zamani hawapendi kuingilia majukumu ya mwanaume kama yupo kwenye nafasi yake. Wanawake wa sasa mnakimbelembele na viherehere,hadi mahari mnajilipia,akili za wapi hizi nani atakujali.

5. Wanawake wa zamani mali waliziona ila walizishinda tamaa za akili zao hawakutupa nazi kwaajiri ya embe ya msimu. Wanawake wa sasa tamaa ndio namba moja. Mke wa mtu unaweza mtafuna kwa kumlipia marejesho tu. Tamaa kwenda mbele.

6. Wanawake wa zamani wakikutana na mwanaume mpambanaji wanampa sapoti na kumtii. Wa siku hizi wakikutana na mwanaume mpambanaji wanamsogezea shida zao,za ukoo,marafiki,na mbsya zaidi wanamfuja mali zake sijui ili iwaje.

Kwa kumalizia, ukitaka kupata treatments kama wanawake wa kizamani walivyokuwa wanatreatiwa then mjitathimini tabia zenu za kisasa ambazo ni za hovyo sana.
Kwa kuongezea tu hapo kwenye hili bandiko lako maridhawa.

1) Wanawake wa zamani walijua kujitunza na kuishi maisha sahihi kabla ya ndoa, hawakujihusisha na ngono kiholela holela kabla ya ndoa kama hawa wa sasa. Wanawake wa zamani walikuwa wanaolewa wakiwa wako sealed au kama hayuko sealed basi hana msululu wa maEx na ndio maana ilikuwa rahisi kubond na mumewe mara tu anapoolewa. Hawa wanawake wa sasa hivi unakuta tayari ni single mother na maEx kibao halalafu anataka apewe queen treament si ni uhujumu uchumi huo kwenye mahusiano.🥲

2)Kubwa na muhimu zaidi wanawake wa zamani walikubali nafasi yao ya kuishi kama wanawake ndani ya ndoa, waliyakubali majukumu ambayo kitamaduni ni ya kike na pia walimtambua mume kama ndio kiongozi wa familia na walikuwa na nidhamu ya hali ya juu.... tofauti kabisa na hawa wa sasa, hawa wanawake wa sasa tayari minds zao ziko corrupted na feminism, hawako tayari kufanya majukumu ya kike wanaita ni utumwa, hawako tayari kumpa mume headship of the family wanaamini hata wao pia wanastahili kuwa viongozi wa familia na hata nidhamu hawana kujibishana na mumewe kwao ni kitu cha kawaida, halafu eti hapo hapo wanategemea wewe mwanaume utimize majukumu yako kama baba/mume hasa yale majukumu ya kifedha ikiwemo kumtunza yeye mwenyewe kama ishara ya upendo. Hakuna mwanaume wa kufanya hivyo

Kwa ufupi tu wanawake wa kileo hawana sifa wala hawastahili kuenjoy ile sacrifice walioipata bibi zetu kutoka kwa babu zetu.
 
So umeenda kuandika risala okay sasa ngoja nikuelezee mnaenda kuoa malaya mnaacha wema na wenye upeo wa akili kama siye,mnaenda kuoa washirikina,matapeli mnakuja kutusema sisi
Kwa jinsi ulivyoandika hii comment pamoja na comments zako hapa jamvini wewe ni aina ya wanawake wa kisasa ambao umejielezea hapo kwenye bolded items.
 
Haya maneno mnayatoaga wapi lakini😃🤣🤣🤣
Penzi sio biashara ya matunzo Bali ni asili!

Toeni penzi Kwa mahitaji ya asili mlivyoumbwa na sio kigezo Cha kuhudumiwa!Ni aibunkuzaa mtoto anaewaza amekuja duniani Ili atoe penzi apate huduma yaani kufanya ukahaba baridi!!kama huwezi kujihudumia mwenyewe kama mwanamke Kwa kufanya kazi wewe ni mlemavu na ulipaswa kunyimwa viungo Ili uhudumiwe vizuri!

Badilikeni coz bibi zetu walilima mashamba,wakabeba mikungu ya ndizi Hadi sokoni wakanunua vya muhimu familia ikafurahi!!
 
Back
Top Bottom