The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Wa zamani uliwaona wapi? Au wewe ni kibibiWAnaume wakileo.
Mnaanza mahusiano anaanza kusema unafanya nini ??
Mko kwenye maongezi kidogo eti una teni hapo sasa kama mie mwanamke unataka hela yangu yanini kwasababu gani??
Dunia ilipoanza adam aliambiwa atatafuta kwa uchungu. Na hawa atazaa kwa uchungu na vitu vyote hadi kulea mwanaume ndio anahusika .
Sasa yamekuwa hayooo leo wanaume wanapigania kutunzwa imebaki wazae tu . Ndio imebaki.
Sasa wanaume wazamani wanaheshima wanakujali wanakupenda nakukupa muda wake.
Ila waleo ahaaa khali wamezidi wanataka haki sawa ipi???
So umeenda kuandika risala okay sasa ngoja nikuelezee mnaenda kuoa malaya mnaacha wema na wenye upeo wa akili kama siye,mnaenda kuoa washirikina,matapeli mnakuja kutusema sisiUkisema wanaume wazamani tazama na wanawake wao walikuwa na vigezo gani ambavyo ninyi wa kisasa hamna.
1. Wanawake wa zamani walikutoka kwao wanakwenda straight kwenye ndoa hawakuwa na maisha ya kujitegemea. Ninyi wa sasa mnajitegemea kwanza mnatumika mkishaharibika tabia ndio mnataka kuolewa na kutunzwa kama wanawake wa zamani,nani atafanya huo upuuzi?
2. Kwa mwanamke wa zamani ndoa ni zaidi ya ajira aliitumikia kwa jitihada,uwezo na akili yake yote. Ninyi wa sasa ndoa ni option na hata mkiipata mnaona ni kama status ya kuonekana tu ila sio taasisi ya kutumikia kwa adabu. Nani atakupa mahitaji yako kama hauwajibiki katika nafasi yako ya kike.
3. Wanawake wa zamani walimtambua mwanaume kama kiongozi na mwenye final say. Ninyi wa sasa hamna tu mwanaume m'moja mna wanaume zaidi ya watatu. Ni ngumu mwanaume kukujali kwa hii haiba ya umalaya.
4. Wanawake wa zamani hawapendi kuingilia majukumu ya mwanaume kama yupo kwenye nafasi yake. Wanawake wa sasa mnakimbelembele na viherehere,hadi mahari mnajilipia,akili za wapi hizi nani atakujali.
5. Wanawake wa zamani mali waliziona ila walizishinda tamaa za akili zao hawakutupa nazi kwaajiri ya embe ya msimu. Wanawake wa sasa tamaa ndio namba moja. Mke wa mtu unaweza mtafuna kwa kumlipia marejesho tu. Tamaa kwenda mbele.
6. Wanawake wa zamani wakikutana na mwanaume mpambanaji wanampa sapoti na kumtii. Wa siku hizi wakikutana na mwanaume mpambanaji wanamsogezea shida zao,za ukoo,marafiki,na mbsya zaidi wanamfuja mali zake sijui ili iwaje.
Kwa kumalizia, ukitaka kupata treatments kama wanawake wa kizamani walivyokuwa wanatreatiwa then mjitathimini tabia zenu za kisasa ambazo ni za hovyo sana.
Hivi ule msemo wa haki sawa huwa mnavyoshangilia na kufunga vibwebwe siku yenu mnayoiita ya wanawake Duniani huwa mnajua maana ya ule msemo?Endeleeni majukumu yenu ila hamtaki kujituma ndio maana wengi wanafumuliwa marinda
Kibibi ni 30 au??Wa zamani uliwaona wapi? Au wewe ni kibibi
Mimi mwanamke wangu kwanza anachukia mfeminist hadi basi. Huwa anasoma nyuzi zangu anacheka sana namna naponda mfeminist.Kichaa huoni huna tabia njema wewe ni mwanaume unatakiwa ujitambue so kama wewe upo hivi jiulize mke uliyemuoa lazima nimcharuko kana,wewe .
Wanaume kwenye kuoa ukikuta kaoa mwanamke haeleweki jua ni yeye kamtaka na mapungufu yake. Ila hakunaga kitu kinachoitwa kuoa malaya kwa mwanaume.So umeenda kuandika risala okay sasa ngoja nikuelezee mnaenda kuoa malaya mnaacha wema na wenye upeo wa akili kama siye,mnaenda kuoa washirikina,matapeli mnakuja kutusema sisi
Wanaume ila tunatumika vibaya sana tusipokua makinHaki sawa kwenye kila kitu ila ukigusa hapo kwenye hela wanaamisha goli
Hey SweetyCandy ar u still single? will u b mine?So umeenda kuandika risala okay sasa ngoja nikuelezee mnaenda kuoa malaya mnaacha wema na wenye upeo wa akili kama siye,mnaenda kuoa washirikina,matapeli mnakuja kutusema sisi
Mmevuruga wenyewe dunia na huu upuuzi wa 50/ 50 na usawa wa kijinsia, mfumo dume hamuutaki na mwanzoni mwa miaka ya 2000,wanaharakati wakaingiza 50/50 na usawa kijinsia kwenye mitaala ya elimu mashuleni, watoto wakiume wanafunzwa ktk misingi ya kuamini wanahaki sawa na nyie.WAnaume wakileo.
Mnaanza mahusiano anaanza kusema unafanya nini ??
Mko kwenye maongezi kidogo eti una teni hapo sasa kama mie mwanamke unataka hela yangu yanini kwasababu gani??
Dunia ilipoanza adam aliambiwa atatafuta kwa uchungu. Na hawa atazaa kwa uchungu na vitu vyote hadi kulea mwanaume ndio anahusika .
Sasa yamekuwa hayooo leo wanaume wanapigania kutunzwa imebaki wazae tu . Ndio imebaki.
Sasa wanaume wazamani wanaheshima wanakujali wanakupenda nakukupa muda wake.
Ila waleo ahaaa khali wamezidi wanataka haki sawa ipi???
Bikira unayo? Au unataka hela tuKibibi ni 30 au??
kama ni marinda hebu tulinganishe wanawake wa zamani na wa sasa, kwenye eneo hilo la marinda tuone nani anakuwa hana marinda katika umri upiEndeleeni majukumu yenu ila hamtaki kujituma ndio maana wengi wanafumuliwa marinda
Aitoe wapi miaka 30, marinda yenyewe ukute hana, hebu tuendelee kunywa mtori nyama tutazikuta chiniBikira unayo? Au unataka hela tu
Nimefanyaje hapo?
Mpe hela huyo kikongweNimefanyaje hapo?
HahahahaKuna umri mwanamke ukiwa nao upaswi kuhongwa tena 😂
KabisaHahahaha
Una teni hapo SweetyCandyMko kwenye maongezi kidogo eti una teni hapo sasa kama mie mwanamke unataka hela yangu yanini kwasababu gani??
I miss u umeshaoa wewe tu nikikuona moyo unazima naamshwa na gesiUna teni hapo SweetyCandy