SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
- Thread starter
-
- #61
Njoo test ukikuta imeshika utoe ml 5kama ni marinda hebu tulinganishe wanawake wa zamani na wa sasa, kwenye eneo hilo la marinda tuone nani anakuwa hana marinda katika umri upi
NinayooBikira unayo? Au unataka hela tu
Ni sawa una degree uende VETA baada ya kukosa ajira😀😀😀😀Kumtongoza mwanamke mwenye zaidi ya miaka 30 ni moja ya harakati za uokoaji kama Majaliwa tu.
eeh umenioaHuyo mwanaume amekuoa au unaendekeza umalaya tu?..
Samahan lakn
Haya maneno mnayatoaga wapi lakini😃🤣🤣🤣😀😀😀😀 anafamyiwa wema tu halafu bado anataka apewe na hela
tate mkuuHuyo wa zamani ulimuona wap? au ndio za kuambiwa changanya na zako.
Huna hata moja acha chaiNinayoo
Njoo chekii ikiwepo toa billioni 19Huna hata moja acha chai
hiyo ndogo, nakuoa kabisaNjoo test ukikuta imeshika utoe ml 5
Mmevuruga wenyewe dunia na huu upuuzi wa 50/ 50 na usawa wa kijinsia, mfumo dume hamuutaki na mwanzoni mwa miaka ya 2000,wanaharakati wakaingiza 50/50 na usawa kijinsia kwenye mitaala ya elimu mashuleni, watoto wakiume wanafunzwa ktk misingi ya kuamini wanahaki sawa na nyie.
So hilo bomu mmelitengeneza wenyewe,ile mbegu mliyo ipanda ndio imemea, ndio maana vijana wa siku hizi wanaona haki yao.Itafika kipindi mabinti wa miaka hiyo ya mbele mkiwasimulia miaka ya nyuma mabibi zao walikuwa wanahongwa majumba na magari wanaweza kuwashangaa.
Ndio maana hata Nabii Isaya alitabiri " Wanawake sita watagombaniwa mwanaume mmoja ,huku wakiwa tayari kujigharamia kila kitu bila kuhitaji senti ya mume ".Wahongaji wanazidi kupungua na hata wale wanao honga basi hela yao utaitumikia kweli kweli.
Umemuelewa lakini alichomaanisha kuwa yeye anapewa na wamama sio wababa au haujaelewa?🤔Aisee hongera sana
We una umri gani kigoli?Eh waumri wako
Huu mfananisho hauko sawa,kichwa kinahusu wanaume ,ujumbe kuhusu jinsia mbili tofauti.Pia huwezi kuwepo hivi sasa na zamani kwa pamoja.Kama zamani ingekuwa zamani na sasa ingekuwa sasa.WAnaume wakileo.
Mnaanza mahusiano anaanza kusema unafanya nini ??
Mko kwenye maongezi kidogo eti una teni hapo sasa kama mie mwanamke unataka hela yangu yanini kwasababu gani??
Dunia ilipoanza adam aliambiwa atatafuta kwa uchungu. Na hawa atazaa kwa uchungu na vitu vyote hadi kulea mwanaume ndio anahusika .
Sasa yamekuwa hayooo leo wanaume wanapigania kutunzwa imebaki wazae tu . Ndio imebaki.
Sasa wanaume wazamani wanaheshima wanakujali wanakupenda nakukupa muda wake.
Ila waleo ahaaa khali wamezidi wanataka haki sawa ipi???
Wanawake wa zamani walikuwa na radha og wa leo Radha imemezwasawa tuwekewee n ya wanawake wa zamani na wa leo, ikoje tuchakate kwa pamoja
Kwa kuongezea tu hapo kwenye hili bandiko lako maridhawa.Ukisema wanaume wazamani tazama na wanawake wao walikuwa na vigezo gani ambavyo ninyi wa kisasa hamna.
1. Wanawake wa zamani walikutoka kwao wanakwenda straight kwenye ndoa hawakuwa na maisha ya kujitegemea. Ninyi wa sasa mnajitegemea kwanza mnatumika mkishaharibika tabia ndio mnataka kuolewa na kutunzwa kama wanawake wa zamani,nani atafanya huo upuuzi?
2. Kwa mwanamke wa zamani ndoa ni zaidi ya ajira aliitumikia kwa jitihada,uwezo na akili yake yote. Ninyi wa sasa ndoa ni option na hata mkiipata mnaona ni kama status ya kuonekana tu ila sio taasisi ya kutumikia kwa adabu. Nani atakupa mahitaji yako kama hauwajibiki katika nafasi yako ya kike.
3. Wanawake wa zamani walimtambua mwanaume kama kiongozi na mwenye final say. Ninyi wa sasa hamna tu mwanaume m'moja mna wanaume zaidi ya watatu. Ni ngumu mwanaume kukujali kwa hii haiba ya umalaya.
4. Wanawake wa zamani hawapendi kuingilia majukumu ya mwanaume kama yupo kwenye nafasi yake. Wanawake wa sasa mnakimbelembele na viherehere,hadi mahari mnajilipia,akili za wapi hizi nani atakujali.
5. Wanawake wa zamani mali waliziona ila walizishinda tamaa za akili zao hawakutupa nazi kwaajiri ya embe ya msimu. Wanawake wa sasa tamaa ndio namba moja. Mke wa mtu unaweza mtafuna kwa kumlipia marejesho tu. Tamaa kwenda mbele.
6. Wanawake wa zamani wakikutana na mwanaume mpambanaji wanampa sapoti na kumtii. Wa siku hizi wakikutana na mwanaume mpambanaji wanamsogezea shida zao,za ukoo,marafiki,na mbsya zaidi wanamfuja mali zake sijui ili iwaje.
Kwa kumalizia, ukitaka kupata treatments kama wanawake wa kizamani walivyokuwa wanatreatiwa then mjitathimini tabia zenu za kisasa ambazo ni za hovyo sana.
Kwa jinsi ulivyoandika hii comment pamoja na comments zako hapa jamvini wewe ni aina ya wanawake wa kisasa ambao umejielezea hapo kwenye bolded items.So umeenda kuandika risala okay sasa ngoja nikuelezee mnaenda kuoa malaya mnaacha wema na wenye upeo wa akili kama siye,mnaenda kuoa washirikina,matapeli mnakuja kutusema sisi
Isipokuwepo nawe unatoa niniNjoo chekii ikiwepo toa billioni 19
Penzi sio biashara ya matunzo Bali ni asili!Haya maneno mnayatoaga wapi lakini😃🤣🤣🤣